Phiri ataka viungo wawe wafungaji
Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Phiri ameanza kuwanoa viungo wake ili waanze kufumania nyavu badala ya kuwategemea washambuliaji peke yake.
Katika msimu uliopita, mshambuliaji wa timu hiyo, Amis Tambwe ndiye aliongoza kwa ufungaji, hali ambayo imemlazimu Phiri kutaka na viungo kusaidia timu.
Kiungo wa zamani wa Simba, marehemu Patrick Mafisango, aling’ara kutokana na ujuzi wake wa kufumania nyavu licha ya kuwa kiungo, hivyo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
Waziri Mgimwa ataka waongoza watalii wawe na mikataba halali
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utaliii, Mahmoud Mgimwa, amewataka waongoza watalii hapa nchini kuhakikisha kuwa wana mikataba halali ya kazi na wamiliki wa kampuni wanayofanyia kazi ili kuepuka kunyonywa haki...
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Phiri ataka video ya Mtani Jembe
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hEGkr3BeAhU/U85UqUTHEEI/AAAAAAAF4sg/NnQGo7T4kH0/s72-c/3.jpg)
KAMANDA KOVA AKUTANA NA WANAHABARI KUZUNGUMZIA SWALA NA VIUNGO LA VIUNGO VYA WATU VILIVYOTUPWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-hEGkr3BeAhU/U85UqUTHEEI/AAAAAAAF4sg/NnQGo7T4kH0/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vmL4Qkuabp0/U85UspcLKZI/AAAAAAAF4sk/YNr2OLdZ_8w/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PoWCh_oG1SQ/U85Usj92MDI/AAAAAAAF4so/vt2MAtsvjYQ/s1600/2.jpg)
Chini ni Taarifa Rasmi iliyotolewa leo.
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Ubutu watesa wafungaji vinara
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Bao moja, wafungaji watatu
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Wafungaji walia watendaji kuwageuza ‘ATM’
“WAFUGAJI nchini Tanzania bado tumekuwa ni wachungaji mifugo yetu, kwani wenye mifugo ni wale watendaji wanaotunyanyasa kila kukicha wakishirikiana na wanunuzi wa mifugo kwa kututoza faini kubwa za mamilioni zisizo...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar18 Sep
Wafungaji Domo hawaitwi wapumbaf-mbafu
Jabir Idrissa, KITENDAWILIIIIIII, jibu “tega kitendawili.” Natega: Siku ya 30 mwezi Julai 2012 Mama aligeuka jogoo. Nisindikize wangu; “enhe.” Basi mama jogoo msuka kistaili akaingia ofisini. Jamaa kanambia ofisini alimoingia mama smati, akachukua kalamu ya wino […]
The post Wafungaji Domo hawaitwi wapumbaf-mbafu appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
GPL![](http://i2.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2014/06/242.jpg?resize=618%2C153)
MATOKEO NA WAFUNGAJI WA MECHI ZOTE ZA KOMBE LA DUNIA LA MWAKA 2014 NCHINI BRAZIL
11 years ago
Tanzania Daima25 May
‘Wabunge EAC wawe na ofisi’
SERIKALI imetakiwa kuhakikisha kwamba wabunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wanakuwa na ofisi na vitendea kazi kwa ajili ya shughuli zao. Rai hiyo ilitolewa na wabunge mbalimbali waliochangia mjadala...