Mkakati wa Insignia kuinua maisha ya mafundi rangi nchini
Kampuni inayoongoza kwa uzalishaji wa rangi Maalum, Insignia Limited imeendelea kuonesha nia yake ya kutoa huduma zinazomjali mteja, ubunifu na pia mapinduzi katika soko la rangi nchini Tanzania kwa ujumla. Hivi karibuni kampuni hii imewapatia mafunzo zaidi ya mafundi rangi 50 mwishoni mwa wiki hii mjin Dar es salaam,yaliyoandaliwa maalumu kwa ajili ya wakazi wa mbagala yakiwa na lengo la kuinua kiwango cha mafundi rangi katika sekta hii na kuboresha maisha yao kwa ujumla hapa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog19 Jun
Insignia (Coral Paints) waanzilishi rangi rafiki wa mazingira nchini Tanzania
Kuchagua rangi rafiki kwa mazingira wakati wa upambaji hakufanyi tu hewa ya ndani kuwa safi lakini pia hutunza mazingira. Hewa safi na nzuri ni jambo la kwanza kwa nyumba inayozingatia mazingira. Kwa Bahati mbaya, kuna matatizo makubwa sana ya kiafya yanayoletwa na sumu zinazowekwa katika rangi kwa lengo la kuongeza ubora wa rangi hizo. Sumu hizi ni pamoja na risasi, zebaki, aseniki na Kromiam.
Utafiti wa mwaka 2002 uliofanywa na Taasisi ya Saratani ya Marekani ulibaini kuwa wanawake na...
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
WMA na mkakati wa kuinua sekta ya gesi
MIONGONI mwa majukumu ya Wakala wa Vipimo (WMA)ni kuhakikisha kuwa vipimo vyote vinavyotumika katika sekta za biashara, afya, usalama na mazingira vinakuwa sahihi. Baada ya serikali kufanya mabadiliko ya sera...
11 years ago
Mwananchi08 Feb
SBL yapania kuinua wakulima nchini
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Mitaji iboreshwe kuinua kilimo nchini
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Chuo India chadhamiria kuinua elimu nchini
MKURUGENZI wa Chuo Kikuu cha Rajendra Singh cha nchini India, Dk. Sarit Kumar, amesema chuo chake kipo tayari kushirikiana na Serikali ya Tanzania kuinua sekta ya elimu nchini. Amesema chuo...
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Michuzi
AIRTEL FURSA YAENDELA KUINUA VIJANA HAPA NCHINI

9 years ago
Michuzi
MATUMIZI SAHIHI YA PEMBEJEO KUINUA SEKTA YA KILIMO NCHINI

Wito huo umetolewa jijini Dar-Es-Salaam na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano, Wizara ya Kilimo, Chakula na Viwanda Richard Kasuga alipokuwa akitoa taarifa ya ruzuku ya pembejeo za kilimo kwa njia ya vocha nchini.
Kasuga aliendelea kusema kuwa matumizi sahihi ya mbegu bora...
5 years ago
Michuzi
Kampuni za mawasiliano ya simu zinavyosaidia kuinua wanawake nchini Tanzania

Nchini Tanzania usawa wa kijinsia umeongezeka katika miaka ya karibuni kutokana na nguvu za serikali, taasisi na watu binafsi kuweka mazingira ya upatikanaji wa elimu kwa mtoto wa kike na haki ya mwanamke kumiliki na kutumia ardhi.Licha ya maendeleo hayo, yapo mengi ambayo...