Wazawa hoi, wageni watesa
Wakati Ligi Kuu Tanzania Bara ikizidi kushika kasi nchini, nyota wa kigeni waliosajiliwa na timu za Simba, Yanga na Azam wamewafunika wazawa baada ya kutoa mchango wa zaidi ya 80% kwenye mabao yaliyofungwa na timu hizo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Miaka 22 ya wageni kumiliki sasa zamu ya wazawa
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Derefa: Uchumi umekuwa wa kusaidia wageni badala ya wazawa
9 years ago
Bongo514 Nov
New Music: Layla (The Voice Fairy) — Hoi Hoi
![12237221_1669908713222926_427056748_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12237221_1669908713222926_427056748_n-300x194.jpg)
Wimbo wa msanii anayechipukia, Layla A. Walden aka The Voice Fairy uitwao ‘Hoi Hoi.’ Umetayarishwa kwenye studio za AM Records.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
11 years ago
BBCSwahili15 Jul
Ni shangwe na hoi hoi Ujerumani
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Ubutu watesa wafungaji vinara
10 years ago
Habarileo13 Oct
Ukeketaji bado watesa Tarime
WATOTO wa kike wilayani Tarime mkoani Mara, bado wameendelea kuandamwa na matukio ya ukatili dhidi yao, licha ya kampeni za mara kwa mara za kupiga vita ukatili na matukio mengine yanayofanywa kutokana na imani katika mila potofu.
10 years ago
Mtanzania30 Sep
Ugonjwa wa moyo watesa vijana
![Hospitali ya Muhimbili](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Muhimbili.jpg)
Hospitali ya Muhimbili
NA VERONICA ROMWALD, DAR ES SALAAM
MAISHA ya vijana wengi wa Kitanzania yapo hatarini kutokana na unywaji pombe na uvutaji sigara kupita kiasi, unaotajwa kuwa miongoni mwa sababu za kupatwa na ugonjwa wa moyo.
Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam na Mkuu wa Idara ya Magonjwa ya Moyo wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dk. Robert Mvungi, alipozungumza na waandishi wa habari katika Siku ya Moyo Duniani iliyoadhimishwa kidunia jana.
Dk. Mvungi alisema wagonjwa wa...
9 years ago
Mtanzania28 Aug
‘Ojuelegba’ wa Wizkid watesa Ulaya
![Wizkid-](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/Wizkid--300x216.jpg)
WIMBO wa msanii kutoka nchini Nigeria, Ayodeji Balogun ‘Wizkid’ wa ‘Ojuelegba’, umeonekana kuzidi kufanya vizuri nchini Marekani kutokana na mastaa mbalimbali barani Ulaya kuweka wazi kuupenda wimbo huo.
Wasanii walioonyesha kuvutiwa na wimbo huo ni Drake, Alicia Keys, mpenzi wake Swizz Beatz pamoja na mpenzi wa msanii wa hip hop nchini humo, Tygar, Kylie Jenner ambaye ameweka video ya wimbo huo kwenye akaunti yake ya Instagram.
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
Kunguni watesa wodi ya wazazi
WODI ya wazazi katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga, mkoani Tabora inakabiliwa na matatizo ya wadudu aina ya kunguni. Wakizungumza kwa nyakati tofauti katika wodi hiyo, mwanamke mmoja aliyejitambulisha kwa...