Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tume yaundwa mgogoro wa ardhi Ndarakwai

SERIKALI imeunda Tume ya Maridhiano itakayoshughulikia chanzo cha mgogoro baina ya mwekezaji wa Ndarakwai na wafugaji wa kimasai walivamia na kuchoma moto nyumba 16 katika shamba la mwekezaji huyo mwezi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Wizara ya Ardhi yawatangazia umma kuwasilisha malalamiko ya mgogoro ya Ardhi mkoa wa Dar

IMG-20141114-WA0009

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mh. William Lukuvi.

WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI INAPENDA KUWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA MHE. WAZIRI WA ARDHI ATAPOKEA MALALAMIKO YA WANANCHI WENYE MIGOGORO INAYOHUSU ARDHI KATIKA MKOA WA DAR ES SALAAM TAREHE 22 – 23, SEPTEMBA, 2015 KUANZIA SAA 4.00 ASUBUHI MAKAO MAKUU YA WIZARA. KATIKA TUKIO HILO, MNATAKIWA KUZINGATIA YAFUATAYO;-

1.TAREHE 22 SEPTEMBA 2015 ATAPOKEA MALALAMIKO YA WANANCHI KWA MANISPAA YA KINONDONI;

2.TAREHE...

 

10 years ago

Habarileo

RC kumaliza mgogoro wa ardhi Nyakato

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo.KATIKA kukabiliana na mgogoro wa ardhi katika eneo la Mahangu C kata ya Nyakato wilayani Ilemela, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo ameahidi kupeleka wataalamu wengine kwa ajilii ya kufanya uhakiki mpya.

 

11 years ago

BBCSwahili

7 wauawa kwenye mgogoro wa ardhi TZ

Watu saba wameuwa na wengine wamejeruhiwa katika mapigano ya jamii za wakulima na Wafugaji mkoani Manyara nchini Tanzania.

 

10 years ago

Mwananchi

Miaka 20 mgogoro wa ardhi Loliondo imetosha

Ni zaidi ya miaka 20 sasa imepita bila mgogoro wa ardhi katika eneo la Pori Tengefu la Loliondo Wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha kupatiwa ufumbuzi wa kudumu.

 

10 years ago

Habarileo

Mgogoro mwingine wa ardhi wazuka Arumeru

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William LukuviSAKATA la migogoro ya ardhi katika wilaya ya Arumeru mkoani Arusha imekuwa ikichukua sura mpya kila kukicha, sasa kumeibuka mgogoro mwingine wa kugombea mpaka kati ya Kijiji cha Olkung’wadu wilayani humo na kijiji cha Lekimurunyi cha wilayani Siha, Mkoani Kilimanjaro.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Hakuna mmiliki mgogoro wa ardhi Kiwangwa’

WAKATI mgogoro wa ardhi ya mwekezaji Ester Shayo iliyoporwa na Kombo Juma, anayedai amepewa na Rais Jakaya Kikwete ukiendelea, Mwenyekiti wa zamani wa Kijiji cha Kiwangwa, Salimu Adamu, amesema wote...

 

10 years ago

Mwananchi

Usuluhishi wa mgogoro wa ardhi kwenye mabaraza ya kata

Mgogoro wa ardhi ni kitendo au hali ya kutokuwa na maelewano kwa pande zaidi ya mbili juu ya umiliki, mipaka, upangaji, mikopo, mauzo na aina nyingine ya ubishani ikihusisha sheria za ardhi.

 

11 years ago

Mwananchi

Mdee amshukia Waziri Tibaijuka mgogoro wa ardhi

Waziri Kivuli wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halima Mdee amemshukia Waziri wa wizara hiyo, Profesa Anna Tibaijuka kwa kushindwa kutatua mgogoro wa shamba la Kapunga mkoani Mbeya na badala yake ameukuza.

 

10 years ago

Habarileo

Selasini ataka mgogoro wa ardhi ufikishwe Takukuru

Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini BAADHI ya wabunge wa Mkoa wa Kilimanjaro wamemtaka Mkaguzi na Mdhibiti wa Fedha za Umma (CAG) na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kumchunguza mkuu wa mkoa huo, Leonidas Gama kuhusu tuhuma za kumiliki ardhi kwa njia za kifisadi wilayani Rombo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani