Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kanisa la CGM lasaidia shule, gereza

KANISA la Christian and Gospel Ministry (CGM), wilayani hapa mkoani Mbeya limetoa misaada ya kijamii kwa watu wenye mahitaji wakiwemo wafungwa na yatima. Akizungumza na Tanzania Daima mjini hapa juzi,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kanisa Moravian lasaidia

Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi Ushirika wa Chunya Mjini, limetumia zaidi ya Sh6 milioni kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya shule kwa watoto 100 yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Shirika la TMEP lasaidia kupunguza mimba kwa watoto wa shule Singida

DSC04505

Afisa ufuatiliaji TMEP makao makuu jijini Dar-es-salaam, George John akizungumza kweye hafla ya kukabidhi nradi wa ushiriki sawa wa wanaume katika masuala ya afya ya uzazi na ujinsia kwa viongozi wa tarafa ya Nkonko wilaya ya Manyoni pamoja na kata zake kwa ajili ya kuuendeleza. Kwa mujibu wa George, mradi huo umesaidia kuondoa mimba mashuleni kwa kiwango kikubwa. Kulia ni afisa kutoka shirika la YMCA, Msuya na kushoto ni diwani wa kata ya Heka tarafa ya Nkonko. DSC04482 Baadhi ya waratibu wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Tunahitaji ‘gereza- lisha’ au ‘gereza- kijiji’ ?

Nionavyo mimi muundo na mfumo wetu wa magereza umepitwa na wakati. Ninasema hivyo kwa kuwa ni jambo la kushangaza kwamba kwenye nchi yenye ardhi ya kutosha bado magereza yetu ni vijieneo vidogo pembezoni mwa miji yetu badala ya kuwa kijiji kikubwa ambacho tofauti na vijiji vingine ni kuwa vijiji hivyo ni vya watu wasiokuwa huru, yaani, wafungwa.

 

11 years ago

Habarileo

Askofu Pengo akunwa ufaulu shule za kanisa

Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo ASKOFU Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo ameelezea kufurahishwa na ufaulu mzuri wa wanafunzi wa kidato cha sita katika shule ya Sekondari ya St. Joseph Cathedral inayomilikiwa na kanisa hilo, huku akisikitishwa kuona waliofaulu kwa kiwango cha juu wote ni wavulana.

 

11 years ago

Dewji Blog

Kanisa kutumia zaidi ya shilingi 214 milioni kujenga shule

b03wg1g6_640_360

 Waziri wa Mali asili na Utaliii na Mbunge wa jimbo la Singida kaskazini,Lazaro Nyalandu.

Na Nathaniel Limu, Singida

KANISA jipya la Miracle Assemblies of God Ministry (MAGM) mkoani Singida linatarajia kutumia zaidi ya shilingi 214.1 milioni kugharamia ujenzi wa shule ya awali ya bweni.

Hayo yalisemwa hivi karibuni na Magreth Ndwete wakati akisoma risala fupi ya kanisa hilo kwenye hafla ya kusimikwa kwa askofu wa kwanza wa kanisa hilo John Sanongo Tesha (58), Mgeni rasmi katika hafla...

 

10 years ago

Michuzi

Makalla achangisha sh 124m ujenzi wa shule ya kanisa mkoani Morogoro

Naibu waziri maji Amos Makalla leo ameongoza waumini wa kanisa kkkt dayosisi ya mashariki , viongozi wa majimbo na sharika zake katika harambee ya kuchangisha fedha za ujenzi wa shule ya Elbeneza itakayokuwa kwa ajili ya shule ya msingi na sekondari. 
Katika harambee hiyo fedha sh 124m zilipatikana kati ya hizo fedha taslimu sh 57m zilipatikana na 67m ikiwa ni ahadi. lengo la harambee ni kupata sh 120m kukamilisha majengo muhimu kuwezesha shule hiyo kufunguliwa januari mwakani. 
Makalla...

 

10 years ago

Michuzi

KANISA KATOLIKI POROKIA YA MWANANYAMALA YAZINDUA HARAMBEE KUKARABATI KANISA HILO

Paroko wa Kanisa Katoliki Paroki ya Mwananyamala, Focus Masawe,  akizindua Kadi maalumu na tiketi kwa ajili ya harambee kuchangia ujenzi na ukarabati wa Kanaisa hilo jijini Dar es Salaam juzi Paroko wa Kanisa Katoliki Paroki ya Mwananyamala, Focus Masawe,  akionyesha Kadi maalumu na tiketi kwa ajili ya harambee kuchangia ujenzi na ukarabati wa Kanisa hilo baada ya kuzindua rasmi Wanakwaya wa Paroko wa Kanisa Katoliki Paroki ya Mwananyamala, wakiimba wakati wa uzinduzi uuzaji wa tiketi na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala yazindua harambee kukarabati kanisa hilo

1

Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala, Focus Masawe,  akizindua Kadi maalumu na tiketi kwa ajili ya harambee kuchangia ujenzi na ukarabati wa Kanisa hilo jijini Dar es Salaam.

2

Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala, Focus Masawe,  akionyesha Kadi maalumu na tiketi kwa ajili ya harambee kuchangia ujenzi na ukarabati wa Kanisa hilo baada ya kuzindua rasmi

3

5

Mwanajumuiya wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala,  Stephen Minja, akionyesha Kadi Maalumu ya  harambee ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu wa siku ya mwisho wakaribisha watu mbalimbali katika Kanisa lao

IMG_0152

Kiongozi wa shule ya Jumapili wa Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu wa siku za mwisho,Dr, Emanuel Kandusi akiwapatia maelezo mbalimbali kwa watu waliotembelea kanisa hilo wakati wa siku ya wazi kwa ajili ya watu mbalimbali kuangalia shughuli zinazofanywa na kanisa hilo.

IMG_0131

Mwakilishi wa Darasa la Mkono msaidizi wa akina mama Happy Ayubu akitoa maelezo kwa watu waliotembelea kanisa hilo.

IMG_0134

Baadhi ya watu waliotembelea kanisa hili wakipata maelekezo mbalimbali.

IMG_0110

Baadhi ya watu waliotembelea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani