Wabunge wachoshwa kujadili wizi, ufisadi
WABUNGE wameelezea kuchoshwa na wizi, matumizi mabaya ya fedha na mikataba mibovu iliyobainishwa katika taarifa za baadhi ya kamati zilizowasilishwa bungeni juzi, na kushauri maazimio yapitishwe ili wahusika wa ufisadi huo wabanwe.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania15 Jan
Wabunge wanusa ufisadi
Elizabeth Hombo na Shabaan Matutu
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imebaini ufisadi wa zaidi ya Sh bilioni 1.7 katika Jiji la Dar es Salaam.
Kutokana na hilo, kamati hiyo imeitaka Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kufuatilia suala hilo pamoja na kuwachukulia hatua za kinidhamu watendaji wote waliohusika.
Pia kamati hiyo imeikataa taarifa ya mkurugenzi wa jiji hilo, Wilson Kabwe kuhusu makusanyo ya fedha za maegesho ya magari kwa kuwa haiendani na...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
Wabunge wakipalilia ufisadi
HIVI yule Mtanzania aliyetunga wimbo mzuri, mtamu na tuliokuwa tukiuimba kwa ufahari, mbwembwe na maringo ya hali ya juu enzi hizo tukiwa shuleni usemao: “Tanzania, Tanzania. Nakupenda kwa moyo wote,”...
10 years ago
Mtanzania21 May
Wabunge: Wizi huu haukubaliki
Na Khamis Mkotya, Dodoma
BAADHI ya wabunge wamezungumzia ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) wakisema ufisadi unaoendelea nchini ni matokeo ya kupuuzwa kwa ripoti za mkaguzi huyo.
Maoni ya wabunge hao yametolewa baada ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kuibua ufisadi mkubwa katika mamlaka za Serikali za Mitaa, Mashirika ya Umma na Serikali Kuu kwa ukaguzi ulioishia Juni mwaka jana.
Wakizungumza na MTANZANIA katika viwanja vya Bunge jana,...
10 years ago
Habarileo24 Mar
Wizi kwenye ATM wachefua wabunge
WABUNGE wamewashutumu baadhi ya wafanyakazi wa kampuni za simu za mkononi na taasisi za kibenki, kuwa wanashirikiana na wahalifu wa mtandao kuwaibia wananchi fedha zao, jambo ambalo wameitaka Serikali kutunga sheria kali ya kuwalinda wateja.
10 years ago
Habarileo09 Jan
Wabunge sasa kujadili sheria ajira za wageni
KAMATI za Kudumu za Bunge zinazotarajiwa kukutana Dar es Salaam kwa siku 11 kuanzia Jumanne ijayo, zinatarajiwa pamoja na mambo mengine, kujadili na kuchambua miswadi 11 ya sheria, ikiwamo ya udhibiti wa ajira za wageni.
11 years ago
Habarileo25 Mar
Wabunge sasa kujadili hotuba za Rais, Warioba
HOTUBA iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete pamoja na ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba zitajadiliwa bungeni baada ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kuridhia ombi hilo lililotolewa na baadhi ya wajumbe.
10 years ago
Mwananchi20 May
Rais wa Msumbiji ataka wabunge waungane dhidi ya ufisadi, ugaidi
10 years ago
Mwananchi11 Mar
Repoa: Wananchi wachoshwa na ukata, wataka fursa za kujikwamua
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-leNsOApSo34/Xs6ATZt58OI/AAAAAAALrwY/UdM8rUE55fQ3exquGR-b0nvCcEERGT0pACLcBGAsYHQ/s72-c/1-26-2048x1365.jpg)
Tume ya Uchaguzi imekutana na vyama vya siasa kujadili na kupitisha kanuni na maadili kwa uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-leNsOApSo34/Xs6ATZt58OI/AAAAAAALrwY/UdM8rUE55fQ3exquGR-b0nvCcEERGT0pACLcBGAsYHQ/s640/1-26-2048x1365.jpg)
Semistocles Kaijage, akizungumza katika Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2020, Mkutano ambao umefanyika loe 27, Mei 2020, JNICC Jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-19-scaled.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2B-scaled.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage, akifafanua hoja zilizotolewa na Washiriki wa Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na...