SERIKALI YA MKOA WA IRINGA YAPONGEZA MTANDAO WA MATUKIODAIMA KWA KUHAMASISHA AMANI
Mkurugenzi na mmiliki wa mitandao(BLOGU) ya www.matukiodaima.co.tz Bw Francis Godwin akimkabidhi mkuu wa mkoa wa Iringa Bi Amina Masenza stecker za kubandika katika magari na maeneo mbali mbali zinazohamasisha amani kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Octoba 25 mwaka huu
Kamanda wa polisi wa mkoa wa Iringa Ramadhan Mungi akionyesha sticker za kuhamasisha amani na utulivu nchini kuelekea uchaguzi mkuu zinazotolewa na mtandao wa www.matukiodaima.co.tz kwa mkoa wa Iringa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi15 Jan
Polisi Mkoa wa Dodoma inawashikilia wanafunzi 84 wa chuo Kikuu UDOM kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo Dodoma Mjini
![](https://2.bp.blogspot.com/-Nlbme-No0hU/VLaASBbyRmI/AAAAAAADL6M/WOhgf4mDRQc/s1600/6.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-AQu2fkOQeaw/VLaAQNE7pUI/AAAAAAADL6I/-6Z4UmatMDk/s1600/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TxHdkB5Oo0E/VCQbF4cySyI/AAAAAAAGluk/6jxWiXBsbtE/s72-c/ddm.jpg)
JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LINAMSAKA ANAYESAMBAZA VIPEPERUSHI VINAVYOTISHIA NA KUHAMASISHA UVUNJIFU WA AMANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-TxHdkB5Oo0E/VCQbF4cySyI/AAAAAAAGluk/6jxWiXBsbtE/s1600/ddm.jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME - SACP amesema tarehe 25/09/2014 alfajiri vimeokotwa vipeperushi maeneo mbalimbali mjini Dodoma vyenye ujumbe ufuatao ONYO – DODOMA SI MAHALI PA KUFUGA WEZI WA FEDHA ZA UMMA. UTAKAYEINGIA BUNGENI KUANZIA KESHO, YATAKAYOKUPATA UTAJUTA.
Kamanda MISIME amesema tumeendelea kupokea taarifa za watu wanaodaiwa kuandaa vipeperushi hivyo na tunafanyia kazi ili tuweze...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-U3VjHNTO43c/Xu38WmEcnHI/AAAAAAALuvs/9xtZaf2BnlAjJRY_jqULl2dwwwyweU2OgCLcBGAsYHQ/s72-c/c703b6fc-e48b-4869-a42f-be7756243aba.jpg)
Serikali yapongeza juhudi za usafi wa mazingira kwenye shule za Mkoa wa Manyara
![](https://1.bp.blogspot.com/-U3VjHNTO43c/Xu38WmEcnHI/AAAAAAALuvs/9xtZaf2BnlAjJRY_jqULl2dwwwyweU2OgCLcBGAsYHQ/s640/c703b6fc-e48b-4869-a42f-be7756243aba.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/0b82bd68-8256-49f8-bee2-65aff82528f5.jpg)
9 years ago
Habarileo07 Jan
JET yapongeza Serikali kwa kurejesha ardhi ya Mbarali
CHAMA cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET ) kimempongeza Rais John Magufuli kwa kufuta hati ya umiliki wa hekta 1,870 alizouziwa mwekezaji mwaka 2006 na kuamuru ardhi hiyo kurudishwa kwa wananchi wa Kijiji cha Kapunga, wilayani Mbarali.
10 years ago
Habarileo28 May
Kamati yapongeza sheria ya makosa ya mtandao
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imepongeza serikali kwa kuwasilisha muswada wa sheria ya makosa ya mtandao, huku ikisisitiza elimu kwa wananchi ili waepuke makosa yatakayowatia hatiani.
10 years ago
MichuziKAMPUNI ZA ASAS ZAONGOZA KWA ULIPAJI KODI BORA KWA MKOA WA IRINGA
KWA HABARI ZAIDI...
11 years ago
Michuzi20 May
TAARIFA KWA WADAU WA FRANCISGODWIN BLOG (MZEE WA MATUKIODAIMA)
Hivyo tunaomba wadau wetu kwa sasa mnaweza kupata habari na matukio mbali mbali katika mitandao...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xMCtlOLhuReAt*SvSINcgBFSx*cxca6SI49EIsuP8qYwH69MCWOLujFKk6CmctPia3tv*iM9IL*k5iNXMmCOVIHBMqUmpTZC/001Iringa.jpg?width=650)
WAKAZI 6 WA MKOA WA IRINGA WATIMKA NA BODABODA ZA VODACOM IRINGA
11 years ago
Dewji Blog03 May
Serikali yawataka wanahabari kuhamasisha umma ulipaji kodi kwa maendeleo ya taifa
Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Adam Malima akifungua rasmi mafunzo hayo ya siku pili kwa waandishi wa habari za kodi nchini jijini Dar es Salaam.
Na Damas Makangale, MOblog Tanzania
SERIKALI imewataka waandishi wa habari nchini kuelimisha Watanzania umuhimu wa kulipa kodi ikiwa ni pamoja na kuwaeleza madhara ya kukwepa kulipa kodi hiyo kwa taifa.
Hayo yamesemwa jana jijini Dar es Salaam na Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Adam Malima, wakati akifungua mafunzo ya siku pili ya kodi kwa...