Serikali yaonya uuzaji pembejeo ‘feki’
WIZARA ya Kilimo, Chakula na Ushirika imetoa onyo kwa mawakala wa pembejeo za kilimo na mifugo wanaotumia fursa hiyo kuchakachua kuelekea msimu wa kilimo. Tabia hiyo ya uchakachuaji wa pembejeo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo14 Nov
Serikali yaonya wawekezaji feki
SERIKALI imeyaonya baadhi ya kampuni yenye nia ya kuja nchini kwa ajili ya uwekezaji katika sekta ya nishati, kuhakikisha hayashbikii vitendo vya rushwa.
11 years ago
Mwananchi10 Feb
Serikali sasa yaombwa kupunguza pembejeo
9 years ago
GPLSERIKALI YAZUNGUMZIA VOCHA ZA PEMBEJEO ZA KILIMO
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/sD_zOmscuq0/default.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
Serikali yakiri ufisadi utoaji ruzuku za pembejeo za kilimo
WIZARA ya Kilimo, Chakula na Ushirika, imekiri kuwepo kwa changamoto nyingi katika mfumo wa utoaji ruzuku za pembejeo za kilimo kwa wakulima kwa mfumo wa vocha. Baadhi ya changamoto hizo...
9 years ago
MichuziSERIKALI KUKOMESHA UCHIMBAJI NA UUZAJI HARAMU WA MADINI
Washiriki wa warsha wakifuatilia uwasilishaji mada kuhusu utekelezaji wa mpango wa kupambana na uchimbaji haramu wa rasilimali kwa nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR) ujulikanao...
9 years ago
StarTV29 Dec
Serikali yapiga marufuku uuzaji matunda yaliyokatwa
Serikali imetoa tahadhari ya ugonjwa wa kipindupindu kuendelea kuwa tishio kwa baadhi ya mikoa nchini tangu ugonjwa huo uliporipotiwa Agosti 15 mwaka huu.
Tahadhari hiyo imetolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu alipozungumza Jijini Dar es salaam.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto amesema kusambaa kwa ugonjwa wa Kipindupindu nchini kunaendelea kwa kasi tangu iliporipotiwa kwa mara ya kwanza mwaka huu Agosti 15,...
9 years ago
MichuziSERIKALI YAANZA UTEKELEZAJI WA RUZUKU YA PEMBEJEO ZA KILIMO KWA NJIA YA VOCHA.
11 years ago
Dewji Blog28 Jul
Serikali yasisitiza utekelezaji wa Sheria ya usambazaji na uuzaji wa kazi za Filamu na Muziki
Mkurugenzi Sera na Utafiti wa TRA Bw. Tonedeus Muganyizi akizungumza na wana umoja wa uingizaji na uuzaji wa kazi za filamu na muziki zinazotoka nchi za nje wakati wa kikao cha wafanyabiashara hao na asasi zinazosimamia usambazaji na uuzaji wa kazi za filamu na muziki jana jijini Dar es Salaam.
Wadau mbalimbali wakijadiliana wakati wa kikao cha wafanyabiashara na asasi zinazosimamia usambazaji na uuzaji wa kazi za filamu na muziki jana jijini Dar es Salaam.
Wana umoja wa kuingiza na kuuza...