Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafungaji walia watendaji kuwageuza ‘ATM’

“WAFUGAJI nchini Tanzania bado tumekuwa ni wachungaji mifugo yetu, kwani wenye mifugo ni wale watendaji wanaotunyanyasa kila kukicha wakishirikiana na wanunuzi wa mifugo kwa kututoza faini kubwa za mamilioni zisizo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

MSEMAKWELI: Tuache kuwageuza wenye VVU kuwa watenda dhambi

>Nianze kwa kukusimulia kisa kimoja cha kusikitisha kilichomkuta msichana mmoja. Kisa hiki naamini kinawakuta watu wengi kwa njia tofauti, hasa wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (VVU).

 

11 years ago

Mwananchi

Bao moja, wafungaji watatu

Utata uliibuka kwenye Uwanja wa Stamford Bridge juzi baada ya Chelsea kupata bao 1-0 la ushindi nyumbani dhidi ya Everton, huku wachezaji watatu wakionekana wamefunga bao hilo.

 

10 years ago

Mwananchi

Ubutu watesa wafungaji vinara

Wakati Ligi Kuu Tanzania Bara ikifikia raundi ya tano, washambuliaji walioshika nafasi tano bora kwa ufungaji msimu uliopita, wamekosa shabaha.

 

10 years ago

Mtanzania

Phiri ataka viungo wawe wafungaji

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Phiri ameanza kuwanoa viungo wake ili waanze kufumania nyavu badala ya kuwategemea washambuliaji peke yake.

Katika msimu uliopita, mshambuliaji wa timu hiyo, Amis Tambwe ndiye aliongoza kwa ufungaji, hali ambayo imemlazimu Phiri kutaka na viungo kusaidia timu.

Kiungo wa zamani wa Simba, marehemu Patrick Mafisango, aling’ara kutokana na ujuzi wake wa kufumania nyavu licha ya kuwa kiungo, hivyo...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Wafungaji Domo hawaitwi wapumbaf-mbafu

Jabir Idrissa, KITENDAWILIIIIIII, jibu “tega kitendawili.” Natega: Siku ya 30 mwezi Julai 2012 Mama aligeuka jogoo. Nisindikize wangu; “enhe.” Basi mama jogoo msuka kistaili akaingia ofisini. Jamaa kanambia ofisini alimoingia mama smati, akachukua kalamu ya wino […]

The post Wafungaji Domo hawaitwi wapumbaf-mbafu appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

GPL

MATOKEO NA WAFUNGAJI WA MECHI ZOTE ZA KOMBE LA DUNIA LA MWAKA 2014 NCHINI BRAZIL

8th July 2014 World Cup 2014 5th July 2014 World Cup 2014 4th July 2014 World Cup 2014 1st July 2014 World Cup 2014…

 

10 years ago

Vijimambo

ATM YA NBC YAZINDULIWA

Meneja wa ATM na Kadi wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Wambura John (kushoto) akiweka pesa kwa kutumia ATM katika hafla ya uzinduzi wa huduma ya kuweka pesa (deposit) kwa kutumia mashine za ATM ya benki ya NBC jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Katikati ni mteja wa benki hiyo, Francis Xavier na kulia ni Meneja Huduma za Jamii wa NBC, Irene PeterMteja wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Francis Xavier (kushoto) akiweka pesa (deposit) katika mashine ya ATM ya benki hiyo wakati wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtambo wa kwanza wa ATM Mogadishu

Watu katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu wameanza kutumia mtambo wa kwanza kuwahi kutumika wa kutoa pesa mjini humo.

 

11 years ago

Mwananchi

Saba wahukumiwa wizi ATM

Mahakama ya Wilaya ya Karagwe imewahukumu watu saba akiwamo mwanamke mmoja kwa makosa mbalimbali ya wizi wa mifugo na kutumia kadi za benki maarufu ATM.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani