SBL yapania kuinua wakulima nchini
Kampuni ya Bia ya Serengenti, inatarajia kuingia makubaliano na Wizara ya Kilimo na Chakula, kwa ajili ya kuongeza uzalishaji wa shairi na mtama.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Serikali kuinua wakulima wanawake
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-34G9XCvFMoY/U_TKmsZ-D2I/AAAAAAAGA88/uwUKZ-wusR4/s72-c/unnamed%2B(43).jpg)
ZSTC na jitihada za kuinua wakulima wa karafuu Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-34G9XCvFMoY/U_TKmsZ-D2I/AAAAAAAGA88/uwUKZ-wusR4/s1600/unnamed%2B(43).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JYnkfjwVHwo/Xqx5aZc2byI/AAAAAAALozw/wk9wyOGhgrMsAhycT2wdhifEAdAOjrHlQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200501-WA0044.jpg)
MASAWE -WAKULIMA WAJIKITE KATIKA KILIMO CHA TEKNOLOJIA YA KISASA KUINUA KIPATO CHAO
WAKULIMA nchini wametakiwa watumie soko la Afrika Mashariki kwa kulima kilimo chenye tija na kutumia teknolojia mpya za kisasa huku wakiaswa kuachana na kilimo cha mazoea cha kujikimu ambacho hakiwaletei faida.
Hayo yalisemwa mjini Kibaha na mkurugenzi wa shamba darasa lililopo wilaya Kibaha mkoani Pwani Ephrahim Masawe na kuongeza kuwa soko hilo ndilo litakaloinua uchumi wao kwani linafaida kubwa.
Jambo kubwa ni kutumia mbegu bora na kutumia teknolojia mpya ikiwemo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JcikeZL6OiLFI0TNpJKqyTE8dEJzqA7UDeKChoHei6FK5GZLlg1-8JssE4dCS8R1FSfQ9lvaOZ9K9ubqRk9IP*yIEpA5vhAs/1.jpg?width=650)
E-FM YAPANIA KUKUZA MCHEZO WA NDONDI NCHINI
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Mitaji iboreshwe kuinua kilimo nchini
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Chuo India chadhamiria kuinua elimu nchini
MKURUGENZI wa Chuo Kikuu cha Rajendra Singh cha nchini India, Dk. Sarit Kumar, amesema chuo chake kipo tayari kushirikiana na Serikali ya Tanzania kuinua sekta ya elimu nchini. Amesema chuo...
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Mkakati wa Insignia kuinua maisha ya mafundi rangi nchini
Kampuni inayoongoza kwa uzalishaji wa rangi Maalum, Insignia Limited imeendelea kuonesha nia yake ya kutoa huduma zinazomjali mteja, ubunifu na pia mapinduzi katika soko la rangi nchini Tanzania kwa ujumla. Hivi karibuni kampuni hii imewapatia mafunzo zaidi ya mafundi rangi 50 mwishoni mwa wiki hii mjin Dar es salaam,yaliyoandaliwa maalumu kwa ajili ya wakazi wa mbagala yakiwa na lengo la kuinua kiwango cha mafundi rangi katika sekta hii na kuboresha maisha yao kwa ujumla hapa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-G3UQTFvzaYk/Vea4zckWo6I/AAAAAAAH1vM/-EMd8qHVybg/s72-c/1.jpg)
AIRTEL FURSA YAENDELA KUINUA VIJANA HAPA NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-G3UQTFvzaYk/Vea4zckWo6I/AAAAAAAH1vM/-EMd8qHVybg/s640/1.jpg)