Upunguzwaji Wafanyakazi Acacia Serikali yaombwa kunusuru ajira zao
Chama Cha wafanyakazi wa Tasnia ya Nishati na Madini nchini NUMET kimeiomba serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dokta John Pombe Magufuli kuingilia kati na kunusuru ajira za wafanyakazi zaidi ya 1000 wanaotarajia kupunguzwa mwishoni mwa mwaka huu katika Kampuni ya ACACIA
Chama hicho kimelazimika kuiomba serikali kutokana na kitendo cha kampuni hiyo kuandaa mpango wa kupunguza wafanyakazi ambao wanategemea kuendesha maisha yao kutokana na kufanya kazi katika mgodi huo
Katibu mkuu wa...
StarTV
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ktj3NBDBVTo/XucMFeOszMI/AAAAAAALt2I/98MQlk8TrboItq72uQPGxKsmCobzmmyOQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200601_093825_8.jpg)
SERIKALI YAOMBWA KULIINGIZA ZAO LA PILI PILI KICHAA KWENYE MAZAO YA KIMKAKATI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ktj3NBDBVTo/XucMFeOszMI/AAAAAAALt2I/98MQlk8TrboItq72uQPGxKsmCobzmmyOQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200601_093825_8.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-025CVN0La2s/XucMFO-PJNI/AAAAAAALt2E/CKwzyR6TMfMJ_69ZshTr-Xrp1HMmGX0JQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200601_094835_0.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-3Edogs1OgGQ/XucMGJETrfI/AAAAAAALt2Q/xmvNR2vB1KA72YDWw2jwe7ue6tyrMH2cwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200607_122200_7.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-L9zD5RFzrYE/XucMGb8yo9I/AAAAAAALt2U/KHURMuwcLAs3XQvoavMKAbeuCfIa92O7ACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200607_125938_2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0u_cBHlO8ow/VopPurE1sdI/AAAAAAAIQKU/SzWmEAAw-w0/s72-c/752.jpg)
WAFANYAKAZI 350 WA KIWANDA CHA SUKARI CHA MAHONDA WAKOHATARINI KUPOTEZA AJIRA ZAO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-0u_cBHlO8ow/VopPurE1sdI/AAAAAAAIQKU/SzWmEAAw-w0/s640/752.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7q6o6o_5yj8/VopPvB5jaYI/AAAAAAAIQKc/e9lpf3CrE3w/s640/756.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gTxbi81Ro3Y/VopPuWdz97I/AAAAAAAIQKY/QohqVle6QIU/s640/771.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima30 Sep
Serikali yaombwa ruzuku Skauti
SERIKALI imeombwa kutenga bajeti maalumu itakayotolewa ruzuku kwa vijana Skauti nchini ikiwa ni hatua mojawapo ya kuwaandaa kuwa na uzalendo. Ombi hilo lilitolewa na Kamishina Mkuu Msaidizi Programu za VijanaSkauti,...
10 years ago
Mtanzania02 May
Serikali yaombwa kuwabana waajiri
Ramadhani Hassan na Pendo Mangala
WAFANYAKAZI Mkoa wa Dodoma wameishauri Serikali ihakikishe waajiri wanawaongezea mishahara kwa sababu malipo wanayolipwa sasa ni madogo.
Hayo yalisemwa jana na Katibu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Mkoa wa Dodoma, Ramadhani Mwenda, wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri.
Mwenda alisema kipato cha ujira wa mshahara wa mwezi hakitoshi na kwamba mishahara ya watumishi ni...
11 years ago
BBCSwahili04 Feb
Serikali yaombwa kutofunga misikiti Kenya
11 years ago
Mwananchi10 Feb
Serikali sasa yaombwa kupunguza pembejeo
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Serikali yaombwa kusaidia chakula Ngorongoro
SERIKALI imeombwa kuchukua hatua za haraka kuhakikisha inasaidia wananchi waishio katika Tarafa ya Ngorongoro ambao hivi sasa wanakabiliwa na uhaba wa chakula na kuchangia mahudhurio duni ya wanafunzi shuleni. Ombi...
10 years ago
Mtanzania27 Apr
Serikali yaombwa kutenga fedha za kutosha
Na Tunu Nassor, Dar es Salaam
TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) wameiomba Serikali kutenga fedha za kutosha kwa taasisi zote za Serikali zinazohusika na suala la kukomesha ukatili dhidi ya albino.
Lengo la kutekeleza programu za kuelimisha umma kuharakisha upelelezi na uendeshaji wa kesi za watu wanaodaiwa kufanya ukatili huo.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa tume hiyo, Bahame Nyanduga alisema tume pamoja na wadau walikubaliana kuwa...