Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahojiano maalum: Mahmoud Zubeiry a.k.a binzubeiry blog

"Kuna wakati nilikuwa nakwenda kwenye jalala la soko dogo pale Keko kuokota vilivyotupwa na kutafuta vyenye nafuu ili twende nyumbani kupika kupata chakula."
Najua mimi na wewe tunafamiana toka tukiwa wadogo lakini kwa faida ya wasomaji naomba ujitambulishe majina yako halisi:  Asante, mimi ninaitwa Mahmoud Ramadhan Zubeiry, mtaani walizoea kuniita MudiUnaweza ukatuelezea kidogo kuhusu elimu yako?  Shule ya msingi nilisoma pale Mgulani, baadaye nikaenada Rutabio sekondari kabla ya kufanya...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Salamu maalum za shukurani kutoka Mbeya Yetu Blog

Cheti  cha ushindi wa Tatu ambacho Mbeya Yetu walikabidhiwa na TASO. IMG_6003

Hili ndilo Banda la  Mbeya yetu Blog lililokuwa ndani ya Maonesho ya Nane nane Mbeya.

Mwandishi Mkuu wa Mbeya yetu Blog na Mmoja wa wakurugenzi wa Tone Multimedia Company Limited Joseph Mwaisango kulia Akikabidhiwa Cheti cha ushindi wa tatu  cha vyombo vya habari kikanda katika kurusha matukio yote ya Nane nane Jijini Mbeya na Mgeni Rasmi wa Maadhimisho hayo, Mkuu wa Mkoa wa  Ruvuma Mh. Rajabu Mwambungu  wa Pili...

 

10 years ago

Vijimambo

Mahojiano Maalum: Zawadi Kakoschke

Zawadi Kakoschke     Blogger wa  www.maisafari.com Zawadi KakoschkeBlogger  wa http://maisafari.com Naomba utueleze Historia yako kwa ufupi: Naitwa Zawadi Owitti Kakoschke, mama wa watoto wawili Amani na Malaika na mke wa Bart Kakoschke. Nimezaliwa miaka 39 iliyopita huko Songea, Tanzania. Ni mtoto wa pili wa marehemu Fatuma ambae anatokea mkoani Iringa. Mimi ni mjaluo baba yangu anatokea Shirati Rorya mkoani Mara. Kwa sasa makazi yangu yako kwenye nchi za kiarabu ambapo mume wangu anafanyia kazi.
Wewe ni mmiliki wa blog ya ...

 

10 years ago

Vijimambo

Mahojiano Maalum: Tumaini Kilangwa

                    “Tumeuwona mkono wa Mungu, Tumeuona uwezo wake”2015-03-25 05.57.39Tumaini Kilangwa: Mama, Mke, na  Mjasiriamali Binafsi nakufahamu toka mwaka 2003, ambapo wote tulikuwa tunaishi katika mji wa Wichita, Kansas State. Lakini kuna wengi ambao hawakufahamu na wangependa kujua wewe ni nani, na unafanya nini? Mimi naitwa Tumaini Kilangwa. Nimezaliwa na kukulia Morogoro. Shule ya msingi nimesoma Mzumbe Primary School. Masomo ya secondary nimesoma Msalato Secondary School kuanzia Form one (I)...

 

10 years ago

Vijimambo

Mahojiano Maalum: Zawadi Owitti Kakoschke

  Zawadi KakoschkeBlogger wa http://maisafari.comNaomba utueleze Historia yako kwa ufupi:Naitwa Zawadi Owitti Kakoschke, mama wa watoto wawili Amani na Malaika na mke wa Bart Kakoschke. Nimezaliwa miaka 39 iliyopita huko Songea, Tanzania. Ni mtoto wa pili wa marehemu Fatuma ambae anatokea mkoani Iringa. Mimi ni mjaluo baba yangu anatokea Shirati Rorya mkoani Mara. Kwa sasa makazi yangu yako kwenye nchi za kiarabu ambapo mume wangu anafanyia kazi.Wewe ni mmiliki wa blog ya maisafari.com,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Usikose kuperuzi modewjiblog katika mahojiano maalum na Mwanasheria mwenye ‘Albinism’ Dk. Ally Possi

DSC_0391

Mwanasheria mwenye Albinism Dk. Ally Possi akiwa ndani ya ofisi za modewjiblog.

Na modewji blog team

“JAMII  yenye ushirikina ndio yenye kuamini suala la mauaji ya watu wenye ulemavu wa  ngozi ambao wana alibinisimu, hivyo ilikuondoa imani hii potofu ni kutoa elimu katika maeneo yote na kuwalinda popote pale, Jambo hili ni jukumu letu sote” anaeleza Dk. Ally Possi.

Hata hivyo alibainisha kuwa, licha ya kuwapo kwa vitendo hivyo vya kikatili vikiwemo vya mauaji dhidi ya watu wenye ulemavu wa...

 

10 years ago

Vijimambo

Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago

Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake MbagalaTabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...

 

9 years ago

Daily News

Sheikh Zubeiry is new Mufti


Daily News
Sheikh Zubeiry is new Mufti
Daily News
THE National Muslim Council, BAKWATA, which met in Dodoma, has elected Sheikh Abubakary Zubeiry as Chief Mufti. Sheikh Zubeiry was picked Acting Chief Mufti on June 22 following the death of Mufti Issa Shaaban Bin Simba. According to BAKWATA ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani