Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Salamu maalum za shukurani kutoka Mbeya Yetu Blog

Cheti  cha ushindi wa Tatu ambacho Mbeya Yetu walikabidhiwa na TASO. IMG_6003

Hili ndilo Banda la  Mbeya yetu Blog lililokuwa ndani ya Maonesho ya Nane nane Mbeya.

Mwandishi Mkuu wa Mbeya yetu Blog na Mmoja wa wakurugenzi wa Tone Multimedia Company Limited Joseph Mwaisango kulia Akikabidhiwa Cheti cha ushindi wa tatu  cha vyombo vya habari kikanda katika kurusha matukio yote ya Nane nane Jijini Mbeya na Mgeni Rasmi wa Maadhimisho hayo, Mkuu wa Mkoa wa  Ruvuma Mh. Rajabu Mwambungu  wa Pili...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Mbeya yetu Blog waanza kutembelea na kutangaza vivutio vya kitalii mkoani Mbeya, wakianzia na Kijungu

Baada ya kuona kuwa kuna maeneo mbalimbali ya vivutio vya kitalii muhimu na ambavyo vimesahaulika kwa njia moja au nyengine na pengine hakuna pa kuvitangaza ili watanzania na Dunia kwa ujumla wapate kuvifahamu kwa ukaribu ,  Tone Multimedia Group kupitia mtandao wake wa Mbeya yetu Blog wameamua kuanza rasmi kuvitembelea na kutangaza kwa Jamii kwa ujumla  wapate kuvifahamu ili nao waje kuvitembelea.

Safari hiyo ambayo moja kwa moja ilianzia Mkoa wa Mbeya Wilaya ya Rungwe-Tukuyu kwenda...

 

10 years ago

Michuzi

MBEYA YETU BLOG WAANZA KUTEMBELEA NA KUTANGAZA VIVUTIO VYA KITALII MKOANI MBEYA , WAKIANZIA NA KIJUNGU

Baada ya kuona kuwa kuna maeneo mbalimbali ya vivutio vya kitalii muhimu na ambavyo vimesahaulika kwa njia moja au nyengine na pengine hakuna pa kuvitangaza ili watanzania na Dunia kwa ujumla wapate kuvifahamu kwa ukaribu , Tone Multimedia Group kupitia mtandao wake wa Mbeya yetu Blog wameamua kuanza rasmi kuvitembelea na kutangaza kwa Jamii kwa ujumla  wapate kuvifahamu ili nao waje kuvitembelea.
Safari hiyo ambayo moja kwa moja ilianzia Mkoa wa Mbeya Wilaya ya Rungwe-Tukuyu kwenda kujionea...

 

11 years ago

Michuzi

HAPPY BIRTHDAY MWANDISHI MKUU WA MBEYA YETU BLOG JOSEPH MWAISANGO

Mwandishi mkuu wa Mbeya yetu Blog, Joseph Mwaisango ******
TONE MULTIMEDIA GROUP Ambao ni wamiliki wa Mtandao huu wa Mbeya yetu Blog , Tunapenda Kuungana na wadau wetu wote Kumpongeza Bwana Joseph Mwaisango ambaye ndiye Mwandishi Mkuu wa Blog hii ya Mbeya yetu  na Mmoja wa wakurugenzi wa Tone Multimedia Company Limited (TMCL)  ambao pia ni wamiliki wa Blogs za Mikoa Tanzania, Tone Radio-Tz , This Day Magazine, Stay In Tanzania(Tanzania Tours) , Tone Tube Tz  , Matukio na...

 

11 years ago

GPL

HAPPY BIRTHDAY MWANDISHI MKUU WA MBEYA YETU BLOG JOSEPH MWAISANGO‏

Mwandishi mkuu wa Mbeya Yetu Blog, Joseph Mwaisango. ****** TONE MULTIMEDIA GROUP ambao ni wamiliki wa Mtandao wa Mbeya yetu Blog , Tunapenda Kuungana na wadau wetu wote Kumpongeza Bwana Joseph Mwaisango ambaye ndiye Mwandishi Mkuu wa Blog hii ya Mbeya yetu  na Mmoja wa wakurugenzi wa Tone Multimedia Company Limited (TMCL)  ambao pia ni wamiliki wa Blogs za Mikoa Tanzania, … ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mo blog inamtakia pole ya uzima Blogger na Mwandishi Mkuu wa Mbeya Yetu Joseph Mwaisango aliyelazwa kwa matibabu

17301_1021665087861001_2972075610347608120_nMwandishi Mkuu wa Mbeya Yetu, blogger  Joseph Mwaisango akiwa yupo kitandani Hospitali ya Rufaa Mbeya ambaapo amelazwa tokea jana akisumbuliwa na tatizo la tumbo.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Mtandao wa Modewji blog unamtakia uzima na unafuu Mwandishi Mkuu wa Mbeya Yetu Blog, Joseph Mwaisango ambaye jana Aprili 4, alilazwa katika Hospitali ya Rufaa Mbeya, kutokana na maradhi ya tumbo yanayomsumbua.

10447391_865297826831062_4485329918231226680_n

Modewji blog na wadau wetu wengine munaendelea kuperuzi nasi kila siku,  tuna kila...

 

10 years ago

Mwananchi

SALAMU KUTOKA KWA MHARIRI :Ahadi yetu uchaguzi wa 2015

Ndani ya siku 131 kuanzia leo, Watanzania watakuwa wameingia katika shughuli ya kutekeleza wajibu wao kikatiba wa kuchagua madiwani, wabunge na muhimu sana, Rais wa tano tangu nchi yetu ya Tanzania ipate uhuru miaka 54 iliyopita.

 

9 years ago

Michuzi

SALAMU ZA X- MAS NA MWAKA MPYA 2016 KUTOKA KWA KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA

KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA, KAMISHNA MSAIDIZI MWANDAMIZI WA POLISI AHMED ZAHORO MSANGI - SACP, ANAWATAKIA WAANDISHI WOTE WA HABARI "HERI YA KRISMAS NA MWAKA MPYA, 2016"
KAULI MBIU: "ULINZI UNAANZA NA MIMI, WEWE NA SISI SOTE"KUMBUKA: WHEN YOU SEE SOMETHING, SAY SOMETHING.TUSHEREHEKEE KWA AMANI NA UTULIVU SIKUKUU YA KRISMAS NA MWAKA MPYA, 2016.
AHSANTENI!!!!

 

10 years ago

Michuzi

Mbeya City FC wakabidhiwa Kadi maalum kwa wapenzi wa timu hiyo kutoka Benki ya Posta

Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini Ndugu Norman Sigala pamoja na Meya wa jiji la Mbeya Ndugu Athanas Kapunga wakipokea kadi ya ushabiki ya Mbeya City Football Club kutoka kwa Kaimu Mtendaji wa Benki ya Posta Tanzania Ndugu Jema Msuya. Kushoto kwenye picha ni Mkurugenzi wa masoko wa benki ya Posta Mr Deogratius Kwiyukwa.

 

10 years ago

Vijimambo

Mahojiano maalum: Mahmoud Zubeiry a.k.a binzubeiry blog

"Kuna wakati nilikuwa nakwenda kwenye jalala la soko dogo pale Keko kuokota vilivyotupwa na kutafuta vyenye nafuu ili twende nyumbani kupika kupata chakula."
Najua mimi na wewe tunafamiana toka tukiwa wadogo lakini kwa faida ya wasomaji naomba ujitambulishe majina yako halisi:  Asante, mimi ninaitwa Mahmoud Ramadhan Zubeiry, mtaani walizoea kuniita MudiUnaweza ukatuelezea kidogo kuhusu elimu yako?  Shule ya msingi nilisoma pale Mgulani, baadaye nikaenada Rutabio sekondari kabla ya kufanya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani