Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tatizo si Nyosso ni mfumo wetu

MPIRA ni zaidi ya kucheza.

Abdul Mkeyenge

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Tatizo la saratani ‘lipo ndani ya uwezo wetu’

roadddd

Tarehe 4 ya mwezi wa pili, inatukumbusha kwamba tunapaswa kupambana na ugonjwa wa saratani, ambao ni tatizo kubwa sana duniani kwa sasa. Mwaka huu, siku hii maalum imepangwa kufikia matokeo chanya juu ya vita dhidi ya saratani, kupitia kauli mbiu inayosisitiza kuwa ufumbuzi wakutokomeza saratani upo ndani ya uwezo wetu. Kampeni ya mwaka huu 2015, Siku ya Saratani Dunia inalenga katika kuchagua kudumisha maisha yenye afya, kutoa, upimaji kwa wakati, tiba kwa watu wote na kuongeza ubora wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Kukithiri rushwa nchini ni tatizo la mfumo

Katika juhudi za kuonyesha udhibiti na ufuatiliaji wa rushwa nchini, Taasisi ya Kupambana na Kudhibiti Rushwa (Takukuru) imejaribu kuonyesha makucha yake tangu kuteuliwa kwa Mkurugenzi wake mkuu, Dk Edward Hoseah mwaka 2006.

 

10 years ago

Habarileo

'Kuna tatizo kwenye mfumo wa elimu'

BARAZA la Uongozi wa Elimu, Utawala na Usimamizi (TACELAM) limesema matumizi ya lugha ya kufundishia ni moja ya tatizo linalozorotesha maendeleo ya elimu nchini.

 

5 years ago

Michuzi

TATIZO KATIKA MFUMO WA USAJILI KUWA HISTORIA

Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), Bw. Godfrey Nyaisa amesema kwamba matatizo yote katika Mfumo wa usajili kwa njia ya mtandao (ORS) sasa kuwa historia.

Hayo ameyabainisha wakati akijibu hoja za wafanyabiashara wa Mkoa wa Simiyu siku ya jana tarehe 25 Februari, 2020 katika kikao cha mashauriano kati ya serikali na Wafanyabiashara.

Akizungumza katika kikao hicho Bw. Nyaisa amebainisha kwamba, BRELA imechukua hatua za makusudi katika kutatua changamoto katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DK. JUMA MWAKA: Tatizo la mfumo wa uzazi kwa wanawake ni kubwa

“MGONJWA akija na matatizo ya mfumo wa uzazi, chakula,  mishipa ya moyo na mifupa…huwa sina wasiwasi  kabisa kwa sababu najua lazima atapata tiba ya uhakika.” Hiyo ni kauli ya Daktari...

 

10 years ago

GPL

DKT NCHIMBI ASEMA CCM HAINA TATIZO LA KIMUUNDO WALA MFUMO

Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Sherehe za Maadhimisho ya miaka 38 ya CCM, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Songea, Dk. Emmanuel Nchimbi akizungumza katika maadhimisho ya miaka 38 ya CCM, yaliyofanyika kitaifa juzi kwenye Uwanja wa Majimaji mjini Songea, Mkoani Ruvuma. Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.… ...

 

10 years ago

Mwananchi

STAKABADHI GHALAINI Ni mfumo mzuri ununuzi mazao ila vyama vya ushirika ni tatizo

Stakabadhi ghalani siyo neno geni masikioni mwa Watanzania hasa, wanaoishi katika mikoa ya Mtwara, Lindi, Pwani, Singida, Kilimanjaro na Morogoro.

 

9 years ago

Habarileo

Nyosso ajitetea

MCHEZAJI wa timu ya Mbeya City, Juma Said maarufu Nyosso amekitaka Chama cha Wachezaji wa Soka Tanzania (SPUTANZA), kumsaidia katika kupata haki yake. Beki huyo wa kati amefungiwa na Kamati ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) saa 72 inayofuatilia mwenendo wa Ligi Kuu na Ligi Daraja la Kwanza kutokana na kitendo cha utovu wa nidhamu alichoonesha katika mchezo wa timu yake hiyo dhidi ya Azam FC kwenye Uwanja wa Azam Complex hivi karibuni.

 

9 years ago

Habarileo

Nyosso kuongezewa adhabu

KLABU ya Azam FC imesema kuwa inajipanga kuchukua hatua za kisheria zaidi katika kufuatilia sakata la mchezaji wake John Bocco kudhalilishwa na mchezaji Juma Nyosso wa Mbeya City.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani