Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dada watatu wajifungua siku moja

Imekuwa ni sadfa ya aina yake baada ya dada watatu kujifungua siku moja nchini Ireland wa nne naye akitarajia kujaliwa mtoto hivi karibuni

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Tetesi: Justin Bieber na dada yake Kim Kardashian mwenye watoto watatu ni wapenzi?

justin-kourtney-435

Huenda Justin Bieber akawa amechoka kuwa na uhusiano na wasichana wenye umri sawa na wake na sasa anataka kulelewa.

justin-kourtney-435

Kuna tetesi kuwa Justin Bieber na dada yake Kim Kardashian, Kourtney ni wapenzi. Kourtney ana watoto watatu aliozaa na Scott Dissick.

Bieber, 21 na Kourtney, 36, wameonekana kuwa karibu kuliko kawaida siku za hivi karibuni.

Bieber alizikuza zaidi tetesi hizo baada ya kuweka picha hiyo chini na kuandika, “Lord knows” na wengi kutafsiri kama ni diss kwa Dissick ambaye hujiita...

 

11 years ago

Mwananchi

Bao moja, wafungaji watatu

Utata uliibuka kwenye Uwanja wa Stamford Bridge juzi baada ya Chelsea kupata bao 1-0 la ushindi nyumbani dhidi ya Everton, huku wachezaji watatu wakionekana wamefunga bao hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watatu wa familia moja wafa ajalini

WATU watatu wa familia moja wamefariki dunia baada ya pikipiki waliyokuwa wamepanda kugongwa na basi la Kampuni ya Mtei Express katika Kijiji cha Kisasida, nje kidogo ya Manispaa ya Singida....

 

11 years ago

CloudsFM

FUTARI YAUA WATATU WA FAMILIA MOJA

Watu watatu wa familia moja, wakazi wa Kijiji cha Kwasunga wilayani Handeni wamekufa baada ya kula futari ya mihogo inayosadikiwa kuwa na sumu.Akizungumza na waandishi wa habari jana, kamanda wa polisi wa Mkoa wa Tanga, Constantine Massawe alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 1:00 usiku eneo la Kwasunga Handeni na maiti zimehifadhiwa katika Hospitali ya Wilaya ya Handeni.
Kamanda Massawe aliwataja waliokufa kuwa ni Juma Jumbe (6), Abdi Jumbe (10) na Ramadhani Jumbe (15). Pia alisema kuwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

VIJIMAMBO: Dada yake Diamond, Esma Awagonganisha Wema na Zari, Moja Aita WIFI Mwingine MKWE!!

Siku ya jana ilikuwani siku ya kuzaliwa ya mwanadada Esma ambae ni dada wa msanii mkubwa wa Bongo Fleva hapa nchini, Diamond Platnumz. Kama unavyojua tena mambo mitandaoni

Alianza mwanadada Zari, ambae ni mpenzi wa sasa wa Diamond, kumtumia  Esma  ujume wa kumtakia furaha kwenye siku yake ya kuzaliwa na kumuita Esma kama WIFI.  Watu wakaichukulia poa kwani ni kweli wifi yake.

“Happy bday to my lovely wifi @esmaplatnum. Love you doll”-Aliandika Zari na kuweka picha ya Esma

Baada ya saa...

 

10 years ago

Bongo Movies

VIJIMAMBO: Dada yake Diamond, Esma Awagonganisha Wema na Zari, Moja Amuita WIFI Mwingine MKWE!!

Siku ya jana ilikuwani siku ya kuzaliwa ya mwanadada Esma ambae ni dada wa msanii mkubwa wa Bongo Fleva hapa nchini, Diamond Platnumz. Kama unavyojua tena mambo mitandaoni

Alianza mwanadada Zari, ambae ni mpenzi wa sasa wa Diamond, kumtumia  Esma  ujume wa kumtakia furaha kwenye siku yake ya kuzaliwa na kumuita Esma kama WIFI.  Watu wakaichukulia poa kwani ni kweli wifi yake.

“Happy bday to my lovely wifi @esmaplatnum. Love you doll”-Aliandika Zari na kuweka picha ya Esma

Baada ya saa...

 

9 years ago

MillardAyo

Maamuzi ya Mawaziri watatu kwenye meza moja walivyofika machinjio ya Vingunguti Dar..

January 02 2016 ni siku nyingine Jumamosi inayobeba kichwa cha habari cha ziara za ghafla za Mawaziri wa Rais Magufuli, hii ya leo wameongozana mguu kwa mguu Mawaziri watatu kwenda eneo la Vingunguti ambapo ni machinjio ya wanyama Dar es Salaam. Mawaziri hao George Simbachawene, Dk. Hamisi Kigwangalla na Mwigulu Nchemba wamefanya ziara hiyo na […]

The post Maamuzi ya Mawaziri watatu kwenye meza moja walivyofika machinjio ya Vingunguti Dar.. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani