Mishumaa ya Kale ....Kumradhi
![](http://1.bp.blogspot.com/-epF6lIpAI7k/VOkxmnzO1bI/AAAAAAAAH6s/iYtOB1-lixM/s72-c/Mishumaa%2BFinal%2BProject%2B(1).jpg)
Kwa wale wadau wote wa MISHUMAA YA KALE, tunaomba radhi kwa kukosekana kwa kipindi hapo jana.
Ilitokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wetu
Lakini tuna imani kuwa Ijumaa hii mambo yatakaa sawa nasi kukuletea kipindi hicho.
Kama ulikosa kipindi chochote kilichopita, BOFYA HAPA.
Kwa kipindi cha wiki iliyopita, sikiliza hapa chini
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Px09uVK3fNQ/VJSvN_mXs8I/AAAAAAAG4iY/v8HV_oPm4ys/s72-c/unnamed%2B(63).jpg)
Ni MISHUMAA YA KALE
![](http://1.bp.blogspot.com/-Px09uVK3fNQ/VJSvN_mXs8I/AAAAAAAG4iY/v8HV_oPm4ys/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
10 years ago
Michuzi07 Feb
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-e5zqdd_McIk/VMv3xRg1kYI/AAAAAAAAH2M/7L272ItBBgk/s72-c/Mishumaa%2BFinal%2BProject%2B(1).jpg)
Mishumaa ya kale LIIIIVE.....5:00pm EST
![](http://2.bp.blogspot.com/-e5zqdd_McIk/VMv3xRg1kYI/AAAAAAAAH2M/7L272ItBBgk/s1600/Mishumaa%2BFinal%2BProject%2B(1).jpg)
Pata muziki halisi wa kale, na pia mazungumzo ya watu na watu kadhaa
Unajua undani wa maisha wa Montell Jordan? Alivyopanda na mpaka kuingia kwenye muziki wa Injili
Pia tutazungumza na Dj Jerry Kotto. Dj wa awali kufanya "mixing" nchini Tanzania
Atazungumza mengi kuhusu muziki wa zamani
Ni MISHUMAA YA KALE live. Ukiwa na Dj Luke Joe na...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-LP2K9R-Ocik/VGvj-9ui84I/AAAAAAAAHks/nmkBxtHPAvE/s72-c/vinyl-records2.jpg)
"MISHUMAA YA KALE" leo kama kawa.......USIKOSE
![](http://1.bp.blogspot.com/-LP2K9R-Ocik/VGvj-9ui84I/AAAAAAAAHks/nmkBxtHPAvE/s1600/vinyl-records2.jpg)
Katika kipindi hiki, utaweza "kuruka majoka" na "kula mangoma" kwa kusikiliza nyimbo ziliotamba miaka ya zamani, kupata historia ya wasanii na vikundi mbalimbali na pia kusikiliza mazungumzo na maDj na wasanii mbalimbali wa zamani.
Ungana na MixMaster Dj Luke Joe kwenye "one and two" na Mubelwa Bandio nyuma ya kipaza sauti kwenye kipindi...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pB1_totHtgM/VIjl849P_-I/AAAAAAAAHoQ/o0g55tqUdyc/s72-c/Mishumaa%2BFinal%2BProject%2B(1).jpg)
Sikiliza MISHUMAA YA KALE live (5:00PM EST)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pB1_totHtgM/VIjl849P_-I/AAAAAAAAHoQ/o0g55tqUdyc/s1600/Mishumaa%2BFinal%2BProject%2B(1).jpg)
Kama una TuneIn app, ingia http://tun.in/sfdl0
Kwa mlio Marekani na Canada, tusikilize kwa kupiga simu 716 748 0086
10 years ago
VijimamboMahojiano na Charles Magali kwenye Mishumaa Ya Kale
Karibu umsikilize akihojiwa na Mbunifu na Mtayarishaji wa kipindi hiki Dj Luke Joe na Mubelwa Bandio
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-2MOx0Oy1oHA/VRbfAnVZfKI/AAAAAAAAIJU/oBSoJkHCVhY/s72-c/Snapshot(55).jpg)
Kipindi cha Mishumaa ya Kale.....Ijumaa May 22, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-2MOx0Oy1oHA/VRbfAnVZfKI/AAAAAAAAIJU/oBSoJkHCVhY/s1600/Snapshot(55).jpg)
MISHUMAA YA KALE ni kipindi kinachokuwezesha "kuruka majoka" na "kula mangoma" kwa kusikiliza nyimbo ziliotamba miaka ya zamani, kupata historia ya wasanii na vikundi mbalimbali na pia kusikiliza mazungumzo na maDj na wasanii mbalimbali wa zamani.
Ungana na MixMaster Dj Luke Joe kwenye "one and two" na Mubelwa Bandio nyuma ya kipaza sauti kwenye kipindi kipya cha MISHUMAA YA KALE kinakachokujia kila Ijumaa kuanzia saa 11 kamili jioni mpaka saa 1...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-cRZKuZf2Ygs/VbRVkpSLFCI/AAAAAAAAJAU/W8wB0yRQULc/s72-c/Snapshot%252855%2529.jpg)
Kipindi cha Mishumaa ya Kale.....Ijumaa Julai 24, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-cRZKuZf2Ygs/VbRVkpSLFCI/AAAAAAAAJAU/W8wB0yRQULc/s640/Snapshot%252855%2529.jpg)
MISHUMAA YA KALE ni kipindi kinachokuwezesha "kuruka majoka" na "kula mangoma" kwa kusikiliza nyimbo ziliotamba miaka ya zamani, kupata historia ya wasanii na vikundi mbalimbali na pia kusikiliza mazungumzo na maDj na wasanii mbalimbali wa zamani.
Ungana na MixMaster Dj Luke Joe kwenye "one and two" na Mubelwa Bandio nyuma ya kipaza sauti kwenye kipindi kipya cha MISHUMAA YA KALE kinakachokujia kila Ijumaa kuanzia saa 11 kamili jioni mpaka saa 1...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-e5zqdd_McIk/VMv3xRg1kYI/AAAAAAAAH2M/7L272ItBBgk/s72-c/Mishumaa%2BFinal%2BProject%2B(1).jpg)
Mishumaa ya kale LIIIIVE Ijumaa 5:00pm EST USIKOSE
![](http://2.bp.blogspot.com/-e5zqdd_McIk/VMv3xRg1kYI/AAAAAAAAH2M/7L272ItBBgk/s1600/Mishumaa%2BFinal%2BProject%2B(1).jpg)
Pata muziki halisi wa kale, na pia mazungumzo ya watu mbalimbali
Piga simu 240 281 0574 utuambie ni nini unachokijua kuhusiana na muziki wa zamani
Ni MISHUMAA YA KALE live. Ukiwa na Dj Luke Joe na Mubelwa Bandio
Jiunge nasi kupitia www.kwanzaproduction.com ama www.vijimamboradio.com
ama www.bordermediagroup.com
Ama kwa aliye Marekani na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania