Mchungaji kiongozi KKKT jela kwa wizi
Mchungaji kiongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Rauya, Zawadiel Maruchu amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela kwa kosa la wizi wa kuaminiwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Jela miezi sita kwa wizi wa jeneza
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Mchungaji jela miaka minne kwa kuuza watu nje
11 years ago
Habarileo30 Jan
Mbulgaria jela miaka 3 kwa wizi kupitia ATM
RAIA wa Bulgaria, Todor Peev amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela au kulipa faini baada ya mahakama kumtia hatiani kutokana na makosa 20 ya wizi wa Sh milioni 12.2 kupitia mashine za kutolea fedha (ATM) katika benki mbalimbali.
10 years ago
Habarileo13 Jun
Mkenya, Mrundi jela kwa wizi wa gari, mafuta
RAIA wa Kenya na mwingine wa Burundi waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya wizi wa gari na mafuta ya petroli wamehukumiwa kwenda jela mwaka mmoja kila mmoja, huku Watanzania watatu wakiachiwa huru kwa kukosekana ushahidi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OQTtdIkCPU0/XmlLdJ-mH2I/AAAAAAALisY/gHE2hLfecf8kyHCZ5Uc1gYGxhn9q3BRuwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200309-WA0029.jpg)
MAHAKAMA YAMHUKUMU MENEJA WA UKODI KWENDA JELA MIAKA MITANO KWA NJAMA ZA WIZI WA MIL.45.2
![](https://1.bp.blogspot.com/-OQTtdIkCPU0/XmlLdJ-mH2I/AAAAAAALisY/gHE2hLfecf8kyHCZ5Uc1gYGxhn9q3BRuwCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200309-WA0029.jpg)
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kibaha Mkoa wa Pwani, imemuhukumu aliyekuwa meneja wa kituo cha kuuza mafuta cha UKODI INTERNATIONAL COM LIMITED, Malima Charles miaka 40 mkazi wa Maili moja Kibaha, kwenda jela miaka mitano baada ya kumkuta na hatia katika makosa mawili yaliyokuwa yakimkabili ikiwemo kuvunja ofisi na wizi.
Akisoma hukumu hiyo iliyodumu kwa muda wa saa moja ambayo ilivuta hisia za wakazi wa Kibaha, Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo Joyce Mushi, alieleza ...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/K6CBBOJeKwGTS0ZgROdMFlYt2d5g4yO*O*Bj8UltWCoaHKU1Iuye34lPD0VeCu7DkxfUBelPfmrNMq8ECAy3Juh*MyCm*kic/Mchungaji.jpg?width=650)
MCHUNGAJI JELA MIAKA 30
9 years ago
Habarileo28 Aug
Wizi wampeleka jela miaka 15
MENEJA Rasilimali Watu wa Kampuni ya Scania Tanzania Ltd, Didier Mlawa (38) amehukumiwa kifungo cha miaka 15 jela baada ya kupatikana na hatia ya kughushi na kuiba Sh milioni 177.3.
10 years ago
Habarileo29 Aug
Vijana jela miaka 2 wizi wa nazi 50
SULEIMAN Mbarouk Mshimba (29) pamoja na Khamis Juma Makalela (30) wameanza kutumikia kifungo baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la wizi wa nazi zipatazo 53 katika matukio mawili tofauti.
10 years ago
BBCSwahili10 Feb
Ulawiti; Kiongozi wa Malaysia miaka 5 Jela