Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shirika la TMEP lasaidia kupunguza mimba kwa watoto wa shule Singida

DSC04505

Afisa ufuatiliaji TMEP makao makuu jijini Dar-es-salaam, George John akizungumza kweye hafla ya kukabidhi nradi wa ushiriki sawa wa wanaume katika masuala ya afya ya uzazi na ujinsia kwa viongozi wa tarafa ya Nkonko wilaya ya Manyoni pamoja na kata zake kwa ajili ya kuuendeleza. Kwa mujibu wa George, mradi huo umesaidia kuondoa mimba mashuleni kwa kiwango kikubwa. Kulia ni afisa kutoka shirika la YMCA, Msuya na kushoto ni diwani wa kata ya Heka tarafa ya Nkonko. DSC04482 Baadhi ya waratibu wa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Shirika la WOWAP lawafunda vijana Singida kukabiliana na ukeketaji kwa watoto wa kike

DSC04309

Mratibu wa mradi wa kutokomeza ukeketaji kwa njia ya majadiliano mkoa wa Singida, Zuhura Karya, akihamasisha wanavikundi wa vijana na wanawake kata ya Sepuka jimbo la Singida magharibi kuongeza juhudi katika kupambana na vitendo vya ukeketaji kwa watoto wa kike. Kwa mujibu wa mratibu Karya, kwa sasa hali ni mbaya zaidi kwa vile vitoto vichanga vinakeketwa kwa kucha.

DSC04310

Baadhi ya wanavikundi wa wanawake wa kata ya Sepuka jimbo la Singida magharibi,wakifuatilia elimu juu ya madhara yatokanayo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kanisa la CGM lasaidia shule, gereza

KANISA la Christian and Gospel Ministry (CGM), wilayani hapa mkoani Mbeya limetoa misaada ya kijamii kwa watu wenye mahitaji wakiwemo wafungwa na yatima. Akizungumza na Tanzania Daima mjini hapa juzi,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Dk. Parseko Kone afunga mradi wa TMEP Singida na kuwaasa vijana kuzingatia elimu ya afya

DSC04581

Meneja wa shirika lisilo la kiserikali la Health Actions Promotions Association (HAPA), David Mnkaje, akitoa taarifa yake juu ya kumalizika kwa mradi wa ushiriki sawa kwa wanaume katika masuala ya afya ya uzazi na ujinsia (TMEP) mbele ya wadau waliofanikisha mradi huo wa miaka mine uliomalizika mwaka jana.Wa pili kushoto ni kaimu katibu tawala sekretarieti mkoa wa Singida Tiluganilwa Mayunga na wa kwanza kushoto ni meneja wa mradi wa TMEP,Cuthbert Maendaenda.

DSC04584

Kaimu Katibu Tawala miundo...

 

10 years ago

Mwananchi

400 waacha shule kwa mimba, utoro

Zaidi ya wanafunzi 400 wilayani hapa, mkoani Morogoro wameshindwa kuendelea na masomo ya sekondari kwa kwa sababu mbalimbali, ikiwamo ujauzito na wengine kukimbilia katika biashara ya uchimbaji wa madini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasichana 35 wafukuzwa shule kwa mimba, utoro

BODI ya Shule ya Sekondari Munkinya, Kata ya Dung’unyi wilayani Ikungi, Singida imewafukuza shule wanafunzi 35 kwa sababu za utoro, mimba na ukosefu wa nidhamu. Mkuu wa Shule hiyo, Joseph...

 

10 years ago

Vijimambo

BUNGE LA WATOTO OYSTERBAY SHULE YA MSINGI MKOANI MANYARA WAFANIKIWA KUWARUDISHA WATOTO WA MITAANI SHULE


Abdallah Waziri - ambaye ni mmoja wa watoto wa mitaani aliyerudishwa shule kwenye kikao cha leo.

Abdallah Waziri, Asia Mtibua na Mwalimu Gaudensia Igoshalimo wakimkaribisha Abdallah Waziri shuleni.

Mmoja wa wajumbe akitoa maoni yake katika kikao cha bunge katika shule ya oysterbay mkoani manyara

Mbunge Nasri Selemani akifuatilia hoja kwa makini.wakati kikao cha bunge la watoto likiendelea katika shule ya oysterbay mkoani manyara

Mbunge Nasri Selemani ambaye alikuwa ni mfanyakazi wa...

 

10 years ago

Michuzi

BUNGE LA WATOTO WA SHULE ZA MSINGI MKOANI MANYARA WAFANIKIWA KUWARUDISHA WATOTO WA MITAANI SHULE


Abdallah Waziri - ambaye ni mmoja wa watoto wa mitaani aliyerudishwa shule kwenye kikao cha leo.Abdallah Waziri, Asia Mtibua na Mwalimu Gaudensia Igoshalimo wakimkaribisha Abdallah Waziri shuleni.Mmoja wa wajumbe akitoa maoni yake katika kikao  cha bunge katika shule ya oysterbay mkoani manyara.

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

11 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA NELICO NA MABARAZA YA WATOTO WILAYA YA GEITA WAFANYA ZIARA YA KIMAFUNZO KATIKA SHIRIKA LA KIVULINI

Mkurugenzi wa Shirika la Kutetea Haki za Wanawake na Wasichana la KIVULINI akitoa historia ya shirika la KIVULINI kwa wawakilishi wa mabaraza ya watoto mara baada ya kutembelea ofisi za shirika hilo hapo jana. KIVULINI ni shirika lisolo la kiserikali linalofanya shughuli za kupinga na kutetea Haki za Wanawake na Wasichana katika mikoa yote ya kanda ya ziwa pamoja na mkoa wa Singida tangu mwaka 1999. Afisa Utetezi na Mitandao ya Kijamii toka Shirika la KIVULINI Bi. Khadija Liganga...

 

5 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA SEMA LATOA ELIMU YA KUJIKINGA NA CORONA KWA ASKARI POLISI WA MKOA WA SINGIDA

Mdau wa mapambano dhidi ya Corona kutoka Taasisi ya Empower Youth Prosperity ( EYP) ya mkoani Mbeya, Ipyana Mwakyusa akitoa elimu ya kujikinga dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa corona kwa Askari Polisi wa Kituo Kikuu cha Mkoa wa Singida leo hii Asubuhi.Askari Polisi wa Kituo Kikuu cha Mkoa wa Singida, wakipata elimu hiyo.Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Florence Mwenda, akisisitiza jambo kwa askari wa kituo hicho, wakati wa kutolewa kwa elimu hiyo.Mdau wa mapambano dhidi ya Corona kutoka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani