HAKUNA WATU 92 WALIOKUFA KWA CORONA MOROGORO KWA WIKI MOJA ILIYOPITA
![](https://1.bp.blogspot.com/-EOrf7lBf9t0/XsIU0zNlFUI/AAAAAAALqmM/G9Nwz_wBM7ANzGzskugkMGBszSI7LauWgCLcBGAsYHQ/s72-c/1c10824a-0f85-4ea0-b148-d1b3abf1cf08.jpg)
************************************
Na. WAMJW-Morogoro
Serikali imekanusha taarifa zilizotolewa na baadhi ya mitandao ya kijamii zinazosema kuwa watu 92 wamekufa mkoani kwa corona katika kipindi cha wiki moja iliyopita na kuzikwa kwenye makaburi ya Kola yaliyopo katika manispaa ya Morogoro
Hayo yamesemwa na Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi mkoani hapa mara baada ya kutembelea eneo hilo la makaburi na kufanya uchunguzi wa kuyaona makaburi hayo kama yanavyotangazwa
“Kumekuwepo na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya corona: Mwananume anayezika watu waliokufa kwa corona India
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Virusi vya corona: Wizara ya fedha yatuma dola bilioni 1.4 za corona kwa watu waliokufa
5 years ago
BBCSwahili02 May
Virusi vya corona: Watu 24 wapatikana na maambukizi ya corona kwa siku moja Kenya
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-VJH7VJ2YEIw/XnWsOaANfOI/AAAAAAACJAw/7e1qz7ZIio81MQAv-0ncLfgaXkbcv4cZQCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpeg)
WATU 627 WAFARIKI KWA SIKU MOJA NCHINI ITALY KUTOKANA NA CORONA, SASA YATUMIA WANAJESHI KUZUIA WATU KUTOKA MAJUMBANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VJH7VJ2YEIw/XnWsOaANfOI/AAAAAAACJAw/7e1qz7ZIio81MQAv-0ncLfgaXkbcv4cZQCLcBGAsYHQ/s320/images.jpeg)
ITALIA imeamua kuwatumia wanajeshi ili kuongeza nguvu ya kuzuia watu kutoka nje, Jana, Ijumaa Machi 20, 2020, huku maafisa wakisema watu 627 wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa Corona katika kipindi cha saa 24.
Idadi hii ya vifo ndiyo kubwa zaidi kutokea ndani ya siku moja duniani tangu mlipuko wa ugonjwa huu utokee nchuni China.
Kupoteza matumaini kwa baadhi ya watu kumeanza kuonekana Kaskazini mwa nchi hiyo hususan kwenye jimbo lililloathirika zaidi la Lombardy ambako kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bRI2nEu3Dvo/XncDGZBvpvI/AAAAAAALkq8/YkKUjFk8DG8LMGbAfO1Eq-R5xgETaVHmgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv719bf73fc411mdqc_800C450.jpg)
Italia yavunja tena rekodi, watu 793 wafa siku moja kwa corona, Ulaya yazidi kulemewa na vifo na maambukizi
![](https://1.bp.blogspot.com/-bRI2nEu3Dvo/XncDGZBvpvI/AAAAAAALkq8/YkKUjFk8DG8LMGbAfO1Eq-R5xgETaVHmgCLcBGAsYHQ/s640/4bv719bf73fc411mdqc_800C450.jpg)
Shirika la ha habari la Tasnim limelinukuu shirika la habari la AFP likitangaza habari hiyo na kuongeza kuwa, Wakala wa Kuwalinda Raia wa Italia ulisema jana kuwa, idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na kirusi cha corona nchini humo ilikuwa ni 793...
5 years ago
BBCSwahili07 May
Virusi vya Corona: Wiki moja bila takwimu mpya za corona Tanzania, nini kimetokea?
10 years ago
BBCSwahili29 Jun
Benki za Ugiriki kufungwa kwa wiki moja
5 years ago
BBCSwahili26 Mar
Coronavirus: Zaidi ya maambukizi 10,000 kwa siku moja Marekani wakati Uhispania ikiongoza kwa maambukizi ya corona
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2DMelIus3Y8/U8emwfkAx8I/AAAAAAAF3AY/1LMmStp0pQU/s72-c/a1.jpg)
JK AELEKEA MKOANI RUVUMA KWA ZIARA YA KIKAZI YA WIKI MOJA
![](http://1.bp.blogspot.com/-2DMelIus3Y8/U8emwfkAx8I/AAAAAAAF3AY/1LMmStp0pQU/s1600/a1.jpg)