Serikali kuinua wakulima wanawake
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Anna Maembe amesema Serikali itawasaidia wakulima wadogo wanawake ili kuleta tija katika sekta ya kilimo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 Feb
SBL yapania kuinua wakulima nchini
Kampuni ya Bia ya Serengenti, inatarajia kuingia makubaliano na Wizara ya Kilimo na Chakula, kwa ajili ya kuongeza uzalishaji wa shairi na mtama.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-34G9XCvFMoY/U_TKmsZ-D2I/AAAAAAAGA88/uwUKZ-wusR4/s72-c/unnamed%2B(43).jpg)
ZSTC na jitihada za kuinua wakulima wa karafuu Zanzibar
SHIRIKA la Biashara la Taifa Zanzibar (ZSTC) ni Shirika la Serikali ya Mapinduzi Zanzibar lililoanzishwa mwaka 1968 kwa madhumuni ya kununua na kuuza mazao ya wakulima kama vile karafuu, mbata, makonyo, pilipili hoho, makombe na mwani.
Shirika hilo tokea wakati huo wa miaka ya sitini limekuwa likitimiza wajibu huo na majukumu mengine iliyopewa na Serikali kwa ufanisi na kwa uwazi ili kutoa huduma nzuri kwa wakulima na wauzaji wa mazao hayo ambayo kwa kiasi kikubwa yaliwapatia wananchi wa...
![](http://3.bp.blogspot.com/-34G9XCvFMoY/U_TKmsZ-D2I/AAAAAAAGA88/uwUKZ-wusR4/s1600/unnamed%2B(43).jpg)
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
Jitihada za AU kuinua maslahi ya wanawake
Kongamano la AU la kuboresha maslahi ya wanawake barani Afrika. Je kuna kitu cha kujivunia?
10 years ago
Habarileo06 Mar
Australia kuinua wanawake mikoa 10
SERIKALI ya Australia inafadhili mradi unaolenga kuboresha maisha ya wanawake na watoto zaidi ya 33,000 katika mikoa kumi nchini.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JYnkfjwVHwo/Xqx5aZc2byI/AAAAAAALozw/wk9wyOGhgrMsAhycT2wdhifEAdAOjrHlQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200501-WA0044.jpg)
MASAWE -WAKULIMA WAJIKITE KATIKA KILIMO CHA TEKNOLOJIA YA KISASA KUINUA KIPATO CHAO
NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA
WAKULIMA nchini wametakiwa watumie soko la Afrika Mashariki kwa kulima kilimo chenye tija na kutumia teknolojia mpya za kisasa huku wakiaswa kuachana na kilimo cha mazoea cha kujikimu ambacho hakiwaletei faida.
Hayo yalisemwa mjini Kibaha na mkurugenzi wa shamba darasa lililopo wilaya Kibaha mkoani Pwani Ephrahim Masawe na kuongeza kuwa soko hilo ndilo litakaloinua uchumi wao kwani linafaida kubwa.
Jambo kubwa ni kutumia mbegu bora na kutumia teknolojia mpya ikiwemo...
WAKULIMA nchini wametakiwa watumie soko la Afrika Mashariki kwa kulima kilimo chenye tija na kutumia teknolojia mpya za kisasa huku wakiaswa kuachana na kilimo cha mazoea cha kujikimu ambacho hakiwaletei faida.
Hayo yalisemwa mjini Kibaha na mkurugenzi wa shamba darasa lililopo wilaya Kibaha mkoani Pwani Ephrahim Masawe na kuongeza kuwa soko hilo ndilo litakaloinua uchumi wao kwani linafaida kubwa.
Jambo kubwa ni kutumia mbegu bora na kutumia teknolojia mpya ikiwemo...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Pwr5inmS1_c/Vhu-RdPgpAI/AAAAAAAH_f4/AFbByzQGmEU/s72-c/1.jpg)
NMB YADHAMIRIA KUINUA WANAWAKE KUPITIA MICHEZO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Pwr5inmS1_c/Vhu-RdPgpAI/AAAAAAAH_f4/AFbByzQGmEU/s640/1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://3.bp.blogspot.com/-aJmx7xCg9A0/XnHc-ceO35I/AAAAAAAC8sI/37VmXblAn885KhAq4jIJ04Ip0npmW7e-wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200318-WA0005.jpg)
Kampuni za mawasiliano ya simu zinavyosaidia kuinua wanawake nchini Tanzania
![](https://3.bp.blogspot.com/-aJmx7xCg9A0/XnHc-ceO35I/AAAAAAAC8sI/37VmXblAn885KhAq4jIJ04Ip0npmW7e-wCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200318-WA0005.jpg)
Nchini Tanzania usawa wa kijinsia umeongezeka katika miaka ya karibuni kutokana na nguvu za serikali, taasisi na watu binafsi kuweka mazingira ya upatikanaji wa elimu kwa mtoto wa kike na haki ya mwanamke kumiliki na kutumia ardhi.Licha ya maendeleo hayo, yapo mengi ambayo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-T9n0Mlp0L6w/VWM-kY1KB8I/AAAAAAAC5C0/N9LQVMr4ZNc/s72-c/1.jpg)
BANG YAADHIMISHA MIAKA 11 KATIKA KUINUA VIPAJI VYA WANAWAKE,VIJANA
![](http://1.bp.blogspot.com/-T9n0Mlp0L6w/VWM-kY1KB8I/AAAAAAAC5C0/N9LQVMr4ZNc/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mbmPLBi9tUo/VWM-pp3A-II/AAAAAAAC5DA/q_7snbCJrtA/s640/2%2B3.25.46%2BPM.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania