Wizi kwenye ATM wachefua wabunge
WABUNGE wamewashutumu baadhi ya wafanyakazi wa kampuni za simu za mkononi na taasisi za kibenki, kuwa wanashirikiana na wahalifu wa mtandao kuwaibia wananchi fedha zao, jambo ambalo wameitaka Serikali kutunga sheria kali ya kuwalinda wateja.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Saba wahukumiwa wizi ATM
10 years ago
YkileoINDIA YADHAMIRIA KUKABILIANA NA WIZI KUPITIA MASHINE ZA ATM
Aidha, Kwa Upande mwingine – Wameweza kukubali tatizo linalo ambatana na ukuaji wa technolojia ni uhalifu mtandao...
11 years ago
Habarileo30 Jan
Mbulgaria jela miaka 3 kwa wizi kupitia ATM
RAIA wa Bulgaria, Todor Peev amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela au kulipa faini baada ya mahakama kumtia hatiani kutokana na makosa 20 ya wizi wa Sh milioni 12.2 kupitia mashine za kutolea fedha (ATM) katika benki mbalimbali.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--Qz5OE7chIw/U4Tlih2DV7I/AAAAAAAFlkg/uM5B1UHppMw/s72-c/b1.jpg)
Wabunge kutoka Nchi Wanacham wa Jumuiya ya Madola (CPA) walalamika kufanywa “ATM” na wananchi
![](http://4.bp.blogspot.com/--Qz5OE7chIw/U4Tlih2DV7I/AAAAAAAFlkg/uM5B1UHppMw/s1600/b1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xmz-dbIG-7g/U4TlihDYGMI/AAAAAAAFlk4/Ps71svIzDEk/s1600/b2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HwwcQBKZon8/U4Tli1Bkr-I/AAAAAAAFlk8/PFZrtWsftSE/s1600/b3.jpg)
10 years ago
Mtanzania21 May
Wabunge: Wizi huu haukubaliki
Na Khamis Mkotya, Dodoma
BAADHI ya wabunge wamezungumzia ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) wakisema ufisadi unaoendelea nchini ni matokeo ya kupuuzwa kwa ripoti za mkaguzi huyo.
Maoni ya wabunge hao yametolewa baada ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kuibua ufisadi mkubwa katika mamlaka za Serikali za Mitaa, Mashirika ya Umma na Serikali Kuu kwa ukaguzi ulioishia Juni mwaka jana.
Wakizungumza na MTANZANIA katika viwanja vya Bunge jana,...
10 years ago
Habarileo31 Jan
Wabunge wachoshwa kujadili wizi, ufisadi
WABUNGE wameelezea kuchoshwa na wizi, matumizi mabaya ya fedha na mikataba mibovu iliyobainishwa katika taarifa za baadhi ya kamati zilizowasilishwa bungeni juzi, na kushauri maazimio yapitishwe ili wahusika wa ufisadi huo wabanwe.
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Wizi kwenye nyumba za ibada
WIZI ni tendo la tabia ya kuiba, vivyo hivyo udokozi kwa kuchukua kitu au mali ya mtu mwingine bila ridhaa yake. Ni kitendo cha kihuni kinachoendana na tabia mbaya, yaani...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CX32FhnnL8w/UvMZB3Rgs7I/AAAAAAAFLGI/R5DNqZzwJ1M/s72-c/n1.jpg)
Hoja ya haja: Wizi kwenye Maduka ya Nyama Mwenge, Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-CX32FhnnL8w/UvMZB3Rgs7I/AAAAAAAFLGI/R5DNqZzwJ1M/s1600/n1.jpg)
10 years ago
Mwananchi30 Jul
Tanzania ipo kwenye mikakati kukabili wizi wa fedha kwa kutumia mitandao
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10