Mitaji iboreshwe kuinua kilimo nchini
Kilimo kinatajwa kuwa moja ya sekta muhimu nchini ambayo inategemewa kuleta mapinduzi ya kiuchumi kama sera ya Taifa ya kilimo itawashirikisha wadau wote wa sekta hiyo kuanzia ngazi ya chini mpaka taifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hfupb6b0LE4/Vkrgz8gSmDI/AAAAAAAIGU8/ha-i8rRjHTI/s72-c/001.MTAMA.jpg)
MATUMIZI SAHIHI YA PEMBEJEO KUINUA SEKTA YA KILIMO NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-hfupb6b0LE4/Vkrgz8gSmDI/AAAAAAAIGU8/ha-i8rRjHTI/s400/001.MTAMA.jpg)
Wito huo umetolewa jijini Dar-Es-Salaam na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano, Wizara ya Kilimo, Chakula na Viwanda Richard Kasuga alipokuwa akitoa taarifa ya ruzuku ya pembejeo za kilimo kwa njia ya vocha nchini.
Kasuga aliendelea kusema kuwa matumizi sahihi ya mbegu bora...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DHnq2kaMQ-Q/U3TNnw5E_tI/AAAAAAAAFa8/3WLjrMld-ZY/s72-c/IMG_1363.jpg)
MKUU WA MKOA WA RUKWA AONANA NA WATAFITI KUTOKA TAASISI YA UTAFITI WA KILIMO UYOLE MBEYA KUJADILI KUINUA KILIMO CHA NGANO MKOANI RUKWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-DHnq2kaMQ-Q/U3TNnw5E_tI/AAAAAAAAFa8/3WLjrMld-ZY/s1600/IMG_1363.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-m5vDqkfZBoo/U3TNvDNgCnI/AAAAAAAAFbE/V45SjPjcT7E/s1600/IMG_1358.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JYnkfjwVHwo/Xqx5aZc2byI/AAAAAAALozw/wk9wyOGhgrMsAhycT2wdhifEAdAOjrHlQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200501-WA0044.jpg)
MASAWE -WAKULIMA WAJIKITE KATIKA KILIMO CHA TEKNOLOJIA YA KISASA KUINUA KIPATO CHAO
WAKULIMA nchini wametakiwa watumie soko la Afrika Mashariki kwa kulima kilimo chenye tija na kutumia teknolojia mpya za kisasa huku wakiaswa kuachana na kilimo cha mazoea cha kujikimu ambacho hakiwaletei faida.
Hayo yalisemwa mjini Kibaha na mkurugenzi wa shamba darasa lililopo wilaya Kibaha mkoani Pwani Ephrahim Masawe na kuongeza kuwa soko hilo ndilo litakaloinua uchumi wao kwani linafaida kubwa.
Jambo kubwa ni kutumia mbegu bora na kutumia teknolojia mpya ikiwemo...
11 years ago
Mwananchi08 Feb
SBL yapania kuinua wakulima nchini
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Chuo India chadhamiria kuinua elimu nchini
MKURUGENZI wa Chuo Kikuu cha Rajendra Singh cha nchini India, Dk. Sarit Kumar, amesema chuo chake kipo tayari kushirikiana na Serikali ya Tanzania kuinua sekta ya elimu nchini. Amesema chuo...
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Mkakati wa Insignia kuinua maisha ya mafundi rangi nchini
Kampuni inayoongoza kwa uzalishaji wa rangi Maalum, Insignia Limited imeendelea kuonesha nia yake ya kutoa huduma zinazomjali mteja, ubunifu na pia mapinduzi katika soko la rangi nchini Tanzania kwa ujumla. Hivi karibuni kampuni hii imewapatia mafunzo zaidi ya mafundi rangi 50 mwishoni mwa wiki hii mjin Dar es salaam,yaliyoandaliwa maalumu kwa ajili ya wakazi wa mbagala yakiwa na lengo la kuinua kiwango cha mafundi rangi katika sekta hii na kuboresha maisha yao kwa ujumla hapa...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Kd07uVIHkcw/default.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10