Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazawa hoi, wageni watesa

Wakati Ligi Kuu Tanzania Bara ikizidi kushika kasi nchini, nyota wa kigeni waliosajiliwa na timu za Simba, Yanga na Azam wamewafunika wazawa baada ya kutoa mchango wa zaidi ya 80% kwenye mabao yaliyofungwa na timu hizo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Miaka 22 ya wageni kumiliki sasa zamu ya wazawa

Tanzanite ni madini adimu yanayochimbwa eneo moja tu duniani ambalo ni Mererani katika Wilaya ya Simanjiro Mkoa wa Manyara.

 

10 years ago

Mwananchi

Derefa: Uchumi umekuwa wa kusaidia wageni badala ya wazawa

Tangu Tanzania ipate uhuru, Jimbo la Shinyanga Mjini limeongozwa na wabunge tisa ambao ni John Rupia, Bakari Msonde, Anna Tito Kachima, Ntemi Nyanda, Haninghton Mfaume, Paul Makune, Leonard Derefa, Dk Charles Mlingwa na sasa Stephen Masele.

 

9 years ago

Bongo5

New Music: Layla (The Voice Fairy) — Hoi Hoi

12237221_1669908713222926_427056748_n

Wimbo wa msanii anayechipukia, Layla A. Walden aka The Voice Fairy uitwao ‘Hoi Hoi.’ Umetayarishwa kwenye studio za AM Records.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

BBCSwahili

Ni shangwe na hoi hoi Ujerumani

Maelfu ya mashabiki wa soka nchini Ujerumani wamekusanyika tangu asubuhi mjini Berlin kuwakaribisha wachezaji wa timu ya taifa ya soka ambayo ilishinda kombe la dunia Brazil.

 

10 years ago

Mwananchi

Ubutu watesa wafungaji vinara

Wakati Ligi Kuu Tanzania Bara ikifikia raundi ya tano, washambuliaji walioshika nafasi tano bora kwa ufungaji msimu uliopita, wamekosa shabaha.

 

10 years ago

Habarileo

Ukeketaji bado watesa Tarime

WATOTO wa kike wilayani Tarime mkoani Mara, bado wameendelea kuandamwa na matukio ya ukatili dhidi yao, licha ya kampeni za mara kwa mara za kupiga vita ukatili na matukio mengine yanayofanywa kutokana na imani katika mila potofu.

 

10 years ago

Mtanzania

Ugonjwa wa moyo watesa vijana

Hospitali ya Muhimbili

Hospitali ya Muhimbili

NA VERONICA ROMWALD, DAR ES SALAAM

MAISHA ya vijana wengi wa Kitanzania yapo hatarini kutokana na unywaji pombe na uvutaji sigara kupita kiasi, unaotajwa kuwa miongoni mwa sababu za kupatwa na ugonjwa wa moyo.

Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam na Mkuu wa Idara ya Magonjwa ya Moyo wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dk. Robert Mvungi, alipozungumza na waandishi wa habari katika Siku ya Moyo Duniani iliyoadhimishwa kidunia jana.

Dk. Mvungi alisema wagonjwa wa...

 

9 years ago

Mtanzania

‘Ojuelegba’ wa Wizkid watesa Ulaya

Wizkid-NA BADI MCHOMOLO

WIMBO wa msanii kutoka nchini Nigeria, Ayodeji Balogun ‘Wizkid’ wa ‘Ojuelegba’, umeonekana kuzidi kufanya vizuri nchini Marekani kutokana na mastaa mbalimbali barani Ulaya kuweka wazi kuupenda wimbo huo.

Wasanii walioonyesha kuvutiwa na wimbo huo ni Drake, Alicia Keys, mpenzi wake Swizz Beatz pamoja na mpenzi wa msanii wa hip hop nchini humo, Tygar, Kylie Jenner ambaye ameweka video ya wimbo huo kwenye akaunti yake ya Instagram.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kunguni watesa wodi ya wazazi

WODI ya wazazi katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga, mkoani Tabora inakabiliwa na matatizo ya wadudu aina ya kunguni. Wakizungumza kwa nyakati tofauti katika wodi hiyo, mwanamke mmoja aliyejitambulisha kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani