Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yaombwa kusaidia chakula Ngorongoro

SERIKALI imeombwa kuchukua hatua za haraka kuhakikisha inasaidia wananchi waishio katika Tarafa ya Ngorongoro ambao hivi sasa wanakabiliwa na uhaba wa chakula na kuchangia mahudhurio duni ya wanafunzi shuleni. Ombi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

NATO yaombwa kusaidia Afrika Magharibi

Ulaya imetoa wito kwa jumuia ya kujihami NATO kusaidia mapambano dhidi ya Ebola Afrika magharibi

 

11 years ago

Habarileo

Canada yaombwa kusaidia umeme vijijini

SERIKALI imeiomba Canada kusaidia upatikanaji wa dola za Marekani milioni 300 (sawa na Sh bilioni 480) kwa ajili ya miradi ya kupeleka umeme vijijini.

 

9 years ago

Dewji Blog

Jumuiya ya kimataifa yaombwa kusaidia huduma kambi ya Nyarugusu

IMG_6503

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez (wa pili kulia) na ujumbe wake aliombatana nao Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu duniani (UNFPA) nchini, Dkt. Natalia Kanem (wa pili kushoto) pamoja na Ofisa wa Mambo ya Nje kutoka Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Maulidah Hassan (kushoto) kabla ya kuelekea kambi ya Nyarugusu walipita...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali yaombwa ruzuku Skauti

SERIKALI imeombwa kutenga bajeti maalumu itakayotolewa ruzuku kwa vijana Skauti nchini ikiwa ni hatua mojawapo ya kuwaandaa kuwa na uzalendo. Ombi hilo lilitolewa na Kamishina Mkuu Msaidizi Programu za VijanaSkauti,...

 

10 years ago

Mtanzania

Serikali yaombwa kuwabana waajiri

Ramadhani Hassan na Pendo Mangala
WAFANYAKAZI Mkoa wa Dodoma wameishauri Serikali ihakikishe waajiri wanawaongezea mishahara kwa sababu malipo wanayolipwa sasa ni madogo.
Hayo yalisemwa jana na Katibu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Mkoa wa Dodoma, Ramadhani Mwenda, wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri.
Mwenda alisema kipato cha ujira wa mshahara wa mwezi hakitoshi na kwamba mishahara ya watumishi ni...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali sasa yaombwa kupunguza pembejeo

>Wakulima wa Kilimo cha Mbogamboga na Matunda wilayani Lushoto, mkoani Tanga, wameomba Serikali kuwapunguzia gharama za pembejeo za kilimo ili walime kisasa.

 

10 years ago

Mtanzania

Serikali yaombwa kutenga fedha za kutosha

Na Tunu Nassor, Dar es Salaam
TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) wameiomba Serikali kutenga fedha za kutosha kwa taasisi zote za Serikali zinazohusika na suala la kukomesha ukatili dhidi ya albino.
Lengo la kutekeleza programu za kuelimisha umma kuharakisha upelelezi na uendeshaji wa kesi za watu wanaodaiwa kufanya ukatili huo.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa tume hiyo, Bahame Nyanduga alisema tume pamoja na wadau walikubaliana kuwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Serikali yaombwa kutofunga misikiti Kenya

Hali imetulia mjini Mombasa baada ya ghasia kuzuka polisi walipovamia msikiti mmoja ambapo walidai kuwa vijana walikuwa wanapewa mafunzo ya itikadi kali za kiisilamu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani