Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakulima hatarini kukosa pembejeo za kilimo

Wakulima ambao hawajajiunga na vyama vya kuweka na kukopa (Saccos) au vile vya ushirika watakosa fursa ya kupata pembejeo za kilimo za ruzuku kutoka serikalini katika msimu wa mwaka 2014/15.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Wakulima Dodoma, wasifu Ufanisi wa TPA katika kuwezesha Usafirishaji wa Mazao na Uagizaji wa Pembejeo za Kilimo

PIC 1

Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Bw.  Hamis Abdallah Mwenda (kushoto) akipata maelezo katika Banda la TPA lililopo viwanja vya nanenane Nzuguni, Dodoma kutoka kwa Afisa Mawasiliano, Bw. Focus Mauki (kulia). Katikati ni Afisa Mkuu wa TPA, Bi. Lydia Mallya.

PIC 2

Afisa Mawasiliano, Bw. Focus Mauki (wapili kushoto) akifafanua jambo kwa Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Bw.  Hamis Abdallah Mwenda...

 

11 years ago

GPL

WAKULIMA DODOMA, WASIFU UFANISI WA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BANDARI TANZANIA (TPA) KATIKA KUWEZESHA USAFIRISHAJI WA MAZAO NA UAGIZAJI WA PEMBEJEO ZA KILIMO.

Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Bw.  Hamis Abdallah Mwenda (kushoto) akipata maelezo katika Banda la TPA lililopo viwanja vya Nane nane Nzuguni, Dodoma kutoka kwa Afisa Mawasiliano, Bw. Focus Mauki (kulia). Katikati ni Afisa Mkuu wa TPA, Bi. Lydia Mallya. Afisa Mawasiliano, Bw. Focus Mauki (wa pili kushoto) akifafanua jambo kwa Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Dodoma na...

 

11 years ago

Mwananchi

Pembejeo zawatesa wakulima

Wakulima wengi nchini wameshindwa kufikia malengo kutokana na gharama za pembejeo na kutofautiana taratibu, kanuni na masharti ya aina ya mazao.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wakulima kukopeshwa pembejeo

SERIKALI imeanzisha utaratibu wa kuvikopesha pembejeo za ruzuku vikundi vya wakulima kupitia vyama vyao vya ushirika kuanzia msimu ujao wa kilimo 2014/2015. Hatua hiyo, imechukuliwa ili kukabiliana na vitendo vya...

 

10 years ago

Mtanzania

Pembejeo zakwamisha wakulima wa korosho

20Na Florence Sanawa, Mtwara
HALMASHAURI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mtwara, imetoa siku 10 kwa mfuko wa wakfu wa kuendeleza zao la korosho kuhakikisha kuwa pembejeo zinawafikia wakulima ili waweze kuwahi kupulizia dawa hizo msimu huu.
Akizungumza na waandishi wa habari Katibu wa CCM Mkoa wa Mtwara, Shaibu Akwilombe, alisema usambazaji wa pembejeo hizo umemtia mashaka kutokana na wilaya tatu za Masasi, Mtwara Halmashauri na Tandahimba kukosa pembejeo hizo kwa wakati...

 

11 years ago

Mwananchi

Wakulima wa pamba walilia pembejeo

>Wakulima wa zao la pamba mkoani Mara, wamelalamikia ukosefu wa pembejeo, hususani dawa ya kunyunyuzi zao hilo pamoja na kilimo cha mkataba kwa madai sasa hakiwanufaishi.

 

9 years ago

GPL

SERIKALI YAZUNGUMZIA VOCHA ZA PEMBEJEO ZA KILIMO

Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa Pembejeo za Kilimo, Shenal S. Nyonni, Mkurugenzi wa Mazao, Twahir Nzalawahe na afisa habari wa wizara hiyo (anayezungumza kulia), Richard Kasuga. Viongozi hao wakisikiliza maswali yaliyokuwa yakiulizwa na wanahabari (hawapo pichani).…

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wakulima Iringa kunufaika ruzuku ya pembejeo

WAKULIMA wa Mkoa wa Iringa wanatarajia kunufaika kupitia Benki ya Wananchi Mufindi (Mucoba Bank PLC), kwa kuanza kupewa mikopo ya pembejeo kwa vikundi vya wakulima kwa riba nafuu na kulipwa...

 

10 years ago

Habarileo

Kinana: Ruzuku ya pembejeo haijanufaisha wakulima

SERIKALI imeitakiwa kufanya tathimini na kupitia upya mfumo wa ruzuku ya pembejeo katika kilimo, hasa kutokana na kuonesha kushindwa kufanya kazi vizuri katika maeneo mengi nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani