Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtambo wa kwanza wa ATM Mogadishu

Watu katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu wameanza kutumia mtambo wa kwanza kuwahi kutumika wa kutoa pesa mjini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Mtambo wa kwanza wa ATM wapatikana Mogadishu

Watu katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu wameanza kutumia mtambo wa kwanza kuwahi kutumika wa kutoa pesa mjini humo.

 
Mtambo huo wa benki ya Salaam Somali Bank, umewekwa katika hoteli moja na tayari umeanza kutumika na kuwaruhusu wateja kutoa dola za kimarekani.

 
Mtambo wenyewe uko karibu na hoteli ya kifahari ya Jazeera ambayo ina ulinzi mkali sana.

 
Watu wengi wameshangazwa na mashine hiyo kwa kuwa hawajawahi kuiona na hata kuitumia.

 
Sekta ya benki nchini Somalia, bado sio...

 

10 years ago

Vijimambo

ATM YA NBC YAZINDULIWA

Meneja wa ATM na Kadi wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Wambura John (kushoto) akiweka pesa kwa kutumia ATM katika hafla ya uzinduzi wa huduma ya kuweka pesa (deposit) kwa kutumia mashine za ATM ya benki ya NBC jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Katikati ni mteja wa benki hiyo, Francis Xavier na kulia ni Meneja Huduma za Jamii wa NBC, Irene PeterMteja wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Francis Xavier (kushoto) akiweka pesa (deposit) katika mashine ya ATM ya benki hiyo wakati wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Saba wahukumiwa wizi ATM

Mahakama ya Wilaya ya Karagwe imewahukumu watu saba akiwamo mwanamke mmoja kwa makosa mbalimbali ya wizi wa mifugo na kutumia kadi za benki maarufu ATM.

 

10 years ago

TheCitizen

Banks under siege from ATM hackers

>Local banks are among the victims of the largest global heist in which financial institutions lost an estimated $1 billion after hackers--mainly from Eastern Europe, Ukraine, Russia and China--broke into the banks’ network between 2013 and 2014.

 

10 years ago

Ykileo

“TYUPKIN” YATIKISA MASHINE ZA ATM

Aina hii Malware inayojulikana kama Tyupkin yaleta maafa katika mashine za ATM. Tyupkin imekua ikisambazwa na kundi la wahalifu mtandao kutokea ulaya mashariki na kusababisha pesa nyingi kuweza kutoka kupitia ATM mashine ambapo tayari wataalam wa usalama mitandao kutoka Kaspersky Lab wakishirikiana karibu na polisi wasio na mipaka “Interpol” wamesha anza oparesheni ya pamoja kutafuta chanzo na ugunduzi katika mashine 50 umebainika hadi sasa.


Video inayo onyesha kilichotokea kwenye Mashine...

 

11 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab washambulia Mogadishu

Wamelipua mabomu yaliyokuwa yametegwa ndani ya gari moja nje ya hoteli hoteli na kuwajeruhi wanne

 

10 years ago

BBCSwahili

Maji ya ATM yazinduliwa nchini Kenya

Wakazi wa kitongoji duni cha Mathare katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi, sasa wanaweza kupata maji safi ya kunywa na kwa matumizi mengine.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Tunzeni namba zenu za siri za ATM’

>Watanzania wametakiwa kuhifadhi namba zao za siri ili kuepuka kuibiwa fedha kutokana na kuwapo ongezeko la uhalifu wa kimtandao.

 

10 years ago

Habarileo

Wizi kwenye ATM wachefua wabunge

WABUNGE wamewashutumu baadhi ya wafanyakazi wa kampuni za simu za mkononi na taasisi za kibenki, kuwa wanashirikiana na wahalifu wa mtandao kuwaibia wananchi fedha zao, jambo ambalo wameitaka Serikali kutunga sheria kali ya kuwalinda wateja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani