‘Msiwaachie vocha wafanyabiashara’
Wakulima wametakiwa kutowaachia vocha za pembejeo wafanyabiashara, kwa kuwa Serikali ilishalipia sehemu ya gharama ili kuwapunguzia mzigo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo24 May
Vocha za pembejeo zaondolewa benki
SERIKALI imerudisha mfumo wa vocha za pembejeo ya ruzuku za kilimo kwa baadhi ya mazao kwa wakulima kuanzia mwaka 2015/16, ili kuwawezesha wakulima wengi kupata zana hizo, kutokana na mfumo wa awali wa kutoa ruzuku hizo kupitia benki, kushindwa kuwafikia wakulima wote.
11 years ago
Habarileo11 May
Ruzuku ya pembejeo kwa vocha yafutwa
SERIKALI imetangaza rasmi kuondoa utaratibu wa ruzuku kwa kutumia vocha za pembejeo. Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Mhandisi Christopher Chiza alisema hayo jana katika hotuba ya makadirio ya matumizi ya fedha ya Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika kwa mwaka 2014/2015.
11 years ago
Habarileo28 May
Majambazi waua 3, wapora vocha, fedha
WATU watatu wameuawa kwa kupigwa risasi na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi usiku wa kuamkia jana katika matukio na maeneo tofauti ya wilaya za Kahama na Shinyanga mkoani hapa.
9 years ago
GPLSERIKALI YAZUNGUMZIA VOCHA ZA PEMBEJEO ZA KILIMO
11 years ago
GPL
LEOLEO HAPANA, LAKINI UNATAKA VOCHA?
11 years ago
Habarileo29 Jan
CAG kukagua bil. 574/- za vocha za kilimo
KAMATI za Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeitaka ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kufanya ukaguzi maalumu wa fedha Sh bilioni 574 zilizotumika kwa miaka sita kwenye vocha za pembejeo za kilimo.
9 years ago
MichuziSERIKALI YAANZA UTEKELEZAJI WA RUZUKU YA PEMBEJEO ZA KILIMO KWA NJIA YA VOCHA.
9 years ago
Dewji Blog16 Nov
Wakulima nchini kunufaika na ruzuku ya vocha za pembejeo yenye thamani ya Bilioni 78!
Baaadhi ya wakulima wadogowadogo nchini wakiwa katika shughuli za kila siku za Kilimo kwa kutumia jembe la mkono. (Picha na Maktba yetu).
Na Rabi Hume, Modewjiblog
[DAR ES SALAAM] Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika imetangaza kuanza kutoa vocha za pembejeo ambazo serikali imezipatia ruzuku.
Akizungumza na waandishi wa habari, jijini hapa, Msemaji wa Wizara hiyo, Richard Kasuga amebainisha kuwa, Serikali imetumia shilingi bilioni 78, kwa ajili ya kununua...
10 years ago
Vijimambo04 Sep
DR SLAA AKIRI KUKUTANA NA MWAKYEMBE SIKU MOJA KABLA YA KUKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI, AMWAMBIA LISSU AONYESHE VOCHA YA YEYE KUCHUKUA MSHAHARA CHADEMA

SIKU moja baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, kutangaza kuachana na siasa na kushusha tuhuma kwa chama chake, maaskofu wa Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), imebainika kuwa kabla ya kuzungumza na waandishi wa habari alikutana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiwamo Dk. Harison Mwakyembe.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Dk. Slaa ambaye alimshambulia mgombea...