Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kumradhi kutoka Eddy Blog

kutokana na matatizo ya kiufundi tunaomba radhi kwa blog yako ya EDDY BLOG kutokuwa hewani kwa wiki kadhaa hii ilitokana na matengenezo yaliyokuwa yakifanywa. tunaomba radhi kwa usumbufu mlioupata lakini kwa sasa mambo yamekalilika itembelee kila saa kwa habari motomoto kwa kubonyeza http://eddymoblaze.blogspot.com/ asante kwa ushirikiano.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TAARIFA MUHIMU KUTOKA MJENWA BLOG


Ndugu zangu,Kutokana na sababu za kiufundi zikiwamo za marekebisho muhimu, blogu yako ya kijamii, Mjengwablog.com haiko hewani kuanzia jana jioni. 
Wataalam wanalishughuIikia swala hilo  na Mjengwablog itarudi tena hewani kabla ya saa sita mchana kwa saa za Afrika Mashariki. 
Hata hivyo, KwanzaJamii Radio iko hewani kama kawaida, sikiliza live...http://www.ustream.tv/channel/kwanzajamii-radio
Poleni kwa usumbufu.
Maggid Mjengwa,Mwenyekiti MtendajiIkoloMediaIringa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Kutoka Soko la Kariakoo’ kurushwa Mjengwa Blog

KIPINDI cha ‘Kutoka Soko la Kariakoo’ kimezindulia na mtandao wa kijamii wa  Mjengwa Blog ambacho kitakuwa kikirushwa na Redio Kwanza Jamii. Akizungumza na Tanzania Daima Dar es Salaam jana Mkurugenzi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Salamu maalum za shukurani kutoka Mbeya Yetu Blog

Cheti  cha ushindi wa Tatu ambacho Mbeya Yetu walikabidhiwa na TASO. IMG_6003

Hili ndilo Banda la  Mbeya yetu Blog lililokuwa ndani ya Maonesho ya Nane nane Mbeya.

Mwandishi Mkuu wa Mbeya yetu Blog na Mmoja wa wakurugenzi wa Tone Multimedia Company Limited Joseph Mwaisango kulia Akikabidhiwa Cheti cha ushindi wa tatu  cha vyombo vya habari kikanda katika kurusha matukio yote ya Nane nane Jijini Mbeya na Mgeni Rasmi wa Maadhimisho hayo, Mkuu wa Mkoa wa  Ruvuma Mh. Rajabu Mwambungu  wa Pili...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kumradhi Rais Kikwete

KATIKA machapisho ya gazeti hili, toleo namba 3554 la Agosti 27, 2014 na toleo namba 3555 la Agosti 28, 2014 tulikuwa na habari zenye vichwa: Kikwete anywea na Kikwete ‘alamba...

 

10 years ago

Mtanzania

KUMRADHI WEMA SEPETU

wema4Katika gazeti letu la Mtanzania toleo No. 7709 la Alhamisi Januari 22, mwaka huu, tuliandika kimakosa stori yenye kichwa cha habari ‘Wema Sepetu ampeleka Diamond Polisi’. Baada ya kufanya uchunguzi tumejiridhisha habari ile haikuwa na ukweli, kwani chanzo kilichotupatia kilitupotosha, hivyo kuleta usumbufu kwa msanii Wema pamoja na jamii. Kutokana na hali hiyo, tunapenda kumwomba radhi Wema na familia yake. Siku zote sisi MTANZANIA tumekuwa makini katika kusimamia misingi ya habari za weledi...

 

10 years ago

GPL

KUMRADHI WASOMAJI WETU

Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu hatutaweza kuendelea kuwawekea hadithi za Shigongo katika tovuti yenu ya Global Publishers na badala yake hadithi hizo zitakuwa zikipatikana katika magazeti ya kila siku ya Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi na Ijumaa Wikienda. Tunaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza katika kipindi hiki hadi hapo baadaye tutakapoweza kuendelea na utaratibu huo.
Wenu, Webmaster,… ...

 

10 years ago

Vijimambo

Mishumaa ya Kale ....Kumradhi

Kwa wale wadau wote wa MISHUMAA YA KALE, tunaomba radhi kwa kukosekana kwa kipindi hapo jana.
Ilitokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wetu
Lakini tuna imani kuwa Ijumaa hii mambo yatakaa sawa nasi kukuletea kipindi hicho.
Kama ulikosa kipindi chochote kilichopita, BOFYA HAPA.
Kwa kipindi cha wiki iliyopita, sikiliza hapa chini

 

11 years ago

Mwananchi

Kumradhi Prof Anna Tibaijuka

Katika toleo la Alhamisi Januari 9, 2014 gazeti hili lilichapisha habari kuhusu matokeo ya ziara ya Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka katika Shamba la Mpunga la Kapunga, wilayani Mbarali mkoani Mbeya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani