Mahojiano Maalum: Tumaini Kilangwa
“Tumeuwona mkono wa Mungu, Tumeuona uwezo wake”Tumaini Kilangwa: Mama, Mke, na Mjasiriamali Binafsi nakufahamu toka mwaka 2003, ambapo wote tulikuwa tunaishi katika mji wa Wichita, Kansas State. Lakini kuna wengi ambao hawakufahamu na wangependa kujua wewe ni nani, na unafanya nini? Mimi naitwa Tumaini Kilangwa. Nimezaliwa na kukulia Morogoro. Shule ya msingi nimesoma Mzumbe Primary School. Masomo ya secondary nimesoma Msalato Secondary School kuanzia Form one (I)...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-I26kTZuhyY0/VdpU44XREXI/AAAAAAAADKw/t1zw5lxJF2g/s72-c/2015-08-22%2B12.59.00.jpg)
"Muumbaji wa ndoa ni Mungu peke yake............Hakuna mwalimu wa ndoa hapa duniani" - Tumaini Kilangwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-I26kTZuhyY0/VdpU44XREXI/AAAAAAAADKw/t1zw5lxJF2g/s640/2015-08-22%2B12.59.00.jpg)
10 years ago
Vijimambo20 Feb
Mahojiano Maalum: Zawadi Kakoschke
![Zawadi Kakoschke Blogger wa www.maisafari.com](http://alphaigogo.com/wp-content/uploads/2015/02/Zawadi-Kakoschke-225x300.jpg)
Wewe ni mmiliki wa blog ya ...
10 years ago
Vijimambo08 Feb
Mahojiano Maalum: Zawadi Owitti Kakoschke
![](http://alphaigogo.com/wp-content/uploads/2015/02/Zawadi-Kakoschke-225x300.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-uvKJXO455ow/Va8-m1qL6WI/AAAAAAAACXo/S8sCqDB9aqc/s72-c/FB_IMG_1437541501275.jpg)
Mahojiano maalum: Mahmoud Zubeiry a.k.a binzubeiry blog
![](http://1.bp.blogspot.com/-uvKJXO455ow/Va8-m1qL6WI/AAAAAAAACXo/S8sCqDB9aqc/s400/FB_IMG_1437541501275.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Mar
Usikose kuperuzi modewjiblog katika mahojiano maalum na Mwanasheria mwenye ‘Albinism’ Dk. Ally Possi
Mwanasheria mwenye Albinism Dk. Ally Possi akiwa ndani ya ofisi za modewjiblog.
Na modewji blog team
“JAMII yenye ushirikina ndio yenye kuamini suala la mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi ambao wana alibinisimu, hivyo ilikuondoa imani hii potofu ni kutoa elimu katika maeneo yote na kuwalinda popote pale, Jambo hili ni jukumu letu sote” anaeleza Dk. Ally Possi.
Hata hivyo alibainisha kuwa, licha ya kuwapo kwa vitendo hivyo vya kikatili vikiwemo vya mauaji dhidi ya watu wenye ulemavu wa...
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago
![Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala](http://alphaigogo.com/wp-content/uploads/2015/02/Tab-Obago-169x300.jpg)
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar30 Sep
Maalim Seif: Tumaini la Wazanzibari
Maalim Seif Changamoto mbali mbali zinazowakabili wananchi wa Zanzibar na jinsi Chama Cha Wananchi CUF chini ya uongozi wa Maalim Seif Sharif Hamad walivyojipanga kuzitatua changamoto hizo endapo watapata ridhaa ya kuwaongoza wananchi wa Zanzibar.
The post Maalim Seif: Tumaini la Wazanzibari appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mwananchi25 Dec
Tumaini Saccos yazidi ‘kumwaga’ mikopo
10 years ago
Vijimambo23 Feb
TUMAINI MAKENE: YANAYOJIRI NJOMBE - BVR
YANAYOJIRI NJOMBE - BVR
1. Ikiwa zoezi la uandikishaji limeanza leo tarehe 23 Feb na likitarajiwa kuzinduliwa rasmi kesho tarehe 24 Feb na Waziri Mkuu Pinda, Naibu Katibu wa CHADEMA upande wa Tanganyika ameanza Operesheni R2R BVR ambapo asubuhi mpaka mchana alikuwa katika Mji wa Makambako akipitia mitaani pamoja na msafara wa viongozi wa chama hicho ngazi mbalimbali kuhamasisha wananchi kujiandikisha.
Aidha, Operesheni hiyo imehusisha...