Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MATUMIZI SAHIHI YA PEMBEJEO KUINUA SEKTA YA KILIMO NCHINI

Na Jovina Bujulu- MAELEZO                                  Wakulima wametakiwa kutumia vizuri dhamana waliyopewa ya ya mfumo wa vocha ili kuongeza uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara kwa maslahi yao na Taifa kwa ujumla.
Wito huo umetolewa jijini Dar-Es-Salaam na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano, Wizara ya Kilimo, Chakula na Viwanda Richard Kasuga alipokuwa akitoa taarifa ya ruzuku ya pembejeo  za kilimo kwa njia ya vocha nchini.
Kasuga aliendelea kusema kuwa matumizi sahihi ya mbegu bora...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAZIRI HASUNGA AITAKA TARI KUFANYA TAFITI ZINAZOLENGA KUONGEZA TIJA NA UZALISHAJI NA KUHAMASISHA MATUMIZI YA PEMBEJEO ZA KILIMO

Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga akikagua mashamba ya maonesho wakati wa hafla ya ufunguzi wa maonesho ya Kilimo Bishara mwaka 2020 yaliyoandaliwa na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI-Ilonga) kwa kushirikiana na makampuni ya mbegu tarehe 17 Juni 2020. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga akikagua mashamba ya maonesho wakati wa hafla ya ufunguzi wa maonesho ya Kilimo Bishara mwaka 2020 yaliyoandaliwa na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania...

 

11 years ago

Mwananchi

Mitaji iboreshwe kuinua kilimo nchini

Kilimo kinatajwa kuwa moja ya sekta muhimu nchini ambayo inategemewa kuleta mapinduzi ya kiuchumi kama sera ya Taifa ya kilimo itawashirikisha wadau wote wa sekta hiyo kuanzia ngazi ya chini mpaka taifa.

 

9 years ago

Dewji Blog

Tanzania na Poland kukuza sekta ya kilimo nchini

01

Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Stephen Wasira akiongea na ujumbe wa wataalam wa kilimo kutoka nchini Poland ulioongozwa na Waziri wa Kilimo na Maendeleo Vjijini wa Poland Bi. Zofia Szalczyk hivi karibuni jijini Dar es salaam wakati wa mkutano uliohusu makubaliano yanalenga kuinua sekta ya kilimo na kurahisisha upatikanaji wa matrekta hapa nchini. Wa kwanza kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika Yamungu Kayandabila.

02

Waziri wa Kilimo na Maendeleo Vjijini...

 

9 years ago

Dewji Blog

Forum CC wakutana na wadau kujadili fedha za utafiti zinazopelekwa sekta ya Kilimo na mifugo nchini

Mwenyekiti wa bodi ya ForumCC, Euster Kibona akifungua semina ya kujadili ripoti ya matumizi ya fedha za misaada hasa kwenye mabadiliko ya tabianchi iliyofanyika jana jijini Dar.

Mratibu wa Forum CC, Rebecca Muna akitoa maelezo kuhusu ForumCC kwenye semina na wadau wa mazingira waliofika kujadili changamoto za bajeti ya mabadiliko ya tabianchi ambayo imewashirikisha baadhi ya wadau wa mazingira hapa nchini na nje ya nchi.

Judy Ndichu ambaye ni mjumbe wa mazingira kutoka nchini Kenya...

 

11 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA RUKWA AONANA NA WATAFITI KUTOKA TAASISI YA UTAFITI WA KILIMO UYOLE MBEYA KUJADILI KUINUA KILIMO CHA NGANO MKOANI RUKWA

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Injinia Stella Manyanya akizungumza na watafiti kutoka taasisi ya Utafiti wa Kilimo Uyole iliyopo Mkoani Mbeya walipomtembelea ofisini kwake leo kutambulisha mpango wa SARD (Strategic Agriculture Reseach Development) unaodhaminiwa na Benki ya Maendeleo ya Afrika ADB (Africa Development Bank). Mpango huo una lengo la kupunguza utegemezi wa chakula nchini kwa kuongeza uzalishaji wa vyakula mbalimbali ikiwemo zao la ngano ambalo ni sehemu ya mradi huo Mkoani Rukwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Wakulima hatarini kukosa pembejeo za kilimo

Wakulima ambao hawajajiunga na vyama vya kuweka na kukopa (Saccos) au vile vya ushirika watakosa fursa ya kupata pembejeo za kilimo za ruzuku kutoka serikalini katika msimu wa mwaka 2014/15.

 

9 years ago

GPL

SERIKALI YAZUNGUMZIA VOCHA ZA PEMBEJEO ZA KILIMO

Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa Pembejeo za Kilimo, Shenal S. Nyonni, Mkurugenzi wa Mazao, Twahir Nzalawahe na afisa habari wa wizara hiyo (anayezungumza kulia), Richard Kasuga. Viongozi hao wakisikiliza maswali yaliyokuwa yakiulizwa na wanahabari (hawapo pichani).…

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali yakiri ufisadi utoaji ruzuku za pembejeo za kilimo

WIZARA ya Kilimo, Chakula na Ushirika, imekiri kuwepo kwa changamoto nyingi katika mfumo wa utoaji ruzuku za pembejeo za kilimo kwa wakulima kwa mfumo wa vocha. Baadhi ya changamoto hizo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani