MBWA DOMO BAYA LAWAMANI KWA KUMTOROSHA BUNDI WA KAMANDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-PZXSrQG8XNY/VXaksFME5DI/AAAAAAADqxU/iO5wb-hHlDQ/s72-c/Mlinzi%2Bnamba%2B2%2BKopro%2BDomo%2BBaya%2Bkatika%2Bhimaya%2Bya%2BKina%2BRasmakunja.jpg)
Jumamosi ya 6 Juni 2015 inasemekana haikuwa nzuri katika kambi ya FFU -ughaibuni baada ya msimu wa joto kuanza nchini ujerumani ,kikosi maalumu cha kuangalia wanyama kiliungana na Kamanda ras Makunja kumsaka Bundi wa mkuu
huyo wa Ngoma Africa Band,Bundi maarufu kwa jina la udi udi alichomoka katika
banda maalumu katika makao ya Ras Makunja marufu kama himaya ya Anunnaki Alien, Kutoroka kwa Bundi huyo kumesababishwa na mbwa wa kamanda aitwae Kopro Dogi Domobaya, mbwa huyo anashutumiwa kwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GzdpgWCxdTE/VXaMBjjuHMI/AAAAAAAHdO8/7PD978qOuZw/s72-c/unnamed%2B%2528100%2529.jpg)
MBWA DOMO BAYA LAWAMANI KWA KUMTOROSHA BUNDI WA KAMANDA RAS MAKUNJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GzdpgWCxdTE/VXaMBjjuHMI/AAAAAAAHdO8/7PD978qOuZw/s320/unnamed%2B%2528100%2529.jpg)
Kutoroka kwa Bundi huyo kumesababishwa na mbwa wa kamanda aitwae Kopro Dogi Domobaya, mbwa huyo anashutumiwa kwa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CtkQ6hvjBPE/VggWhkF4b7I/AAAAAAAH7bI/Arov8gnKmRI/s72-c/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
MLINZI No.1 KOPLO DOG DOMO BAYA WA RAS MAKUNJA AMFUKUZIA WAGENI BOSS !
![](http://4.bp.blogspot.com/-CtkQ6hvjBPE/VggWhkF4b7I/AAAAAAAH7bI/Arov8gnKmRI/s640/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Kamanda Kova hawajui Mbwa Mwitu, Panya Road?
MIONGONI mwa matukio makubwa yanayotikisa Jiji la Dar es Salaam sasa ni uvunjifu wa amani katika maeneo mbalimbali ya jiji yanayofanywa na vijana wanaojiita Mbwa Mwitu na Panya Road. Vijana...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VDIAwcIROxo/UvRkbKTc_VI/AAAAAAAFLdU/tA93i9aFJXA/s72-c/unnamed+(3).jpg)
HONGERA KAMANDA MZINGA KWA KUTEULIWA KUWA KAMANDA WA POLISI MKOA WA LINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-VDIAwcIROxo/UvRkbKTc_VI/AAAAAAAFLdU/tA93i9aFJXA/s1600/unnamed+(3).jpg)
5 years ago
BBCSwahili07 May
Virusi vya Corona: Trump ailaumu China kwa shambulio baya zaidi kwa Marekani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e*Q7chwcF2YcvMs-3TPiK3AUAj6YKlbo*Hqb0C9Od74Kd75QjRs9nwxh06dEISIAMnzJeLOGn4RdOQZ3N4ZurTVikn1XzACV/e.jpg)
KAKA ADAIWA KUMTOROSHA DADA YAKE KWA MUME
10 years ago
Dewji Blog30 Mar
Sakata la Gwajima: Wafuasi wake 15 mbaroni kwa madai ya kutaka kumtorosha
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia na kuwahoji watu 15 ambao wanatuhumiwa kwa makosa ya kula njama pamoja na kujaribu kumtorosha Askofu Josephat Mathias Gwajima ambaye amelazwa katika Hospitali ya TMJ kwa matibabu.
Mnamo tarehe 29/03/2015 majira ya saa tisa na dakika thelathini usiku watu hao 15 katika hali isiyo ya kawaida walifika hospitalini hapo wakidai kwamba walikuwa wanataka kwenda kumuona...
11 years ago
Mwananchi25 May
Tuwadhibiti panya road, mbwa mwitu, watoto wa mbwa
11 years ago
Habarileo24 May
Mbwa mwitu, watoto wa mbwa, panya road kutokomezwa
JESHI la Polisi nchini limewaagiza Makamanda wa Polisi wa Mikoa, kuhakikisha wanavidhibiti na kuvitokomeza vikundi vyote vinavyojihusisha na vitendo vya uhalifu, ikiwemo uporaji, unyang’anyi na kujeruhi watu katika maeneo mbalimbali.