Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NEW YORK - JIJI LA WAJANJA LAVAMIWA NA WALEGEVU WA MAMBO

Jiji la New York jana jumapili lilikuwa baadhi ya mitaa haipitiki, baada ya kufungwa na kuwapa fursa walegevu wa mambo ( wasenge)  kusherehekea na kupongezana baada ya mahakama juu nchini marekani  kuhalalisha ndoa ya jinsia moja, (mwanamke kumuowa mwanamke mwengine, na mwanamme kumuowa mwanamme mwengine, kitu ambacho kimewatia hasira baadhai ya wana dini na kuandaa kupingana na uamuzi huoo wa mahakama ya juu





















Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

EDDY KENZO (UG) KUFANYA SHOW KALI KATIKA JIJI LA WAJANJA OAKLAND - CALIFORNIA

 Edrisa Musuuza a.k.a Eddy Kenzo was born in Masaka, a town in the central region of Uganda. He lost his mother at age 5 and would go on to live a street life for 13 years. After high school, he adopted the stage name Eddy Kenzo and began writing music. In 2008, he was featured in the popular song “Yanimba” by Mikie Wine.His breakthrough 2010 song, “Stamina”, was met with critical acclaim and was used as a theme song for Yoweri Museveni’s presidential campaign. He released the album Ogenda...

 

10 years ago

Vijimambo

MAMBO YA NEW YORK CITY HAYO

Ukiwa New York City usikose kufika eneo la Times Square kwani kuna mambo mengi ya kuvutia mwanzo mwisho hiwe mchana au usiku Times Square ni sehemu itakayo kufanya ubakie na mshangao na pia kusmile kwenye uso wako.

 

10 years ago

Vijimambo

ULINZI WAIMARISHWA NDANI YA JIJI LA WASILO LALA NEW YORK CITY WIKI ENDI HII YA 4TH JULY


Hapa ni polisi akimpatia maelekezo wapi kwa kupita msafiri katika kituo kikubwa cha mabasi cha Port Authority New York City.Hapa ni Times Square sehemu maarufu sana ukifika New York City.Njemba zimesimama zikipanga mikakati ya jinsi ya kujipanga sehemu yao ya kazi.Polisi wakipeana majukumu tayari kuingia mzigoni.Kikosi maalumu cha Federal Emergency tayari kwa kukabiriana na lolote ndani ya 4th july wiki endi hii.

 

10 years ago

Vijimambo

GUMZO LA JIJI LA NEW YORK NA VITONGOJI VYAKE NI "OMMY DIMPOZ KWA POZ " A.K.A SUPER HANDSOME LIVE UP CLOSE AND PERSONAL -FEB 21


TICKETS ON SALE NOW FOR $40 *** THEY WILL BE MORE AT THE DOOR $50SEATED 3 -COURSE DINNERFIRST CLASS SERVICERED CARPET PAPARAZZI DRESS READY FOR ACTIONHIGH LEVEL SECURITY **********************************************************

 

10 years ago

Michuzi

ZIMAMOTO WA JIJI LA LINZ, AUSTRIA WATEMBELEA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwamini Juma Malemi akiongoza kikao wakati Viongozi wa Kikosi cha Zimamoto toka Jiji la Linz, Austria walipotembelea Makao Makuu ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.Mkuu wa Kikosi cha Zimamoto na Uokoaji cha Jiji la Linz, Austria Christian Puchner, akimkabidhi Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwamini Juma Malemi mojawapo ya kofia za zimamoto zilizotolewa kama msaada kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji la Tanzania....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani