Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAMBO YA NEW YORK CITY HAYO

Ukiwa New York City usikose kufika eneo la Times Square kwani kuna mambo mengi ya kuvutia mwanzo mwisho hiwe mchana au usiku Times Square ni sehemu itakayo kufanya ubakie na mshangao na pia kusmile kwenye uso wako.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

Curious on Tanzania Launches Tanzania Culture Fest in New York City On September 5, 2015 experience Tanzania in New York City with a cultural evening of food and live entertainment that will inspire and fulfill your curiosities about Tanzania.


Curious on Tanzania Launches Tanzania Culture Fest in New York City On September 5, 2015 experience Tanzania in New York City with a cultural evening of food and live entertainment that will inspire and fulfill your curiosities about Tanzania. 

The idea behind the Fest is to celebrate Tanzanian culture with Tanzanians, taste makers, previous/ future travelers and others who are curious to know more or experience our culture and more. Some of the highlight of the event will be Tanzanian...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ummy wa Mambo Hayo Apata Ajali Moro

MWIGIZAJI mkongwe wa filamu  Ummy Mohamed amepata ajali mbaya maeneo ya Mikese Mkoani Morogoro baada ya gari alilokuwa akisafiri nalo la AlSaedy kugongana uso kwa uso na lori lilotaka kulipita basi hilo na kusababisha ajali hiyo mbaya basin a kuharibika sana.

Akiongea na FC kutoka eneo la ajali amesema kuwa basi hilo lilikuwa likitokea Ifakara kuja jijini Dar es Salaam safari ambayo iliishia maeneo ya Mikese baada ya kugongana uso kwa uso na Lori, yeye akimepata maumivu sehemu za mikono na...

 

10 years ago

Vijimambo

UWANJA WA MPIRA WA KAITABA UKIKARABATIWA MAMBO YA ESCROW HAYO BUKOBA OYEE

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limeanza ukarabati katika Uwanja wa Kaitaba uliopo mkoani Kagera kuanzia Januari 12,2015.Rais wa TFF, Jamal Malinzi alisema kuwa kutokana na ukarabati huo tayari Kagera Sugar imeshaomba kutumia Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza kwa ajili ya mechi zake za nyumbani. Katika hatua nyingine, Malinzi alisema kutokana na kikao cha Kamati ya Utendaji cha FIFA kilichokutana hivi karibuni kiliweka wazi kila Mwanachama wa FIFA ataendelea kupata dola za kimalekani 600,000...

 

10 years ago

Vijimambo

MAMBO YA SOKA LA BONGO HAYO YANI KI DIGITAL ZAIDI PITIA HII NA MEZA AU TEMA KWAHERI.

LISTI YA SIMBA VS MGAMBO...LISTI YA BARCELONA VS MAN CITY....Licha ya TFF kuingiza pesa nyingi kupitia mpira wa miguu hii ni haki kweli?

 

10 years ago

Vijimambo

MAMBO YA WIKIEND HAYO KAMA WEWE KAPO YA NGUVU HII INAKUHUSU UNAWEZA KUTUPIA HIVI KIROHO SAFI TU


Kama wewe couple ya nguvu weekend hii unaweza kutupia kama hivi ukiwa na mama mwenye nyumba wako kiroho safi. Wale wenye wivu wajinyoge na toilet paper  habari ndiyo hii jipendeni kwani maisha ni hapa hapa dunia.

Weekend yako fanya kama unasahau stress za schedule vile na tupieni.

 

10 years ago

Vijimambo

NEW YORK - JIJI LA WAJANJA LAVAMIWA NA WALEGEVU WA MAMBO

Jiji la New York jana jumapili lilikuwa baadhi ya mitaa haipitiki, baada ya kufungwa na kuwapa fursa walegevu wa mambo ( wasenge)  kusherehekea na kupongezana baada ya mahakama juu nchini marekani  kuhalalisha ndoa ya jinsia moja, (mwanamke kumuowa mwanamke mwengine, na mwanamme kumuowa mwanamme mwengine, kitu ambacho kimewatia hasira baadhai ya wana dini na kuandaa kupingana na uamuzi huoo wa mahakama ya juu





















 

10 years ago

Vijimambo

UKODAK WA VIJIMAMBO NEW YORK CITY

Msanii wa kizazi kipya Mwana FA (kushoto) wakipata chai katika moja ya mgahawa New York City kujaribu kukabiliana na kipupwe kinachopuliza jiji la wasiolala wengine katika picha kutoka kushoto ni Dj Rich Maka. NY Ebra na Salah Said.NY Ebra akipata supu kuikabili baridi ya New York City

 Rich, Fa na Salaa wakiwa Jfk tayari kupanda pipa kurudi Tanzania na Rich kushoto akiwaaga marafiki zake.


 

10 years ago

Vijimambo

MSAMI WA RADIO UN NEW YORK CITY

Msami wa radio UN New York City  anawatakia amani Watanzania wote kwenye uchaguzi, anasema kuna maisha baada ya uchaguzi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani