TAARIFA KWA WADAU WA FRANCISGODWIN BLOG (MZEE WA MATUKIODAIMA)
Awali ya yote tunapenda kuwaomba radhi wadau wetu kwa usumbufu uliojitokeza wa kutokuwepo hewani kwa zaidi ya siku 6 sasa hii ni kutokana na matatizo ya kiufundi ambayo yamejitokeza katika Francis Godwin Blog na Matukiodaimablog hazipo hewani kutokana na matatizo hayo ya kiufundi japo yanaendelea kushughulikiwa .
Hivyo tunaomba wadau wetu kwa sasa mnaweza kupata habari na matukio mbali mbali katika mitandao...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziSERIKALI YA MKOA WA IRINGA YAPONGEZA MTANDAO WA MATUKIODAIMA KWA KUHAMASISHA AMANI
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-E_X9njdfxws/VdjEz0cXrRI/AAAAAAABuAc/4Mn0LbD-QlM/s72-c/MC%2Bbaraka%2B%2528BUKOBAWADAU.jpg)
HAPPY BIRTHDAY BLOGGER MC BARAKA WA BUKOBA WADAU BLOG
![](http://1.bp.blogspot.com/-E_X9njdfxws/VdjEz0cXrRI/AAAAAAABuAc/4Mn0LbD-QlM/s740/MC%2Bbaraka%2B%2528BUKOBAWADAU.jpg)
9 years ago
Dewji Blog23 Aug
Leo ni ‘Happy Birthday’ ya Blogger Mc Baraka wa Bukoba wadau Blog
Jumapili ya leo ya Agosti 23, ni siku nzuru na ya baraka tele, kwa mwanablog, Mc Baraka anayetimiza miaka kadhaa ya kuzaliwa kwake.
“Leo Aug 23 ni siku ya kuzaliwa kwangu. Namshukru sana mwenyezi Mungu kwa kunilinda mpaka kufika hapa nilipo. Namshukuru Mola kwa kunipa nguvu na ujasili wa kupambana na misukosuko ya hapa na pale, hakika yeye ndiye muweza wa kila jambo..
Natoa shukrani kubwa kwa timu nzima ya BUKOBAWADAU Media na members wa TBN na wote waliweza kuwa nami katika safari...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Vc8qrmH59Wk/Xt89UrnzCbI/AAAAAAAAnwc/0-VSS39UgQUigzJfd983zwVW11Wqz1ygQCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
CCM BLOG YAMTAKIA MZEE MSEKWA KATIKA KUMBUKIZI YA KUZALIWA KWAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-Vc8qrmH59Wk/Xt89UrnzCbI/AAAAAAAAnwc/0-VSS39UgQUigzJfd983zwVW11Wqz1ygQCLcBGAsYHQ/s400/0.jpg)
Pius Msekwa (amezaliwa 9 Juni 1935) ni mwanasiasa. Kuanzia mwaka 1995 hadi mwaka 2005 alikuwa spika wa Bunge la Tanzani
10 years ago
Michuzi13 Dec
TAARIFA MUHIMU KUTOKA MJENWA BLOG
Ndugu zangu,Kutokana na sababu za kiufundi zikiwamo za marekebisho muhimu, blogu yako ya kijamii, Mjengwablog.com haiko hewani kuanzia jana jioni.
Wataalam wanalishughuIikia swala hilo na Mjengwablog itarudi tena hewani kabla ya saa sita mchana kwa saa za Afrika Mashariki.
Hata hivyo, KwanzaJamii Radio iko hewani kama kawaida, sikiliza live...http://www.ustream.tv/channel/kwanzajamii-radio
Poleni kwa usumbufu.
Maggid Mjengwa,Mwenyekiti MtendajiIkoloMediaIringa.
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Taarifa ya Mjengwa Blog kutokuwa hewani
Ndugu zangu,
Kutokana na sababu za kiufundi ikiwamo marekebisho muhimu, blogu yako ya kijamii, Mjengwablog.com haiko hewani kuanzia jana jioni. Wataalam wanalishughuIikia tatizo na Mjengwablog itarudi tena hewani kabla ya saa sita mchana kwa saa za Afrika Mashariki. Hata hivyo, KwanzaJamii Radio iko hewani kama kawaida, sikiliza live…http://www.ustream.tv/channel/kwanzajamii-radio
Poleni kwa usumbufu.
Maggid Mjengwa,
Mwenyekiti Mtendaji
IkoloMedia
Iringa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/saEvSFZMI0kVxzSJbTi1TiqvLQcUsh5geQZd9MCsHUZxs90UeyN7HlNGgAx-n9HvJJkuj*3c*LqhMVeI736ntJxtDXqILeUc/BUKOBAWADAU.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Vc8qrmH59Wk/Xt89UrnzCbI/AAAAAAAAnwc/0-VSS39UgQUigzJfd983zwVW11Wqz1ygQCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
CCM BLOG YAMTAKIA HERI MZEE MSEKWA KATIKA KUMBUKIZI YA MIAKA 85 YA KUZALIWA KWAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-Vc8qrmH59Wk/Xt89UrnzCbI/AAAAAAAAnwc/0-VSS39UgQUigzJfd983zwVW11Wqz1ygQCLcBGAsYHQ/s400/0.jpg)
Pius Msekwa (alizaliwa Juni 9, 1935) ni ambapo mwaka 1995 hadi 2005 alikuwa spika wa Bunge Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa la Tanzania.
10 years ago
Dewji Blog29 Jun
Wadau wa Modewji blog wajumuika kusherehekea miaka 7 ya mtandao huo ndani ya viwanja vya Saba Saba
Mdau wa modewjiblog, Ray the hustler (kushoto) aliyeambatana ndugu zake kutembelea banda la Modewjiblog katika picha ya pamoja na Mwandishi wa habari mwandamizi wa mtandao wa Modewjiblog, Andrew Chale.
Na Modewjiblog team
Shamra shamra za miaka Saba za mtandao wa habari nchini wa Modewji blog tayari zimeanza kurindima ndani ya banda la MeTL Group lililopo kwenye maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yaliyoanza jana kwenye mabanda ya SabaSaba katika viwanja vya Mwalimu...