WAFANYAKAZI 350 WA KIWANDA CHA SUKARI CHA MAHONDA WAKOHATARINI KUPOTEZA AJIRA ZAO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-0u_cBHlO8ow/VopPurE1sdI/AAAAAAAIQKU/SzWmEAAw-w0/s72-c/752.jpg)
Baadhi ya Miwa iliyoteketea kwa moto kutokana na hujuma iliyofanywa na Watu wasiojuilikana huko kwenye mashamba ya Miwa ya Kiwanda cha Sukari Mahonda Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimpa Pole Meneja wa Mradi wa Kiwanda cha Sukari Mahonda Bwana Tushar Mehta kufuatia watu wasiojuilikana kutia tena moto mashamba ya Miwa Mahonda.KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Cwnjy_Szn3g/VlmpOMMgCXI/AAAAAAAII0A/L8zgkUKQGI0/s72-c/31af8fc1-eba3-42bf-aaa4-89b0ce2d35a6.jpg)
RAIS DK.SHEIN ATEMBELEA KIWANDA CHA SUKARI MAHONDA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Cwnjy_Szn3g/VlmpOMMgCXI/AAAAAAAII0A/L8zgkUKQGI0/s640/31af8fc1-eba3-42bf-aaa4-89b0ce2d35a6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qAkzitlKsVE/VlmpOAY40II/AAAAAAAII0E/TxANfVaslu4/s640/34b14eb1-5da1-44df-9799-67fcf19919e4.jpg)
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Kamati ya fedha, biashara na kilimo ya baraza la wawakilishi Zanzibar yatembelea kiwanda cha Sukari Mahonda
Muonekano wa Kiwanda cha Sukari Mahonda kilivyo hivi sasa.
Mshauri muelekezi wa Kiwanda cha Sukari Mahonda Dk. Hamza Hussein Sabri (alie simama) akitoa maelezo na changamoto wanazozipata Kiwandani hapo, kwa Kamati ya Fedha, Biashara na Kilimo ya Baraza la wawakilishi walipoenda kutembelea Kiwanda hapo.
Makamo Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha, Biashara na Kilimo ya Baraza la wawakilishi Hija Hassan Hija akizunguza na uongozi wa Kiwanda cha Sukari na viongozi wa Wizara ya Biashara, Viwanda na...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6W3f9sVUsYg/Vl7zsvaNifI/AAAAAAAAJQs/Y3qkppXxhmc/s72-c/Sukari%2B1.jpg)
RC Makalla atembelea kiwanda cha sukari TPC, akerwa na sukari inayoingia kwa wingi kutoka nje
![](http://1.bp.blogspot.com/-6W3f9sVUsYg/Vl7zsvaNifI/AAAAAAAAJQs/Y3qkppXxhmc/s640/Sukari%2B1.jpg)
Na Mwandishi Wetu, KilimanjaroMKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, amefanya ziara katika kiwanda cha Sukari cha TPC kilichopo Moshi, mkoani Kilimanjaro ili kujionea hali ya uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho. RC Makalla alijionea hali halisi ya kiwanda hicho ambacho...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ntSZl8IJ-ZY/VEYA0xHruDI/AAAAAAAAvpc/ODjai5AQg9Y/s72-c/KIMEA%2B2.jpg)
WAKULIMA WA ZAO LA SHAYIRI WATEMBELEA KIWANDA CHA KIMEA CHA TBLMOSHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-ntSZl8IJ-ZY/VEYA0xHruDI/AAAAAAAAvpc/ODjai5AQg9Y/s1600/KIMEA%2B2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3gc-nQobvjc/VEYAQvEWL1I/AAAAAAAAvpM/AcBXuF96oHE/s1600/KIMEA%2B3.jpg)
9 years ago
Habarileo02 Dec
Sababu ya malalamiko kiwanda cha sukari
BODI ya Sukari Tanzania imesema chanzo cha malalamiko ya wakulima wa miwa wanaozunguka Kiwanda cha Sukari cha Kilombero (ILOVO) ni kutokana na mashine kiwandani kuharibika bila kutarajia na kusimamisha uzalishaji.
11 years ago
Mwananchi30 Jan
DC Mtaka akifungia kiwanda cha Sukari
10 years ago
MichuziKIWANDA CHA SUKARI KAGERA CHAZALISHA ZAIDI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Tbakjlj1Clw/XpqBUBcgVcI/AAAAAAALnTI/rbRdOD1BrbA2nyiwCUy_ZY4ghZkvHtKigCLcBGAsYHQ/s72-c/New%2BPicture%2B%25284%2529.png)
Kiwanda cha Sukari kujengwa Kasulu-TIC
Na Ripota wetu, Kasulu.
Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu imetenga eneo la uwekezaji lenye ukubwa wa hekta 35,000 kwa ajili ya kilimo cha miwa na ujenzi wa kiwanda cha sukari.
Eneo hilo kwa sasa amepewa mwekezaji wa kampuni ya Kigoma Sugar Co. Ltd chini ya Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) ambacho kina mamlaka ya kusimamia Uwekezaji nchini.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Tbakjlj1Clw/XpqBUBcgVcI/AAAAAAALnTI/rbRdOD1BrbA2nyiwCUy_ZY4ghZkvHtKigCLcBGAsYHQ/s640/New%2BPicture%2B%25284%2529.png)
Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Kanali Simon Anange (aliyevaa Fulana rangi ya damu ya Mzee)akifafanua jambo katika kikao cha pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-YIRcEgTPo90/VXn3uFJ2MjI/AAAAAAAAd7M/zCUqooCsvUM/s72-c/1.jpg)
KINANA ATEMBELEA KIWANDA CHA SUKARI MTIBWA
Apewa taarifa ya maendeleo ya kiwanda tangu kilipoanzishwa na Baba wa Taifa mwaka 1982, kilipo binafsishwa mwaka 2011 na mpaka sasa.Aambiwa kuporomoka kwa dola ya kimarekani pamoja na kuingizwa sukari nchi bila utaratibu kuna athiri sana ukuaji na uendeshaji wa viwanda vya sukari nchini.
![](http://4.bp.blogspot.com/-YIRcEgTPo90/VXn3uFJ2MjI/AAAAAAAAd7M/zCUqooCsvUM/s640/1.jpg)