CAG kukagua bil. 574/- za vocha za kilimo
KAMATI za Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeitaka ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kufanya ukaguzi maalumu wa fedha Sh bilioni 574 zilizotumika kwa miaka sita kwenye vocha za pembejeo za kilimo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLSERIKALI YAZUNGUMZIA VOCHA ZA PEMBEJEO ZA KILIMO
9 years ago
MichuziSERIKALI YAANZA UTEKELEZAJI WA RUZUKU YA PEMBEJEO ZA KILIMO KWA NJIA YA VOCHA.
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/9SOTVAOSyIE/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CVU5FipKmeU/U8zMG0Xj2FI/AAAAAAAF4SU/LqQUJ-DYOcM/s72-c/unnamed+(18).jpg)
JK afungua kituo cha afya na kukagua kilimo cha Kahawa Mbinga, afungua soko la kimataifa mkenda
![](http://3.bp.blogspot.com/-CVU5FipKmeU/U8zMG0Xj2FI/AAAAAAAF4SU/LqQUJ-DYOcM/s1600/unnamed+(18).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tl73CbvjXCY/U8zIBzTX1II/AAAAAAAF4Qg/w1OhpjJGz_s/s1600/D92A6133.jpg)
11 years ago
Mwananchi18 Jun
‘Msiwaachie vocha wafanyabiashara’
10 years ago
Habarileo24 May
Vocha za pembejeo zaondolewa benki
SERIKALI imerudisha mfumo wa vocha za pembejeo ya ruzuku za kilimo kwa baadhi ya mazao kwa wakulima kuanzia mwaka 2015/16, ili kuwawezesha wakulima wengi kupata zana hizo, kutokana na mfumo wa awali wa kutoa ruzuku hizo kupitia benki, kushindwa kuwafikia wakulima wote.
5 years ago
CCM BlogWAZIRI BITEKO:SEKTA YA MADINI YAONGOZA KWA UKUAJI NCHINI. MAKUSANYO YAPAA KUTOKA BIL. 39 HADI BIL.58 APRILI
Nuru Mwasampeta na Tito Mselem,WM- Dodoma
WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji na mchango wa Sekta ya Madini kwenye pato la taifa unakua kwa kasi na kuwa mwaka 2019 mchango huo umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia 1.5 kwa mwaka 2018.
Amesema, kwa ukuaji huo sekta ya madini imeongoza sekta zote kwa ukuaji ikifuatiwa na sekta ya ujenzi ikiwa na ukuaji wa asilimia 14.1.
Ameongeza kuwa, wizara yake imekuwa ikikusanya kiasi cha wastani wa shilingi bilioni 39 kwa...
11 years ago
Habarileo28 May
Majambazi waua 3, wapora vocha, fedha
WATU watatu wameuawa kwa kupigwa risasi na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi usiku wa kuamkia jana katika matukio na maeneo tofauti ya wilaya za Kahama na Shinyanga mkoani hapa.
11 years ago
Habarileo11 May
Ruzuku ya pembejeo kwa vocha yafutwa
SERIKALI imetangaza rasmi kuondoa utaratibu wa ruzuku kwa kutumia vocha za pembejeo. Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Mhandisi Christopher Chiza alisema hayo jana katika hotuba ya makadirio ya matumizi ya fedha ya Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika kwa mwaka 2014/2015.