Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunahitaji ‘gereza- lisha’ au ‘gereza- kijiji’ ?

Nionavyo mimi muundo na mfumo wetu wa magereza umepitwa na wakati. Ninasema hivyo kwa kuwa ni jambo la kushangaza kwamba kwenye nchi yenye ardhi ya kutosha bado magereza yetu ni vijieneo vidogo pembezoni mwa miji yetu badala ya kuwa kijiji kikubwa ambacho tofauti na vijiji vingine ni kuwa vijiji hivyo ni vya watu wasiokuwa huru, yaani, wafungwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mbunge alilia ukarabati wa gereza

MBUNGE wa Mpanda Vijijini, Moshi Kakoso (CCM) amehoji mpango wa dharura wa serikali kukarabati gereza la Kalilankulungulu lililochakaa na halifai kwa matumizi ya binadamu. Kakoso alitoa kauli hiyo bungeni jana...

 

10 years ago

StarTV

Gereza lavamiwa Kivu Kaskazini.

Watu waliokuwa na silaha wamevamia gereza mashariki mwa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo na kuwaachilia huru wafungwa kama 400.

 
Uvamizi huo ulitokea Jumamosi usiku katika mji wa Butembo katika jimbo la Kivu Kaskazini.

 
Msemaji wa serikali ya Congo, Lambert Mende, alithibitisha kuwa gereza ilivamiwa lakini aliiambia BBC kwamba bado wanachunguza vipi shambulio hilo lilifanywa.

 
Kumetokea mashambulio katika jimbo la Kivu Kaskazini katika siku 10 zilizopita – mashambulio yanayodaiwa kufanywa na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Gereza la Guantanamo lakaribia kufungwa

Ikulu ya White House imesema kuwa mipango ya kulifunga gereza la Guantanamo Bay nchini Cuba imefikia awamu za mwisho.

 

10 years ago

BBCSwahili

Gereza yavamiwa Kivu Kaskazini

Gereza moja KIvu Kaskazini, mashariki mwa DRC yavamiwa na wapiganaji na wafungwa waaachiliwa huru

 

9 years ago

Mwananchi

Gereza la Songwe kuvunjwa kwa madini

Gereza la Songwe mkoani hapa linatarajiwa kuvunjwa na kujengwa sehemu nyingine kupisha uchimbaji wa madini adimu duniani ya niobium.

 

11 years ago

GPL

MADAWA YA KULEVYA YAKAMATWA GEREZA LA KEKO

PIPI 60 za madawa ya kulevya aina ya heroine yanayokadiriwa kuwa na thamani ya shilingi milioni 60 yanadaiwa kukamatwa ndani ya Gereza la Keko jijni Dar es Salaam baada ya mtu mmoja kuingia nayo akiwa ameyameza. Madawa ya kulevya. Kwa mujibu wa chanzo, mtu mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Mashujaa Udugu Matata, aliingia gerezani humo Machi 21, mwaka huu akitokea kusomewa shitaka la kukutwa na madawa ya kulevya katika Mahakama...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kanisa la CGM lasaidia shule, gereza

KANISA la Christian and Gospel Ministry (CGM), wilayani hapa mkoani Mbeya limetoa misaada ya kijamii kwa watu wenye mahitaji wakiwemo wafungwa na yatima. Akizungumza na Tanzania Daima mjini hapa juzi,...

 

11 years ago

Mwananchi

Simu 600 zanaswa kwenye Gereza la Kamiti

>Nairobi.Zaidi ya simu 600 za mkononi pamoja na takriban laini 5,000 za simu zimenaswa katika gereza la Kamiti Maximum baada ya msako wa kushtukiza uliofanywa chini ya usimamizi mkuu wa gereza hilo.

 

10 years ago

Mwananchi

Guantanamo; gereza la kisiasa ghali zaidi duniani

Mwanzoni mwa mwaka 2002, washukiwa wa mwanzo kabisa wa ugaidi wa kimataifa walipelekwa katika gereza lililojengwa katika Kituo cha Kijeshi cha Kimarekani cha Guantanamo nchini Cuba, kutokana na amri ya Rais George W. Bush.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani