Vocha za pembejeo zaondolewa benki
SERIKALI imerudisha mfumo wa vocha za pembejeo ya ruzuku za kilimo kwa baadhi ya mazao kwa wakulima kuanzia mwaka 2015/16, ili kuwawezesha wakulima wengi kupata zana hizo, kutokana na mfumo wa awali wa kutoa ruzuku hizo kupitia benki, kushindwa kuwafikia wakulima wote.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLSERIKALI YAZUNGUMZIA VOCHA ZA PEMBEJEO ZA KILIMO
11 years ago
Habarileo11 May
Ruzuku ya pembejeo kwa vocha yafutwa
SERIKALI imetangaza rasmi kuondoa utaratibu wa ruzuku kwa kutumia vocha za pembejeo. Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Mhandisi Christopher Chiza alisema hayo jana katika hotuba ya makadirio ya matumizi ya fedha ya Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika kwa mwaka 2014/2015.
9 years ago
MichuziSERIKALI YAANZA UTEKELEZAJI WA RUZUKU YA PEMBEJEO ZA KILIMO KWA NJIA YA VOCHA.
9 years ago
Dewji Blog16 Nov
Wakulima nchini kunufaika na ruzuku ya vocha za pembejeo yenye thamani ya Bilioni 78!
Baaadhi ya wakulima wadogowadogo nchini wakiwa katika shughuli za kila siku za Kilimo kwa kutumia jembe la mkono. (Picha na Maktba yetu).
Na Rabi Hume, Modewjiblog
[DAR ES SALAAM] Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika imetangaza kuanza kutoa vocha za pembejeo ambazo serikali imezipatia ruzuku.
Akizungumza na waandishi wa habari, jijini hapa, Msemaji wa Wizara hiyo, Richard Kasuga amebainisha kuwa, Serikali imetumia shilingi bilioni 78, kwa ajili ya kununua...
11 years ago
Mwananchi18 Jun
‘Msiwaachie vocha wafanyabiashara’
11 years ago
Habarileo28 May
Majambazi waua 3, wapora vocha, fedha
WATU watatu wameuawa kwa kupigwa risasi na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi usiku wa kuamkia jana katika matukio na maeneo tofauti ya wilaya za Kahama na Shinyanga mkoani hapa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdG71GPfFwF8PVZcVClKuzaKbYqZoe6oRQbCVHEIDZg-urHsk0J-Fn7NyrZ*HAO0nr5eKG3Qwc9KEbsFWfxjdCk8O8y5iFuV/mahaba.jpg)
LEOLEO HAPANA, LAKINI UNATAKA VOCHA?
11 years ago
Habarileo29 Jan
CAG kukagua bil. 574/- za vocha za kilimo
KAMATI za Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeitaka ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kufanya ukaguzi maalumu wa fedha Sh bilioni 574 zilizotumika kwa miaka sita kwenye vocha za pembejeo za kilimo.
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Pembejeo zawatesa wakulima