Utafiti wa UK: Mwanamke mmoja kati ya watatu hutazama video za ngono walau mara moja kwa wiki
Sio wanaume pekee wanaopenda kuangalia video za ngono aka pilau – kwakuwa utafiti uliofanywa nchini Uingereza umebaini kuwa mwanamke mmoja kati ya wanawake watatu wamekiri kuangalia video hizo walau mara moja kwa wiki. Na wengi wamedai kuwa huziangalia kwa kutumia simu za mkononi. Mpiga picha wa Uingereza, Amanda de Cadenet aliungana na Marie Claire kufanya […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili22 Apr
Waridi wa BBC: Mwanamke aliyefukuzwa na mume wake akiwa na mtoto wa wiki moja
10 years ago
Mtanzania03 Sep
UTAFITI: Wanafunzi shule za msingi wakithiri kwa ngono
![Mratibu wa mradi wa PREPARE ambaye pia ni mwanasaikolojia wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili kitengo cha magonjwa ya afya ya akili, Lusajo Kajula (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukamilisha sampuli tathmini ya matokeo ya mradi huo uliokuwa na lengo la kuangalia uwezekano wa vijana kupunguza ngono. kulia ni mtathmini kiongozi wa mradi huo, Mrema Kilonzo. Na Mppigapicha Wetu](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Mtafiti.jpg)
Mratibu wa mradi wa PREPARE ambaye pia ni mwanasaikolojia wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili kitengo cha magonjwa ya afya ya akili, Lusajo Kajula (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukamilisha sampuli tathmini ya matokeo ya mradi huo uliokuwa na lengo la kuangalia uwezekano wa vijana kupunguza ngono. kulia ni mtathmini kiongozi wa mradi huo, Mrema Kilonzo. Na Mppigapicha Wetu
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
UTAFITI uliofanywa na mradi wa PREPARE...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-8bWXsr_PvLI/VP0zk0rudfI/AAAAAAAApr4/lh4mSZ7_Wp8/s72-c/secre.png)
Utafiti unasema 60% ya akina dada wafanyakazi wamepata kazi kwa kutoa rushwa ya ngono
![](http://1.bp.blogspot.com/-8bWXsr_PvLI/VP0zk0rudfI/AAAAAAAApr4/lh4mSZ7_Wp8/s640/secre.png)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Rh7DNKryBzw/VOhA8agUBaI/AAAAAAAHE5E/EglDLXGHMqw/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Airtel yamkabithi Mkazi wa Kyela Mbeya Bwana Edom Mwansasu gari Lake Baada ya kuibuka kuwa moja kati ya washindi wa wiki ya pili ya Airtel Yatosha Zaidi
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Maiti ya mwanamke iliyofukuliwa Shinyanga yazikwa kwa mara ya pili
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EOrf7lBf9t0/XsIU0zNlFUI/AAAAAAALqmM/G9Nwz_wBM7ANzGzskugkMGBszSI7LauWgCLcBGAsYHQ/s72-c/1c10824a-0f85-4ea0-b148-d1b3abf1cf08.jpg)
HAKUNA WATU 92 WALIOKUFA KWA CORONA MOROGORO KWA WIKI MOJA ILIYOPITA
![](https://1.bp.blogspot.com/-EOrf7lBf9t0/XsIU0zNlFUI/AAAAAAALqmM/G9Nwz_wBM7ANzGzskugkMGBszSI7LauWgCLcBGAsYHQ/s640/1c10824a-0f85-4ea0-b148-d1b3abf1cf08.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/7dea6f50-0035-4245-8825-e6cd20fa68bd.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/24f03ee8-9de5-44be-b74b-422f32f8272f.jpg)
************************************
Na. WAMJW-Morogoro
Serikali imekanusha taarifa zilizotolewa na baadhi ya mitandao ya kijamii zinazosema kuwa watu 92 wamekufa mkoani kwa corona katika kipindi cha wiki moja iliyopita na kuzikwa kwenye makaburi ya Kola yaliyopo katika manispaa ya Morogoro
Hayo yamesemwa na Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi mkoani hapa mara baada ya kutembelea eneo hilo la makaburi na kufanya uchunguzi wa kuyaona makaburi hayo kama yanavyotangazwa
“Kumekuwepo na...
10 years ago
BBCSwahili29 Jun
Benki za Ugiriki kufungwa kwa wiki moja
9 years ago
StarTV18 Dec
Polisi wilayani Bunda yamtia mbaroni mwanamke mmoja kwa vitendo vya ukatili
Polisi wilayani Bunda mkoani Mara inamshikilia mwanamke mmoja kwa tuhuma ya kumchoma moto mtoto wa kaka yake sehemu mbalimbali za mwili ikiwemo sehemu za siri kwa madai ya kuiba mboga chunguni.
Mwanamke anayeshiliwa na Polisi ametambuliwa kwa jina la Jenipher Mtaki mwenye miaka 22 mkazi wa Migungani wilayani Bunda.
Tukio hilo ambalo limetokea desemba 15 mwaka huu, majira ya saa za usiku katika eneo la Migungani mjini Bunda, liligunduliwa na wasamalia wema waliotoa taarifa kwa Rebeca Kibore...
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Utafiti: Ngono ya mdomo ni hatari