Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bao moja, wafungaji watatu

Utata uliibuka kwenye Uwanja wa Stamford Bridge juzi baada ya Chelsea kupata bao 1-0 la ushindi nyumbani dhidi ya Everton, huku wachezaji watatu wakionekana wamefunga bao hilo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

YANGA YAKUNG'UTWA NA KAGERA SUGAR BAO MOJA KWA NUNGE

Timu ya Yanga leo imefungwa 1-0 na Kagera Sugar katika Uwanja wa Kaitaba katika Ligi Kuu ya Vodacom, mjini Bukoba, Kagera.


Na Faustine Ruta, BukobaKlabu ya Dar es salaam Young Afrika imekubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa wenyeji wao Kagera Sugar kwenye mchezo uliopigwa ndani ya Uwanja wa Kaitaba Mjini Bukoba.Kipindi cha kwanza Timu zote mbili zilimaliza bila ya kufungana, Kipindi cha pili Kagera Sugar walitumia faida ya kucheza nyumbani na kufanikiwa kupata bao lililofungwa kiufundi na paul...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watatu wa familia moja wafa ajalini

WATU watatu wa familia moja wamefariki dunia baada ya pikipiki waliyokuwa wamepanda kugongwa na basi la Kampuni ya Mtei Express katika Kijiji cha Kisasida, nje kidogo ya Manispaa ya Singida....

 

9 years ago

BBCSwahili

Dada watatu wajifungua siku moja

Imekuwa ni sadfa ya aina yake baada ya dada watatu kujifungua siku moja nchini Ireland wa nne naye akitarajia kujaliwa mtoto hivi karibuni

 

11 years ago

CloudsFM

FUTARI YAUA WATATU WA FAMILIA MOJA

Watu watatu wa familia moja, wakazi wa Kijiji cha Kwasunga wilayani Handeni wamekufa baada ya kula futari ya mihogo inayosadikiwa kuwa na sumu.Akizungumza na waandishi wa habari jana, kamanda wa polisi wa Mkoa wa Tanga, Constantine Massawe alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 1:00 usiku eneo la Kwasunga Handeni na maiti zimehifadhiwa katika Hospitali ya Wilaya ya Handeni.
Kamanda Massawe aliwataja waliokufa kuwa ni Juma Jumbe (6), Abdi Jumbe (10) na Ramadhani Jumbe (15). Pia alisema kuwa...

 

9 years ago

MillardAyo

Maamuzi ya Mawaziri watatu kwenye meza moja walivyofika machinjio ya Vingunguti Dar..

January 02 2016 ni siku nyingine Jumamosi inayobeba kichwa cha habari cha ziara za ghafla za Mawaziri wa Rais Magufuli, hii ya leo wameongozana mguu kwa mguu Mawaziri watatu kwenda eneo la Vingunguti ambapo ni machinjio ya wanyama Dar es Salaam. Mawaziri hao George Simbachawene, Dk. Hamisi Kigwangalla na Mwigulu Nchemba wamefanya ziara hiyo na […]

The post Maamuzi ya Mawaziri watatu kwenye meza moja walivyofika machinjio ya Vingunguti Dar.. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Bongo5

Utafiti wa UK: Mwanamke mmoja kati ya watatu hutazama video za ngono walau mara moja kwa wiki

Sio wanaume pekee wanaopenda kuangalia video za ngono aka pilau – kwakuwa utafiti uliofanywa nchini Uingereza umebaini kuwa mwanamke mmoja kati ya wanawake watatu wamekiri kuangalia video hizo walau mara moja kwa wiki. Na wengi wamedai kuwa huziangalia kwa kutumia simu za mkononi. Mpiga picha wa Uingereza, Amanda de Cadenet aliungana na Marie Claire kufanya […]

 

10 years ago

Mwananchi

Ubutu watesa wafungaji vinara

Wakati Ligi Kuu Tanzania Bara ikifikia raundi ya tano, washambuliaji walioshika nafasi tano bora kwa ufungaji msimu uliopita, wamekosa shabaha.

 

10 years ago

Mtanzania

Phiri ataka viungo wawe wafungaji

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Phiri ameanza kuwanoa viungo wake ili waanze kufumania nyavu badala ya kuwategemea washambuliaji peke yake.

Katika msimu uliopita, mshambuliaji wa timu hiyo, Amis Tambwe ndiye aliongoza kwa ufungaji, hali ambayo imemlazimu Phiri kutaka na viungo kusaidia timu.

Kiungo wa zamani wa Simba, marehemu Patrick Mafisango, aling’ara kutokana na ujuzi wake wa kufumania nyavu licha ya kuwa kiungo, hivyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani