INDIA YADHAMIRIA KUKABILIANA NA WIZI KUPITIA MASHINE ZA ATM
Katika Mkutano uliofanyika Nchini India, Mbali na maelezo ya jitihada na dhamira kubwa katika kuwekeza katika maswala ya teknolojia kupitia kampeni yao ya DIGITAL INDIA, Pia nchi imepata kuelezea dhamira yao ya kuwekeza zaidi kwa kutoa misaada ya kimasomo ( Scholarships ) kwa wale watakao kuwa wakisomea masomo yatakayo wezesha kukuza na kufanikisha jitihada zao za Digital India.
Aidha, Kwa Upande mwingine – Wameweza kukubali tatizo linalo ambatana na ukuaji wa technolojia ni uhalifu mtandao...
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo30 Jan
Mbulgaria jela miaka 3 kwa wizi kupitia ATM
RAIA wa Bulgaria, Todor Peev amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela au kulipa faini baada ya mahakama kumtia hatiani kutokana na makosa 20 ya wizi wa Sh milioni 12.2 kupitia mashine za kutolea fedha (ATM) katika benki mbalimbali.
10 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-MQ50UpCm8qI/VDUnD-w0tFI/AAAAAAAAA90/KbovwhSyC4o/s72-c/abc.jpg)
“TYUPKIN” YATIKISA MASHINE ZA ATM
![](http://4.bp.blogspot.com/-MQ50UpCm8qI/VDUnD-w0tFI/AAAAAAAAA90/KbovwhSyC4o/s1600/abc.jpg)
Video inayo onyesha kilichotokea kwenye Mashine...
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Saba wahukumiwa wizi ATM
10 years ago
Habarileo24 Mar
Wizi kwenye ATM wachefua wabunge
WABUNGE wamewashutumu baadhi ya wafanyakazi wa kampuni za simu za mkononi na taasisi za kibenki, kuwa wanashirikiana na wahalifu wa mtandao kuwaibia wananchi fedha zao, jambo ambalo wameitaka Serikali kutunga sheria kali ya kuwalinda wateja.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-sT51Nb5_FBs/VKD2x8-X5gI/AAAAAAAG6S8/byzOK8D-XeY/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
NBC yazindua mashine za ATM za kupokea pesa
![](http://3.bp.blogspot.com/-sT51Nb5_FBs/VKD2x8-X5gI/AAAAAAAG6S8/byzOK8D-XeY/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BLBd3L_qY9M/VKD2xzKN8-I/AAAAAAAG6TA/MqOQEbR6VE4/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Pwr5inmS1_c/Vhu-RdPgpAI/AAAAAAAH_f4/AFbByzQGmEU/s72-c/1.jpg)
NMB YADHAMIRIA KUINUA WANAWAKE KUPITIA MICHEZO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Pwr5inmS1_c/Vhu-RdPgpAI/AAAAAAAH_f4/AFbByzQGmEU/s640/1.jpg)
10 years ago
Michuzi09 Oct
BREAKING NEWZZZZ: MASHINE ZA ATM ZAATHIRIWA NA VIRUSI VYA TYUPKIN
11 years ago
Michuzi06 Jul
UZINDUZI WA MASHINE ZA ATM ZA SELCOM WAFANA KATIKA VIWANJA VYA SABASABA
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Serikali yajipanga kukabiliana na Wizi wa Umeme Nchini!
Msemaji wa Wizara ya Nishati na Madini Bi. Badra Masoud akiwaeleza waandishi wa habari (hawapo pichani)mapema leo jijini Dar es Salaam kuhusu mpango wa Serikali wa kuunda kikosi maalum cha kukabiliana na tatizo la wizi wa umeme na kuimarisha ukaguzi ili kubaini wateja wasio waaminifu na kuwachukulia hatua za kisheria. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa. (Picha na Fatma Salum- Maelezo)
Na. Fatma Salum – MAELEZO
Serikali inatarajia kuunda kikosi maalum...