Serikali sasa yaombwa kupunguza pembejeo
>Wakulima wa Kilimo cha Mbogamboga na Matunda wilayani Lushoto, mkoani Tanga, wameomba Serikali kuwapunguzia gharama za pembejeo za kilimo ili walime kisasa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV21 Dec
Serikali yaombwa kudhibiti biashara ya mazao nje kupunguza mfumko wa bei
Baadhi ya wananchi wakiwemo wafanyabiashara wa mazao mbalimbali jijini Mbeya wameiomba Serikali kudhibiti biashara ya mazao ya chakula nje ya nchi hatua ambayo itasaidia kupunguza mfumko wa bei za vyakula.
Wamesema kwa sasa bei za vyakula kutoka kwa wakulima mashambani zimepanda tofauti na ilivyokuwa miezi michache iliyopita hali inayochagiwa na uuzwaji wa mazao hayo nje ya nchi.
Mazao yaliyopanda bei ni pamoja nyanya na Mchele ambao sasa unauzwa kati ya shilingi 34,000 mpaka 40,000 kwa debe...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-CJXuWT4pAwE/VA8YVkCGPrI/AAAAAAAABoU/BbrgrdpRGRo/s72-c/Deputy-minister-Christopher-K.-Chiza.jpg)
Wakulima sasa kupewa pembejeo kwa ruzuku
SERIKALI imesema inaanzisha utaratibu mpya wa utoaji wa ruzuku ya pembejeo kwa wakulima na kuachana na utaratibu wa vocha, ambao ulikuwa unafanyika kinyume na utaratibu.
![](http://2.bp.blogspot.com/-CJXuWT4pAwE/VA8YVkCGPrI/AAAAAAAABoU/BbrgrdpRGRo/s1600/Deputy-minister-Christopher-K.-Chiza.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Serikali yaonya uuzaji pembejeo ‘feki’
WIZARA ya Kilimo, Chakula na Ushirika imetoa onyo kwa mawakala wa pembejeo za kilimo na mifugo wanaotumia fursa hiyo kuchakachua kuelekea msimu wa kilimo. Tabia hiyo ya uchakachuaji wa pembejeo...
9 years ago
GPLSERIKALI YAZUNGUMZIA VOCHA ZA PEMBEJEO ZA KILIMO
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
Serikali yakiri ufisadi utoaji ruzuku za pembejeo za kilimo
WIZARA ya Kilimo, Chakula na Ushirika, imekiri kuwepo kwa changamoto nyingi katika mfumo wa utoaji ruzuku za pembejeo za kilimo kwa wakulima kwa mfumo wa vocha. Baadhi ya changamoto hizo...
10 years ago
Mtanzania02 May
Serikali yaombwa kuwabana waajiri
Ramadhani Hassan na Pendo Mangala
WAFANYAKAZI Mkoa wa Dodoma wameishauri Serikali ihakikishe waajiri wanawaongezea mishahara kwa sababu malipo wanayolipwa sasa ni madogo.
Hayo yalisemwa jana na Katibu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Mkoa wa Dodoma, Ramadhani Mwenda, wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri.
Mwenda alisema kipato cha ujira wa mshahara wa mwezi hakitoshi na kwamba mishahara ya watumishi ni...
10 years ago
Tanzania Daima30 Sep
Serikali yaombwa ruzuku Skauti
SERIKALI imeombwa kutenga bajeti maalumu itakayotolewa ruzuku kwa vijana Skauti nchini ikiwa ni hatua mojawapo ya kuwaandaa kuwa na uzalendo. Ombi hilo lilitolewa na Kamishina Mkuu Msaidizi Programu za VijanaSkauti,...
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Serikali yaombwa kusaidia chakula Ngorongoro
SERIKALI imeombwa kuchukua hatua za haraka kuhakikisha inasaidia wananchi waishio katika Tarafa ya Ngorongoro ambao hivi sasa wanakabiliwa na uhaba wa chakula na kuchangia mahudhurio duni ya wanafunzi shuleni. Ombi...
10 years ago
Mtanzania27 Apr
Serikali yaombwa kutenga fedha za kutosha
Na Tunu Nassor, Dar es Salaam
TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) wameiomba Serikali kutenga fedha za kutosha kwa taasisi zote za Serikali zinazohusika na suala la kukomesha ukatili dhidi ya albino.
Lengo la kutekeleza programu za kuelimisha umma kuharakisha upelelezi na uendeshaji wa kesi za watu wanaodaiwa kufanya ukatili huo.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa tume hiyo, Bahame Nyanduga alisema tume pamoja na wadau walikubaliana kuwa...