Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Leo ni ‘Happy Birthday’ ya Blogger Mc Baraka wa Bukoba wadau Blog

MC baraka (BUKOBAWADAUJumapili ya leo  ya Agosti 23, ni siku nzuru na ya baraka tele, kwa  mwanablog, Mc Baraka anayetimiza miaka kadhaa ya kuzaliwa kwake.

“Leo Aug 23 ni siku ya kuzaliwa kwangu. Namshukru sana mwenyezi Mungu kwa kunilinda mpaka kufika hapa nilipo. Namshukuru Mola kwa kunipa nguvu na ujasili wa kupambana na misukosuko ya hapa na pale, hakika yeye ndiye muweza wa kila jambo..

Natoa shukrani kubwa kwa timu nzima ya BUKOBAWADAU Media na members wa TBN na wote waliweza kuwa nami katika safari...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

HAPPY BIRTHDAY BLOGGER MC BARAKA WA BUKOBA WADAU BLOG

Leo Aug 23 ni siku ya kuzaliwa kwangu Mwanalibeneke Mc Baraka,Namshukru sana mwenyezi mungu kwa kunilinda mpaka kufika hapa nilipo. Namshukuru Mola kwa kunipa nguvu na ujasili wa kupambana na misukosuko ya hapa na pale,hakika yeye ndiye muweza wa kila jambo .Natoa shukrani kubwa kwa timu nzima ya BUKOBAWADAU Media na member wa TBN na wote waliweza kuwa nami katika safari yangu ya maisha mpaka hii leo Inshaalah namuomba Mwenyezi mungu (Omkama Katonda) aniongezee uhai na uzima HAPPY...

 

10 years ago

Vijimambo

HAPPY BIRTHDAY BLOGGER MC BARAKA

Leo Aug 23 ni siku ya kuzaliwa kwangu Mwanalibeneke Mc Baraka,Namshukru sana mwenyezi mungu kwa kunilinda mpaka kufika hapa nilipo,namshukuru Mola kwa kunipa nguvu na ujasili wa kupambana na misukosuko ya hapa na pale,hakika yeye ndiye muweza wa kila jambo .Natoa shukrani kubwa kwa timu nzima ya BUKOBAWADAU Media na member wa TBN members na wote waliweza kuwa nami katika safari yangu ya maisha mpaka hii leo Inshaalah namuomba Mwenyezi mungu (Omkama Katonda) aniongezee uhai na uzima ...

 

10 years ago

Michuzi

HAPPY BIRTHDAY BLOGGER FAUSTINE RUTA



Blogger mpiganaji wa Bukoba Faustine Ruta anapenda kumshukuru Mungu kwa kumfikisha leo hii Sept. 24, siku yake ya kuzaliwa. Anasema hakika Mungu ni mwema kwa kila jambo. Anaishukukuru familia yake, ndugu,  jamaa, marafiki na majirani kwa kumsindikiza vyema katika safari yake hii ya maisha."Namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kuishuhudia siku hii. Ni neema kubwa. Hakika napaswa kutambua kwamba kila siku katika maisha yangu ni dhamana ambayo natakiwa niitumie kwa mambo mema", Faustine amesema...

 

10 years ago

Dewji Blog

Happy Birthday Blogger Cathbert Angelo Kajuna

Napenda kumshukuru Mungu kwa kunifikisha leo Aprili 10 siku yangu ya kuzaliwa… Hakika Mungu ni mwema kwa kila jambo. Pia napenda kuishukukuru familia yangu, ndugu jamaa na marafiki kwa kuwa pamoja nami mpaka leo. Asanteni sana.

 

10 years ago

Vijimambo

HAPPY BIRTHDAY MAMA MZAZI WA BLOGGER FATHER KIDEVU

TAREHE ya leo ni ndio aliyo zaliwa Mama mzazi wa Blogger na Mpigapicha nguli Tanzania, Mroki Mroki, Bi. Mary O.Nathan  (pichani) wa Kinyenze, Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro ambaye leo anatimiza miaka 63 tangu kuzaliwa kwake tarehe kama ya leo. 

Kipekee anamshukuru Mungu kwa kumjalia umri huo alionao hivi sasa. Anawashukuru wote ambao wamechangia yeye kuishi vyema. Anaishukuru sana Familia yake yote kwa umoja na upendo walio nao jambo mabalo anasema linamfanya aishi kwa furaha na amani. 
...

 

11 years ago

Dewji Blog

Happy Birthday Mwanalibeneke MC Baraka

10371898_767465896644945_6491477324471418454_n

Namshukru mwenyezi Mungu kunifikisha siku hii ya leo Jumamosi Aug 23 nikiwa naadhimisha siku ya kuzaliwa kwangu.

Namshukuru Mungu kwa kunipa nguvu na ujasiri wa kupambana na misukosuko ya hapa na pale hakika yeye ndiye muweza wa kila jambo mpaka mie kufika hapa nilipo.

Natoa shukrani kubwa kwa wadau,ndugu na marafiki pamoja na wanalibeneke wanao endelea kuniunga mkono.

HAPPY BIRTHDAY TO ME!

MOblog Team: Inakutakia kila la kheri katika kulisongesha “Libeneke” Mungu akujaalie afya njema na...

 

11 years ago

Michuzi

HAPPY BIRTHDAY MWANDISHI MKUU WA MBEYA YETU BLOG JOSEPH MWAISANGO

Mwandishi mkuu wa Mbeya yetu Blog, Joseph Mwaisango ******
TONE MULTIMEDIA GROUP Ambao ni wamiliki wa Mtandao huu wa Mbeya yetu Blog , Tunapenda Kuungana na wadau wetu wote Kumpongeza Bwana Joseph Mwaisango ambaye ndiye Mwandishi Mkuu wa Blog hii ya Mbeya yetu  na Mmoja wa wakurugenzi wa Tone Multimedia Company Limited (TMCL)  ambao pia ni wamiliki wa Blogs za Mikoa Tanzania, Tone Radio-Tz , This Day Magazine, Stay In Tanzania(Tanzania Tours) , Tone Tube Tz  , Matukio na...

 

11 years ago

GPL

HAPPY BIRTHDAY MWANDISHI MKUU WA MBEYA YETU BLOG JOSEPH MWAISANGO‏

Mwandishi mkuu wa Mbeya Yetu Blog, Joseph Mwaisango. ****** TONE MULTIMEDIA GROUP ambao ni wamiliki wa Mtandao wa Mbeya yetu Blog , Tunapenda Kuungana na wadau wetu wote Kumpongeza Bwana Joseph Mwaisango ambaye ndiye Mwandishi Mkuu wa Blog hii ya Mbeya yetu  na Mmoja wa wakurugenzi wa Tone Multimedia Company Limited (TMCL)  ambao pia ni wamiliki wa Blogs za Mikoa Tanzania, … ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani