Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CAG kukagua bil. 574/- za vocha za kilimo

Mwenyekiti wa KAMATI za Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe.KAMATI za Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeitaka ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kufanya ukaguzi maalumu wa fedha Sh bilioni 574 zilizotumika kwa miaka sita kwenye vocha za pembejeo za kilimo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

SERIKALI YAZUNGUMZIA VOCHA ZA PEMBEJEO ZA KILIMO

Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa Pembejeo za Kilimo, Shenal S. Nyonni, Mkurugenzi wa Mazao, Twahir Nzalawahe na afisa habari wa wizara hiyo (anayezungumza kulia), Richard Kasuga. Viongozi hao wakisikiliza maswali yaliyokuwa yakiulizwa na wanahabari (hawapo pichani).…

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI YAANZA UTEKELEZAJI WA RUZUKU YA PEMBEJEO ZA KILIMO KWA NJIA YA VOCHA.

 Msemaji wa Wizara ya Kilimo cha Chakula na Ushirika,  Richard Yasini  akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya pembejeo za kilimo zenye thamani zaidi ya Sh. Bilioni 78  ambazo zimesambazwa katika mikoa 24  ya  Tanzania Bara ili zitumike kufidia gharama ya mbolea na mbegu bora katika msimu wa 2015/2016.Vocha hizo zitawanufaisha wakulima 999,926 wanaojihusisha na kilimo cha mazao ya mahindi na mpunga. Mkutano huo umefanyika  leo jijini Dar es salaam kulia ni Mkurugenzi...

 

11 years ago

Michuzi

JK afungua kituo cha afya na kukagua kilimo cha Kahawa Mbinga, afungua soko la kimataifa mkenda

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kufungua rasmi kituo cha afya katika Gereza la Kitai wilayani Mbinga jana.Kushoto ni Mkuu wa Gereza hilo Alexander Richard Nyefwe.Kituo hicho kitatoa huduma kwa askari magereza,wafungwa na vijiji jirani Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi miche bora ya kahawa mkulima mdogo Bi Dorothea Komba wakati alipolitembelea na kukagua shamba la kahawa AVIV Farm linalomilikiwa na kampuni ya Olam katika kijiji cha Lipokela wilayani Mbinga, mkoani Ruvuma...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Msiwaachie vocha wafanyabiashara’

Wakulima wametakiwa kutowaachia vocha za pembejeo wafanyabiashara, kwa kuwa Serikali ilishalipia sehemu ya gharama ili kuwapunguzia mzigo.

 

10 years ago

Habarileo

Vocha za pembejeo zaondolewa benki

WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven WassiraSERIKALI imerudisha mfumo wa vocha za pembejeo ya ruzuku za kilimo kwa baadhi ya mazao kwa wakulima kuanzia mwaka 2015/16, ili kuwawezesha wakulima wengi kupata zana hizo, kutokana na mfumo wa awali wa kutoa ruzuku hizo kupitia benki, kushindwa kuwafikia wakulima wote.

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI BITEKO:SEKTA YA MADINI YAONGOZA KWA UKUAJI NCHINI. MAKUSANYO YAPAA KUTOKA BIL. 39 HADI BIL.58 APRILI



Nuru Mwasampeta na Tito Mselem,WM- Dodoma

WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji na mchango wa Sekta ya Madini kwenye pato la taifa unakua kwa kasi na kuwa mwaka 2019 mchango huo umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia 1.5 kwa mwaka 2018.
Amesema, kwa ukuaji huo sekta ya madini imeongoza sekta zote kwa ukuaji ikifuatiwa na sekta ya ujenzi ikiwa na ukuaji wa asilimia 14.1.
Ameongeza kuwa, wizara yake imekuwa ikikusanya kiasi cha wastani wa shilingi bilioni 39 kwa...

 

11 years ago

Habarileo

Majambazi waua 3, wapora vocha, fedha

WATU watatu wameuawa kwa kupigwa risasi na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi usiku wa kuamkia jana katika matukio na maeneo tofauti ya wilaya za Kahama na Shinyanga mkoani hapa.

 

11 years ago

Habarileo

Ruzuku ya pembejeo kwa vocha yafutwa

SERIKALI imetangaza rasmi kuondoa utaratibu wa ruzuku kwa kutumia vocha za pembejeo. Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Mhandisi Christopher Chiza alisema hayo jana katika hotuba ya makadirio ya matumizi ya fedha ya Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika kwa mwaka 2014/2015.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani