Tunahitaji ‘gereza- lisha’ au ‘gereza- kijiji’ ?
Nionavyo mimi muundo na mfumo wetu wa magereza umepitwa na wakati. Ninasema hivyo kwa kuwa ni jambo la kushangaza kwamba kwenye nchi yenye ardhi ya kutosha bado magereza yetu ni vijieneo vidogo pembezoni mwa miji yetu badala ya kuwa kijiji kikubwa ambacho tofauti na vijiji vingine ni kuwa vijiji hivyo ni vya watu wasiokuwa huru, yaani, wafungwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Mbunge alilia ukarabati wa gereza
MBUNGE wa Mpanda Vijijini, Moshi Kakoso (CCM) amehoji mpango wa dharura wa serikali kukarabati gereza la Kalilankulungulu lililochakaa na halifai kwa matumizi ya binadamu. Kakoso alitoa kauli hiyo bungeni jana...
10 years ago
StarTV20 Oct
Gereza lavamiwa Kivu Kaskazini.
Watu waliokuwa na silaha wamevamia gereza mashariki mwa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo na kuwaachilia huru wafungwa kama 400.
Uvamizi huo ulitokea Jumamosi usiku katika mji wa Butembo katika jimbo la Kivu Kaskazini.
Msemaji wa serikali ya Congo, Lambert Mende, alithibitisha kuwa gereza ilivamiwa lakini aliiambia BBC kwamba bado wanachunguza vipi shambulio hilo lilifanywa.
Kumetokea mashambulio katika jimbo la Kivu Kaskazini katika siku 10 zilizopita – mashambulio yanayodaiwa kufanywa na...
10 years ago
BBCSwahili23 Jul
Gereza la Guantanamo lakaribia kufungwa
10 years ago
BBCSwahili19 Oct
Gereza yavamiwa Kivu Kaskazini
9 years ago
Mwananchi31 Dec
Gereza la Songwe kuvunjwa kwa madini
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4TbjoZv-fHvF8pGG5ZVwMg7*v9kHNtKOo18hJRbLQMl6NaMf*JDbcatJtlwROIZZa30n2NDV4qju3bg3BFT33nLJ/madawa.jpg?width=650)
MADAWA YA KULEVYA YAKAMATWA GEREZA LA KEKO
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Kanisa la CGM lasaidia shule, gereza
KANISA la Christian and Gospel Ministry (CGM), wilayani hapa mkoani Mbeya limetoa misaada ya kijamii kwa watu wenye mahitaji wakiwemo wafungwa na yatima. Akizungumza na Tanzania Daima mjini hapa juzi,...
11 years ago
Mwananchi08 Feb
Simu 600 zanaswa kwenye Gereza la Kamiti
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Guantanamo; gereza la kisiasa ghali zaidi duniani