SERIKALI YAOMBWA KULIINGIZA ZAO LA PILI PILI KICHAA KWENYE MAZAO YA KIMKAKATI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ktj3NBDBVTo/XucMFeOszMI/AAAAAAALt2I/98MQlk8TrboItq72uQPGxKsmCobzmmyOQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200601_093825_8.jpg)
Mhandishi na mkulima wa Manguajuki manispaa ya Singida,akikagua pilipili kichaa.Bei ya pilipili kichaa kilo ni shilingi 5,000 kwa kilo.
Sehemu ya ekari tano za shamba la pilipili kichaa la mhandisi/mkulima wa Manguanjuki manspaa ya SingidamHassan Tati.
Mmoja kati ya miche ya mapapai iliyopo kwenye shamba la pilipili kichaa linalomilikiwa na mhandisi/mkulima Haasan Tati mkazi wa Manguanjuki nje kidogo ya mji wa Singida.
Mhandisi na mkulima na mkazi wa Manguanjuki manispaa ya ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo18 Mar
Serikali yaombwa kuanzisha mradi wa kuchakata mazao
SERIKALI imetakiwa kuanzisha mradi wa mfano wa kuchakata mazao ya kilimo na hasa matunda katika ngazi ya mikoa. Hayo yamebainishwa na Mratibu wa Taasisi ya Tan Tanzania, Deusdedit Kizito wakati wa kuzungumzia fursa za mazao ya kilimo katika soko la dunia baada ya kuhudhuria maonesho ya bidhaa za Kilimo hai ya BioFach ya Ujerumani na mboga ya Berlin.
9 years ago
StarTV21 Dec
Serikali yaombwa kudhibiti biashara ya mazao nje kupunguza mfumko wa bei
Baadhi ya wananchi wakiwemo wafanyabiashara wa mazao mbalimbali jijini Mbeya wameiomba Serikali kudhibiti biashara ya mazao ya chakula nje ya nchi hatua ambayo itasaidia kupunguza mfumko wa bei za vyakula.
Wamesema kwa sasa bei za vyakula kutoka kwa wakulima mashambani zimepanda tofauti na ilivyokuwa miezi michache iliyopita hali inayochagiwa na uuzwaji wa mazao hayo nje ya nchi.
Mazao yaliyopanda bei ni pamoja nyanya na Mchele ambao sasa unauzwa kati ya shilingi 34,000 mpaka 40,000 kwa debe...
10 years ago
MichuziMAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AZINDUA WA BARABARA YA MKAPA AWAMU YA PILI
9 years ago
StarTV24 Nov
Upunguzwaji Wafanyakazi Acacia Serikali yaombwa kunusuru ajira zao
Chama Cha wafanyakazi wa Tasnia ya Nishati na Madini nchini NUMET kimeiomba serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dokta John Pombe Magufuli kuingilia kati na kunusuru ajira za wafanyakazi zaidi ya 1000 wanaotarajia kupunguzwa mwishoni mwa mwaka huu katika Kampuni ya ACACIA
Chama hicho kimelazimika kuiomba serikali kutokana na kitendo cha kampuni hiyo kuandaa mpango wa kupunguza wafanyakazi ambao wanategemea kuendesha maisha yao kutokana na kufanya kazi katika mgodi huo
Katibu mkuu wa...
11 years ago
GPL10 years ago
MichuziKITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHATOA TAARIFA KUHUSU AWAMU YA PILI YA KAMPENI YA KUSAMBAZA UELEWA WA RASIMU YA PILI-KAMPENI GOGOTA
Picha/Habari na Dotto Mwaibale
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu...
11 years ago
Michuzi19 Jun
MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI WA PILI IDARA YA UHAMIAJI
![](https://4.bp.blogspot.com/-6FGv6PTfhsI/U6GmcIxaR3I/AAAAAAAAQ3c/YeFJfWVYr48/s1600/IKULU.jpg)
Wasailiwa 1,281 kati ya 6,115 waliofanya usaili wa kwanza tarehe 13 Juni, 2014 jijini Dar es Salam kuomba nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji (Assistant Inspector of Immigration) wanatarajiwa kuingia duru ya pili na ya mwisho ya usaili huo baada ya kufanikiwa kufaulu usaili wa kwanza. Usaili huu ambao utafanyika kwa awamu utaanza tarehe 23 Juni hadi 03 Julai, 2014 na utafanyikia katika Bwalo la Maafisa Magereza, Ukonga...
9 years ago
Bongo507 Dec
25 ya Adele yauza nakala milioni 1.11 kwenye wiki ya pili
![Adele-2015-press-Alasdair-McLellan-XL-billboard-650-2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Adele-2015-press-Alasdair-McLellan-XL-billboard-650-2-300x194.jpg)
Album mpya ya Adele, 25 imeuza nakala milioni 1.11 katika wiki ya pili iliyomalizika Dec. 3 nchini Marekani.
Katika wiki yake ya pili tayari album hiyo imeuza nakala milioni 4.49.
Awali 25 ilivunja rekodi kwa kuuza nakala milioni 3.38 katika wiki yake ya kwanza.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
StarTV24 Dec
Serikali yaombwa kuwaingiza wafugaji kwenye bajeti ili kuinua uchumi wa taifa
Chama cha Wafugaji Kanda ya Ziwa kimeitaka Serikali kuwatambua kuwa nao ni miongoni mwa Sekta muhimu inayoweza kuinua uchumi wa nchi na wananchi wake kwa kulipa mapato na kutaka kuingizwa katika bajeti ya walipa kodi.
Wafugaji wamesema Tanzania ni nchi ya tatu barani Afrika kwa wingi wa mifugo ya asili lakini wengi wao wanaishi katika hali duni na hata serikali imeshindwa kupata kikamilifu matunda ya kuwepo kwa rasilimali hiyo.
Hayo wameyasema katika Mkutano wao na Waziri wa Kilimo,Mifugo...