HUWEZI ZUIA MAFURIKO KWA MIKONO

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akipungia mkono maelfu ya wana CCM na wananchi wa Musoma, alipowasili uwanja wa ndege wa Musoma Juni 9, 2015, kuendelea na kampeni yakle ya kuomba wana CCM wamdhamini baada ya kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania nurais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015
Lowassa, (kulia), akiwatuliza wana CCM na wananchi wa Musoma, waliojaribu kuvunja geti ili walao wapate kugusana naye alipowasili...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
HUWEZI ZUIA MAFURIKO KWA MKONO, LOWASSA AWEKA REKODI MPYA YA WADHAMINI SINGIDA, 22,758 WAMDHAMINI

10 years ago
Mwananchi26 Mar
Lowassa: Siwezi kuzuia mafuriko kwa mikono
10 years ago
Vijimambo21 Jul
Nape asema CCM imezuia mafuriko kwa mikono.

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimejigamba kwamba kimeweza kuzuia ‘mafuriko’ kwa mikono huku kikiwatakia kila la kheri baadhi ya makada wake waliotangaza kutogombea kupitia chama hicho pamoja na wale waliokihama na wanaotaka kukihama.
Mwishoni mwa wiki iliyopita waliokuwa madiwani jimbo la Monduli kupitia CCM mkoani Arusha, walitangaza kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), huku wabunge wa viti maalum, Ester Bulaya na James Lembeli...
11 years ago
GPL
ZUIA UGOMVI KABLA HAUJAANZA
11 years ago
Michuzi
BARAZA LA MADIWANI LA MJI KOROGWE LAUPOKEA KWA MIKONO MIWILI MPANGO TIBA KWA KADI (TIKA)
