Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAARIFA MUHIMU KUTOKA MJENWA BLOG


Ndugu zangu,Kutokana na sababu za kiufundi zikiwamo za marekebisho muhimu, blogu yako ya kijamii, Mjengwablog.com haiko hewani kuanzia jana jioni. 
Wataalam wanalishughuIikia swala hilo  na Mjengwablog itarudi tena hewani kabla ya saa sita mchana kwa saa za Afrika Mashariki. 
Hata hivyo, KwanzaJamii Radio iko hewani kama kawaida, sikiliza live...http://www.ustream.tv/channel/kwanzajamii-radio
Poleni kwa usumbufu.
Maggid Mjengwa,Mwenyekiti MtendajiIkoloMediaIringa.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Taarifa ya Mjengwa Blog kutokuwa hewani

mjengwablog11

Ndugu zangu,

Kutokana na sababu za kiufundi ikiwamo marekebisho muhimu, blogu yako ya kijamii, Mjengwablog.com haiko hewani kuanzia jana jioni. Wataalam wanalishughuIikia tatizo na Mjengwablog itarudi tena hewani kabla ya saa sita mchana kwa saa za Afrika Mashariki. Hata hivyo, KwanzaJamii Radio iko hewani kama kawaida, sikiliza live…http://www.ustream.tv/channel/kwanzajamii-radio

Poleni kwa usumbufu.

Maggid Mjengwa,

Mwenyekiti Mtendaji

IkoloMedia

Iringa.

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA KWA WADAU WA FRANCISGODWIN BLOG (MZEE WA MATUKIODAIMA)

Awali  ya  yote  tunapenda  kuwaomba  radhi  wadau  wetu kwa usumbufu uliojitokeza wa  kutokuwepo  hewani kwa zaidi ya siku 6  sasa  hii ni kutokana na matatizo ya  kiufundi ambayo yamejitokeza katika Francis Godwin Blog na Matukiodaimablog hazipo hewani kutokana na matatizo hayo ya kiufundi  japo  yanaendelea  kushughulikiwa .
Hivyo tunaomba  wadau  wetu kwa  sasa mnaweza  kupata habari na matukio mbali mbali katika mitandao...

 

10 years ago

Michuzi

Kumradhi kutoka Eddy Blog

kutokana na matatizo ya kiufundi tunaomba radhi kwa blog yako ya EDDY BLOG kutokuwa hewani kwa wiki kadhaa hii ilitokana na matengenezo yaliyokuwa yakifanywa. tunaomba radhi kwa usumbufu mlioupata lakini kwa sasa mambo yamekalilika itembelee kila saa kwa habari motomoto kwa kubonyeza http://eddymoblaze.blogspot.com/ asante kwa ushirikiano.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Kutoka Soko la Kariakoo’ kurushwa Mjengwa Blog

KIPINDI cha ‘Kutoka Soko la Kariakoo’ kimezindulia na mtandao wa kijamii wa  Mjengwa Blog ambacho kitakuwa kikirushwa na Redio Kwanza Jamii. Akizungumza na Tanzania Daima Dar es Salaam jana Mkurugenzi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Salamu maalum za shukurani kutoka Mbeya Yetu Blog

Cheti  cha ushindi wa Tatu ambacho Mbeya Yetu walikabidhiwa na TASO. IMG_6003

Hili ndilo Banda la  Mbeya yetu Blog lililokuwa ndani ya Maonesho ya Nane nane Mbeya.

Mwandishi Mkuu wa Mbeya yetu Blog na Mmoja wa wakurugenzi wa Tone Multimedia Company Limited Joseph Mwaisango kulia Akikabidhiwa Cheti cha ushindi wa tatu  cha vyombo vya habari kikanda katika kurusha matukio yote ya Nane nane Jijini Mbeya na Mgeni Rasmi wa Maadhimisho hayo, Mkuu wa Mkoa wa  Ruvuma Mh. Rajabu Mwambungu  wa Pili...

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

TAARIFA MUHIMU/IMPORTANT WEATHER NOTICE

Tafadhali pokea tahadhari ya Upepo mkali pamoja na mawimbi makubwa katika maeneo yote ya ukanda wa pwani kuanzia tarehe 09 mpaka 12 July 2014. 
-------------------------------Please receive the warning of strong winds and large waves along the entire coast from 09 to 12 July 2014. 
-------------------------------------------------Imetolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania Issued by Tanzania Meteorological Agency.

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA MUHIMU KWA WANAHABARI WA MKOA WA MBEYA

Tarehe 3/5/2014 ni siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani, hivyo kila sehemu huadhimisha siku hiyo kulingana na mipango yao.
Kwa Mkoa wa Mbeya siku hiyo itaadhimishwa kwa kufanya bonanza kubwa litakalowashirikisha waandishi wa habari pamoja na wadau na baadaye kuwa na tafrija fupi ukumbini majira ya jioni. Kwa mantiki hiyo basi kwa mwandishi wa habari Mkoa wa Mbeya bila kujali ni mwanachama wa Mbeya Press ama la unaarifiwa kuanza mazoezi kwa ajili ya kushiriki bonanza hilo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani