Wafungaji Domo hawaitwi wapumbaf-mbafu
Jabir Idrissa, KITENDAWILIIIIIII, jibu “tega kitendawili.” Natega: Siku ya 30 mwezi Julai 2012 Mama aligeuka jogoo. Nisindikize wangu; “enhe.” Basi mama jogoo msuka kistaili akaingia ofisini. Jamaa kanambia ofisini alimoingia mama smati, akachukua kalamu ya wino […]
The post Wafungaji Domo hawaitwi wapumbaf-mbafu appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Bao moja, wafungaji watatu
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Ubutu watesa wafungaji vinara
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-PZXSrQG8XNY/VXaksFME5DI/AAAAAAADqxU/iO5wb-hHlDQ/s72-c/Mlinzi%2Bnamba%2B2%2BKopro%2BDomo%2BBaya%2Bkatika%2Bhimaya%2Bya%2BKina%2BRasmakunja.jpg)
MBWA DOMO BAYA LAWAMANI KWA KUMTOROSHA BUNDI WA KAMANDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-PZXSrQG8XNY/VXaksFME5DI/AAAAAAADqxU/iO5wb-hHlDQ/s640/Mlinzi%2Bnamba%2B2%2BKopro%2BDomo%2BBaya%2Bkatika%2Bhimaya%2Bya%2BKina%2BRasmakunja.jpg)
huyo wa Ngoma Africa Band,Bundi maarufu kwa jina la udi udi alichomoka katika
banda maalumu katika makao ya Ras Makunja marufu kama himaya ya Anunnaki Alien, Kutoroka kwa Bundi huyo kumesababishwa na mbwa wa kamanda aitwae Kopro Dogi Domobaya, mbwa huyo anashutumiwa kwa...
10 years ago
Mtanzania22 Aug
Phiri ataka viungo wawe wafungaji
![Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Patrick-Phiri.jpg)
Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Phiri ameanza kuwanoa viungo wake ili waanze kufumania nyavu badala ya kuwategemea washambuliaji peke yake.
Katika msimu uliopita, mshambuliaji wa timu hiyo, Amis Tambwe ndiye aliongoza kwa ufungaji, hali ambayo imemlazimu Phiri kutaka na viungo kusaidia timu.
Kiungo wa zamani wa Simba, marehemu Patrick Mafisango, aling’ara kutokana na ujuzi wake wa kufumania nyavu licha ya kuwa kiungo, hivyo...
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Wafungaji walia watendaji kuwageuza ‘ATM’
“WAFUGAJI nchini Tanzania bado tumekuwa ni wachungaji mifugo yetu, kwani wenye mifugo ni wale watendaji wanaotunyanyasa kila kukicha wakishirikiana na wanunuzi wa mifugo kwa kututoza faini kubwa za mamilioni zisizo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GzdpgWCxdTE/VXaMBjjuHMI/AAAAAAAHdO8/7PD978qOuZw/s72-c/unnamed%2B%2528100%2529.jpg)
MBWA DOMO BAYA LAWAMANI KWA KUMTOROSHA BUNDI WA KAMANDA RAS MAKUNJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GzdpgWCxdTE/VXaMBjjuHMI/AAAAAAAHdO8/7PD978qOuZw/s320/unnamed%2B%2528100%2529.jpg)
Kutoroka kwa Bundi huyo kumesababishwa na mbwa wa kamanda aitwae Kopro Dogi Domobaya, mbwa huyo anashutumiwa kwa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CtkQ6hvjBPE/VggWhkF4b7I/AAAAAAAH7bI/Arov8gnKmRI/s72-c/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
MLINZI No.1 KOPLO DOG DOMO BAYA WA RAS MAKUNJA AMFUKUZIA WAGENI BOSS !
![](http://4.bp.blogspot.com/-CtkQ6hvjBPE/VggWhkF4b7I/AAAAAAAH7bI/Arov8gnKmRI/s640/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
11 years ago
GPL![](http://i2.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2014/06/242.jpg?resize=618%2C153)
MATOKEO NA WAFUNGAJI WA MECHI ZOTE ZA KOMBE LA DUNIA LA MWAKA 2014 NCHINI BRAZIL