TAARIFA MUHIMU KUTOKA MJENWA BLOG
Ndugu zangu,Kutokana na sababu za kiufundi zikiwamo za marekebisho muhimu, blogu yako ya kijamii, Mjengwablog.com haiko hewani kuanzia jana jioni.
Wataalam wanalishughuIikia swala hilo na Mjengwablog itarudi tena hewani kabla ya saa sita mchana kwa saa za Afrika Mashariki.
Hata hivyo, KwanzaJamii Radio iko hewani kama kawaida, sikiliza live...http://www.ustream.tv/channel/kwanzajamii-radio
Poleni kwa usumbufu.
Maggid Mjengwa,Mwenyekiti MtendajiIkoloMediaIringa.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dv5A8yNqTys/Vc3pIXewZ0I/AAAAAAAHwnA/bjBKZOv7NGs/s72-c/C360_2015-08-14-14-05-01-925.jpg)
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Taarifa ya Mjengwa Blog kutokuwa hewani
Ndugu zangu,
Kutokana na sababu za kiufundi ikiwamo marekebisho muhimu, blogu yako ya kijamii, Mjengwablog.com haiko hewani kuanzia jana jioni. Wataalam wanalishughuIikia tatizo na Mjengwablog itarudi tena hewani kabla ya saa sita mchana kwa saa za Afrika Mashariki. Hata hivyo, KwanzaJamii Radio iko hewani kama kawaida, sikiliza live…http://www.ustream.tv/channel/kwanzajamii-radio
Poleni kwa usumbufu.
Maggid Mjengwa,
Mwenyekiti Mtendaji
IkoloMedia
Iringa.
11 years ago
Michuzi20 May
TAARIFA KWA WADAU WA FRANCISGODWIN BLOG (MZEE WA MATUKIODAIMA)
Hivyo tunaomba wadau wetu kwa sasa mnaweza kupata habari na matukio mbali mbali katika mitandao...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-W7vt4OHRL88/VB_RJB48LLI/AAAAAAAGk6A/4QjYj_X9wZA/s72-c/unnamed.png)
Kumradhi kutoka Eddy Blog
![](http://3.bp.blogspot.com/-W7vt4OHRL88/VB_RJB48LLI/AAAAAAAGk6A/4QjYj_X9wZA/s1600/unnamed.png)
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
‘Kutoka Soko la Kariakoo’ kurushwa Mjengwa Blog
KIPINDI cha ‘Kutoka Soko la Kariakoo’ kimezindulia na mtandao wa kijamii wa Mjengwa Blog ambacho kitakuwa kikirushwa na Redio Kwanza Jamii. Akizungumza na Tanzania Daima Dar es Salaam jana Mkurugenzi...
10 years ago
Dewji Blog13 Aug
Salamu maalum za shukurani kutoka Mbeya Yetu Blog
![](http://3.bp.blogspot.com/-HgDewPqvTII/U-tKmIrC7XI/AAAAAAAAolc/O7ut6rJHcTo/s1600/doc2.jpg)
![IMG_6003](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/IMG_6003.jpg)
Hili ndilo Banda la Mbeya yetu Blog lililokuwa ndani ya Maonesho ya Nane nane Mbeya.
Mwandishi Mkuu wa Mbeya yetu Blog na Mmoja wa wakurugenzi wa Tone Multimedia Company Limited Joseph Mwaisango kulia Akikabidhiwa Cheti cha ushindi wa tatu cha vyombo vya habari kikanda katika kurusha matukio yote ya Nane nane Jijini Mbeya na Mgeni Rasmi wa Maadhimisho hayo, Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mh. Rajabu Mwambungu wa Pili...
10 years ago
Michuzi15 Mar
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Sa0c4-MvwqE/U7xdkienKPI/AAAAAAAFzFM/PSB0ADKvfps/s72-c/download.jpg)
TAARIFA MUHIMU/IMPORTANT WEATHER NOTICE
![](http://1.bp.blogspot.com/-Sa0c4-MvwqE/U7xdkienKPI/AAAAAAAFzFM/PSB0ADKvfps/s1600/download.jpg)
-------------------------------Please receive the warning of strong winds and large waves along the entire coast from 09 to 12 July 2014.
-------------------------------------------------Imetolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania Issued by Tanzania Meteorological Agency.
11 years ago
Michuzi07 Apr
TAARIFA MUHIMU KWA WANAHABARI WA MKOA WA MBEYA
Kwa Mkoa wa Mbeya siku hiyo itaadhimishwa kwa kufanya bonanza kubwa litakalowashirikisha waandishi wa habari pamoja na wadau na baadaye kuwa na tafrija fupi ukumbini majira ya jioni. Kwa mantiki hiyo basi kwa mwandishi wa habari Mkoa wa Mbeya bila kujali ni mwanachama wa Mbeya Press ama la unaarifiwa kuanza mazoezi kwa ajili ya kushiriki bonanza hilo...