Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SERIKALI YAZUNGUMZIA VOCHA ZA PEMBEJEO ZA KILIMO

Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa Pembejeo za Kilimo, Shenal S. Nyonni, Mkurugenzi wa Mazao, Twahir Nzalawahe na afisa habari wa wizara hiyo (anayezungumza kulia), Richard Kasuga. Viongozi hao wakisikiliza maswali yaliyokuwa yakiulizwa na wanahabari (hawapo pichani).…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

SERIKALI YAANZA UTEKELEZAJI WA RUZUKU YA PEMBEJEO ZA KILIMO KWA NJIA YA VOCHA.

 Msemaji wa Wizara ya Kilimo cha Chakula na Ushirika,  Richard Yasini  akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya pembejeo za kilimo zenye thamani zaidi ya Sh. Bilioni 78  ambazo zimesambazwa katika mikoa 24  ya  Tanzania Bara ili zitumike kufidia gharama ya mbolea na mbegu bora katika msimu wa 2015/2016.Vocha hizo zitawanufaisha wakulima 999,926 wanaojihusisha na kilimo cha mazao ya mahindi na mpunga. Mkutano huo umefanyika  leo jijini Dar es salaam kulia ni Mkurugenzi...

 

10 years ago

Habarileo

Vocha za pembejeo zaondolewa benki

WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven WassiraSERIKALI imerudisha mfumo wa vocha za pembejeo ya ruzuku za kilimo kwa baadhi ya mazao kwa wakulima kuanzia mwaka 2015/16, ili kuwawezesha wakulima wengi kupata zana hizo, kutokana na mfumo wa awali wa kutoa ruzuku hizo kupitia benki, kushindwa kuwafikia wakulima wote.

 

11 years ago

Habarileo

Ruzuku ya pembejeo kwa vocha yafutwa

SERIKALI imetangaza rasmi kuondoa utaratibu wa ruzuku kwa kutumia vocha za pembejeo. Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Mhandisi Christopher Chiza alisema hayo jana katika hotuba ya makadirio ya matumizi ya fedha ya Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika kwa mwaka 2014/2015.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali yakiri ufisadi utoaji ruzuku za pembejeo za kilimo

WIZARA ya Kilimo, Chakula na Ushirika, imekiri kuwepo kwa changamoto nyingi katika mfumo wa utoaji ruzuku za pembejeo za kilimo kwa wakulima kwa mfumo wa vocha. Baadhi ya changamoto hizo...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wakulima nchini kunufaika na ruzuku ya vocha za pembejeo yenye thamani ya Bilioni 78!

wakulima

Baaadhi ya wakulima wadogowadogo nchini wakiwa katika shughuli za kila siku za Kilimo kwa kutumia jembe la mkono. (Picha na Maktba yetu).

Na Rabi Hume, Modewjiblog

[DAR ES SALAAM] Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika imetangaza kuanza kutoa vocha za pembejeo ambazo serikali imezipatia ruzuku.

Akizungumza na waandishi wa habari, jijini hapa, Msemaji wa Wizara hiyo, Richard Kasuga amebainisha kuwa,  Serikali imetumia shilingi bilioni 78, kwa ajili ya kununua...

 

11 years ago

Habarileo

CAG kukagua bil. 574/- za vocha za kilimo

Mwenyekiti wa KAMATI za Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe.KAMATI za Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeitaka ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kufanya ukaguzi maalumu wa fedha Sh bilioni 574 zilizotumika kwa miaka sita kwenye vocha za pembejeo za kilimo.

 

10 years ago

Mwananchi

Wakulima hatarini kukosa pembejeo za kilimo

Wakulima ambao hawajajiunga na vyama vya kuweka na kukopa (Saccos) au vile vya ushirika watakosa fursa ya kupata pembejeo za kilimo za ruzuku kutoka serikalini katika msimu wa mwaka 2014/15.

 

9 years ago

Michuzi

MATUMIZI SAHIHI YA PEMBEJEO KUINUA SEKTA YA KILIMO NCHINI

Na Jovina Bujulu- MAELEZO                                  Wakulima wametakiwa kutumia vizuri dhamana waliyopewa ya ya mfumo wa vocha ili kuongeza uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara kwa maslahi yao na Taifa kwa ujumla.
Wito huo umetolewa jijini Dar-Es-Salaam na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano, Wizara ya Kilimo, Chakula na Viwanda Richard Kasuga alipokuwa akitoa taarifa ya ruzuku ya pembejeo  za kilimo kwa njia ya vocha nchini.
Kasuga aliendelea kusema kuwa matumizi sahihi ya mbegu bora...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wakulima Dodoma, wasifu Ufanisi wa TPA katika kuwezesha Usafirishaji wa Mazao na Uagizaji wa Pembejeo za Kilimo

PIC 1

Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Bw.  Hamis Abdallah Mwenda (kushoto) akipata maelezo katika Banda la TPA lililopo viwanja vya nanenane Nzuguni, Dodoma kutoka kwa Afisa Mawasiliano, Bw. Focus Mauki (kulia). Katikati ni Afisa Mkuu wa TPA, Bi. Lydia Mallya.

PIC 2

Afisa Mawasiliano, Bw. Focus Mauki (wapili kushoto) akifafanua jambo kwa Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Bw.  Hamis Abdallah Mwenda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani