Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ubutu watesa wafungaji vinara

Wakati Ligi Kuu Tanzania Bara ikifikia raundi ya tano, washambuliaji walioshika nafasi tano bora kwa ufungaji msimu uliopita, wamekosa shabaha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Bao moja, wafungaji watatu

Utata uliibuka kwenye Uwanja wa Stamford Bridge juzi baada ya Chelsea kupata bao 1-0 la ushindi nyumbani dhidi ya Everton, huku wachezaji watatu wakionekana wamefunga bao hilo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wafungaji walia watendaji kuwageuza ‘ATM’

“WAFUGAJI nchini Tanzania bado tumekuwa ni wachungaji mifugo yetu, kwani wenye mifugo ni wale watendaji wanaotunyanyasa kila kukicha wakishirikiana na wanunuzi wa mifugo kwa kututoza faini kubwa za mamilioni zisizo...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Wafungaji Domo hawaitwi wapumbaf-mbafu

Jabir Idrissa, KITENDAWILIIIIIII, jibu “tega kitendawili.” Natega: Siku ya 30 mwezi Julai 2012 Mama aligeuka jogoo. Nisindikize wangu; “enhe.” Basi mama jogoo msuka kistaili akaingia ofisini. Jamaa kanambia ofisini alimoingia mama smati, akachukua kalamu ya wino […]

The post Wafungaji Domo hawaitwi wapumbaf-mbafu appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mtanzania

Phiri ataka viungo wawe wafungaji

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Phiri ameanza kuwanoa viungo wake ili waanze kufumania nyavu badala ya kuwategemea washambuliaji peke yake.

Katika msimu uliopita, mshambuliaji wa timu hiyo, Amis Tambwe ndiye aliongoza kwa ufungaji, hali ambayo imemlazimu Phiri kutaka na viungo kusaidia timu.

Kiungo wa zamani wa Simba, marehemu Patrick Mafisango, aling’ara kutokana na ujuzi wake wa kufumania nyavu licha ya kuwa kiungo, hivyo...

 

11 years ago

GPL

MATOKEO NA WAFUNGAJI WA MECHI ZOTE ZA KOMBE LA DUNIA LA MWAKA 2014 NCHINI BRAZIL

8th July 2014 World Cup 2014 5th July 2014 World Cup 2014 4th July 2014 World Cup 2014 1st July 2014 World Cup 2014…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uchaguzi watesa viongozi Yanga

BAADHI ya viongozi wa klabu ya Yanga wameanza kuingiwa na hofu ya kutetea nafasi zao katika uchaguzi mkuu ujao kwa kushindwa kutimiza ahadi kadhaa, hasa ya kulipa kisasi cha mabao...

 

9 years ago

Mwananchi

Wazawa hoi, wageni watesa

Wakati Ligi Kuu Tanzania Bara ikizidi kushika kasi nchini, nyota wa kigeni waliosajiliwa na timu za Simba, Yanga na Azam wamewafunika wazawa baada ya kutoa mchango wa zaidi ya 80% kwenye mabao yaliyofungwa na timu hizo.

 

10 years ago

Habarileo

Ukeketaji bado watesa Tarime

WATOTO wa kike wilayani Tarime mkoani Mara, bado wameendelea kuandamwa na matukio ya ukatili dhidi yao, licha ya kampeni za mara kwa mara za kupiga vita ukatili na matukio mengine yanayofanywa kutokana na imani katika mila potofu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kunguni watesa wodi ya wazazi

WODI ya wazazi katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga, mkoani Tabora inakabiliwa na matatizo ya wadudu aina ya kunguni. Wakizungumza kwa nyakati tofauti katika wodi hiyo, mwanamke mmoja aliyejitambulisha kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani