Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbulgaria jela miaka 3 kwa wizi kupitia ATM

RAIA wa Bulgaria, Todor Peev amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela au kulipa faini baada ya mahakama kumtia hatiani kutokana na makosa 20 ya wizi wa Sh milioni 12.2 kupitia mashine za kutolea fedha (ATM) katika benki mbalimbali.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Ykileo

INDIA YADHAMIRIA KUKABILIANA NA WIZI KUPITIA MASHINE ZA ATM

Katika Mkutano uliofanyika Nchini India, Mbali na maelezo ya jitihada na dhamira kubwa katika kuwekeza katika maswala ya teknolojia kupitia kampeni yao ya DIGITAL INDIA, Pia nchi imepata kuelezea dhamira yao ya kuwekeza zaidi kwa kutoa misaada ya kimasomo ( Scholarships ) kwa wale watakao kuwa wakisomea masomo yatakayo wezesha kukuza na kufanikisha jitihada zao za Digital India.


Aidha, Kwa Upande mwingine – Wameweza kukubali tatizo linalo ambatana na ukuaji wa technolojia ni uhalifu mtandao...

 

5 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YAMHUKUMU MENEJA WA UKODI KWENDA JELA MIAKA MITANO KWA NJAMA ZA WIZI WA MIL.45.2

NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kibaha Mkoa wa Pwani, imemuhukumu aliyekuwa meneja wa kituo cha kuuza mafuta cha UKODI INTERNATIONAL COM LIMITED, Malima Charles miaka 40 mkazi wa Maili moja Kibaha, kwenda jela miaka mitano baada ya kumkuta na hatia katika makosa mawili yaliyokuwa yakimkabili ikiwemo kuvunja ofisi na wizi.
Akisoma hukumu hiyo iliyodumu kwa muda wa saa moja ambayo ilivuta hisia za wakazi wa Kibaha, Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo Joyce Mushi, alieleza ...

 

9 years ago

Habarileo

Wizi wampeleka jela miaka 15

MENEJA Rasilimali Watu wa Kampuni ya Scania Tanzania Ltd, Didier Mlawa (38) amehukumiwa kifungo cha miaka 15 jela baada ya kupatikana na hatia ya kughushi na kuiba Sh milioni 177.3.

 

10 years ago

Habarileo

Vijana jela miaka 2 wizi wa nazi 50

SULEIMAN Mbarouk Mshimba (29) pamoja na Khamis Juma Makalela (30) wameanza kutumikia kifungo baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la wizi wa nazi zipatazo 53 katika matukio mawili tofauti.

 

11 years ago

Mwananchi

Saba wahukumiwa wizi ATM

Mahakama ya Wilaya ya Karagwe imewahukumu watu saba akiwamo mwanamke mmoja kwa makosa mbalimbali ya wizi wa mifugo na kutumia kadi za benki maarufu ATM.

 

10 years ago

Habarileo

Wizi kwenye ATM wachefua wabunge

WABUNGE wamewashutumu baadhi ya wafanyakazi wa kampuni za simu za mkononi na taasisi za kibenki, kuwa wanashirikiana na wahalifu wa mtandao kuwaibia wananchi fedha zao, jambo ambalo wameitaka Serikali kutunga sheria kali ya kuwalinda wateja.

 

11 years ago

Mwananchi

Jela miezi sita kwa wizi wa jeneza

Mahakama ya Wilaya ya Bariadi, mkoani Simiyu imemhukumu Bahati Lukas (25) kifungo cha nje miezi sita baada ya kupatikana na hatia ya wizi wa jeneza.

 

9 years ago

Mwananchi

Mchungaji kiongozi KKKT jela kwa wizi

Mchungaji kiongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Rauya, Zawadiel Maruchu amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela kwa kosa la wizi wa kuaminiwa.

 

10 years ago

Habarileo

Mkenya, Mrundi jela kwa wizi wa gari, mafuta

RAIA wa Kenya na mwingine wa Burundi waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya wizi wa gari na mafuta ya petroli wamehukumiwa kwenda jela mwaka mmoja kila mmoja, huku Watanzania watatu wakiachiwa huru kwa kukosekana ushahidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani