CAF yahaha kutafuta mbadala wa Morocco
Shirikisho la soka barani Africa CAF linahaha kutafuta nchi gani itakayookoa jahazi baada Morocco kuondolewa rasmi kuandaa fainali hizo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
CCM yahaha kutafuta mgombea Zanzibar
HARAKATI za kutafuta mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwakani zimezidi kushika kasi ambapo safari hii baadhi ya majina kutoka Zanzibar yanatajwa tajwa kumrithi Rais...
11 years ago
Mwananchi20 Oct
Serikali yahaha kutafuta soko la mahindi nje
Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika imetoa wito kwa wafanyabiashara kuchangamkia masoko ya mazao ya chakula nje ya nchi hasa mahindi kwa kuwa yapo mengi nchini.
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Simba yahaha kutafuta fedha za kujiandaa na ligi
Timu ya Simba inakabiliwa na ukata, ambapo inafanya juu chini kupata fedha kwa ajili ya kujiandaa na Ligi Kuu Tanzania bara itakayoanza Januari 25.
10 years ago
BBCSwahili07 Feb
Morocco yapigwa marufuku na CAF
Morocco imepigwa marufuku kushiriki katika michuano miwili ya kombe la Afrika baada ya kushindwa kuandaa michuano ya mwaka huu.
10 years ago
BBC
Morocco FA 'rejects Caf sanctions'
Morocco says Caf has "no regulatory basis" for banning them from the next two Nations Cups for not hosting the 2015 finals.
10 years ago
BBCSwahili12 Feb
Morocco yapinga adhabu za Caf
Morocco imepinga vikwazo ilivyowekewa na Caf kwa kushindwa kuandaa michuano ya Afcon ya mwaka 2015.
10 years ago
BBC
Caf undecided on Morocco 2017 place
The Confederation of African Football refuses to confirm whether Morocco will play in the qualifiers for the 2017 Africa Cup of Nations.
10 years ago
BBCSwahili05 Apr
CAF:Morocco kushiriki katika michuano
Shirikisho la soka barani Africa CAF limethibitisha kuwa Morocco itashiriki katika mechi za kufuzu kwa dimba la Afrika mwaka 2017.
10 years ago
BBCSwahili11 Nov
Morocco yakataa kuandaa CAF 2015
Morocco haitakuwa mwenyeji wa dimba la kombe la mataifa ya Afrika mwaka 2015, kwa sababu ya hofu ya kuenea kwa ugonjwa wa Ebola
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania